Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda pale nono nahisi zipoHata juisi yake sijawahi iona duh ngoja nikaisake
Ina hatari gani hebu funguka mkuuAnjari🙂🙂Ina hatari sana hii kitu
Mimi naijua juice yake kumbe kuna soda
DuhYaani hiyo ni takataka balaa.
Kuna kipindi walikuwa wanagawa kwenye tashriff ilibidi kila nikipanda hilo basi naingia na maji yangu.
Wana maji yao fulani ivi yako muheza utafikiri yameyengenezwa kwa mitambo ya gongo.
Kweli tanga kunani.
Tamuu sanaaa tena upate ya bareeeeeeeeeed[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Ina hatari gani hebu funguka mkuu
kuna mhindi mmoja yuko barabara ya jamaa karibu na famas ya mwafrika anauzaga bites na hizi soda utadhani ni ana kiwanda chakeHii soda imenikumbusha mbali Sana, Miaka ya 80 wakati huo nasoma Jumuiya sec, wakati wa mapumziko nilikuwa naenda barabara ya 8 kupata hii kitu......
me naipenda ile iko kama sprite yan ile ndio ulevi wanguKiujumla kwasasa
Helto imechuja mno
Yaani wapo Kibiashara zaidi
Anjari/Heltho ya zamani,ilikuwa haiishi ladha mdomoni
lkn kwasasa,hapana.
Wamechemka kdg
sanaaWaaow mnafaidi
Yaani hiyo ni takataka balaa.
Kuna kipindi walikuwa wanagawa kwenye tashriff ilibidi kila nikipanda hilo basi naingia na maji yangu.
Wana maji yao fulani ivi yako muheza utafikiri yametengenezwa kwa mitambo ya gongo.
Kweli tanga kunani.