Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Kuna wadada wapo huko kipindi bado mdogo wakaja na mazawad masimu makubwa surual wamesuka manywele marefu wakasema wanafanya kazi Posta Red onion hotel

Sasa mwaka jana nikatimba huko nikaenda bar moja inaitwa Fair way kama unaenda Bunju katikati ya Tegeta na Boko eeeh nikakuta ni wahudumu wa Bar

Cha ajabu watoto wao wamewaacha mkoani ikabid waniambie nitunze siri nikawaambia nataka nije mnapokaa lahaulaaaaaa

Chumba kimoja wanakaa watu 9 Ila siku wakirudi mkoani huwa tunakoma watoto weupeee Demiss miye mpaka nataman nipake Mkorogo wa Maimartha wa Jesse nifanane nao.


Na yale manywele wanayarusha kama wakorea nywele mpaka gutako zinafika hapo Demiss nimesuka twende kilioni.

Wadada wa dar mna dhambi kama kaka zenu

Hawa ndo wanatuharibu sisi wa mkoani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukienda kwao eheheeheheh balaaaaaaaa wote wanakaaa Sinza na Masaki hawajawahi kusema nakaa Tandale au kwenye pagale la Boss wangu nimeziba chumba kimoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu labda huko kwenu lakini sisi tukienda moshi huwa hatutamani kurudi dasilamu sema basi tu majukumu ya kimaisha,,ila sijawahi kumuona mtu anaenda moshi anaboreka aisee
Kumbe ndiyo maana unapaelewa kimara kumbe chagga boy.!
 
Wanaume wa dar wakija mkoani wanaijishaua sasa subiri uende Dar mpaka unarud mkoani huwez kuonana naye
Sitaki kuamini wewe nae wa mkoani..! Sasa mbona mshana Jr anaishi kibamba sisiem???

Angalizo huwa sitongozi madem wa mikoani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mfyuuuuu unitaje nimekosea nini mie jamani kwani nishawahi kukukimbia
Ni mara ngapi unanikimbia wewe shunie embu usinitoneshe kidonda, ulinivurugia bajeti yangu ya usafiri kabisa. Nyie watu wa dar sio watu wazuri kabisa [emoji57]
 
Back
Top Bottom