Watu wa Tanga wanapenda mpira, kweli nimeamini

Watu wa Tanga wanapenda mpira, kweli nimeamini

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kuna vijana 3 walikuwa wanafanya kazi kwa mtu leo hii. Ikafika sa 8, tajiri akasema kuna kazi nyingine hapa mkimaliza hiyo kuna laki yenu moja.

Wakasema kuna Wananchi wanacheza hatuwezi, mzee tunakuomba iwe kesho.

Tajiri anataka kesho waanze kujengea septic tank, lazima kazi hii imalizike leo. wakasema basi kazi kuliko kukosa mpira...Wananchi

Kumbuka vibarua hivyo ni vya shida, siyo kuwa kila siku vipo.!

Wakaondoka
 
Mpira unapumbaza baadhi ya maskini na baadhi ya watu.Mpe maskini kileo asahau shida zake.Baada ya mpira utaskia wanalia shida
 
Nilichoshuhudia Simiyu ilikuwa balaa. Ikifungwa Simba au Yanga na timu yeyote, mashabiki wa upinzani wanaingia barabarani kushangilia
 
Kuna vijana 3 walikuwa wanafanya kazi kwa mtu leo hii. Ikafika sa 8, tajiri akasema kuna kazi nyingine hapa mkimaliza hiyo kuna laki yenu moja.

Wakasema kuna Wananchi wanacheza hatuwezi, mzee tunakuomba iwe kesho.

Tajiri anataka kesho waanze kujengea septic tank, lazima kazi hii imalizike leo. wakasema basi kazi kuliko kukosa mpira...Wananchi

Kumbuka vibarua hivyo ni vya shida, siyo kuwa kila siku vipo.!

Wakaondoka
Walichofanya ni sawa na kulala na malaya ni raha ya muda mfup na ukishamaliza unaanza kujuta na kuona ni ujinga uliofanya..
 
Kuna vijana 3 walikuwa wanafanya kazi kwa mtu leo hii. Ikafika sa 8, tajiri akasema kuna kazi nyingine hapa mkimaliza hiyo kuna laki yenu moja.

Wakasema kuna Wananchi wanacheza hatuwezi, mzee tunakuomba iwe kesho.

Tajiri anataka kesho waanze kujengea septic tank, lazima kazi hii imalizike leo. wakasema basi kazi kuliko kukosa mpira...Wananchi

Kumbuka vibarua hivyo ni vya shida, siyo kuwa kila siku vipo.!

Wakaondoka
hao lazima wawe wanavuta bhangi
 
Umefananisha vituviwili tofauti
Sex ni raha sana
Hakuna nilipobisha... Nimesema ni sawa na kufanya mapenzi na malaya, ukishamaliza raha hiyo ya muda mfupi unabaki unajutia na kujiona mjinga.
 
Mpira umeisha.Warudi waombe wafanye hiyo kazi huku wanabubujikwa na mafua ya huzuni.
 
Sio huko tu maeneo mengi nchini ndio maana nasema Simba na Yanga ni tatizo mwingine nchini
 
Back
Top Bottom