Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Yap na ufikeeee tu na siku hizi nasikia Dar wanakodisha magari kwa sikuuu elf 20,
Anakodi anakufata nalo mpaka ubungo unasema bwana si ndo huyu anakupeleka kwenye zile nyumba za Mbweni wanazoachiwaga na matajir kusimamia zisichafuke unasemaaa eeeh mm ndo mother house wa mjengo looooooh wanaume wa dar mna dhambiii
wanawake wengi wanapenda vitu vinavyoonekana kama hayo magari ndio maana.
 
Umeonaaaa eeewh wakija mkoani wanashangaaa umejenga mjengo wanaumia kimoyo moyo

Siku wakifa wakiletwa kijijino wanakosa hata sehem ya kufikishia jeneza shangaaa alisema anakaa masaki

UNAKAA MASAKI KIJIJINI HAUNA HATA NYUMBA YA CHUMBA NA SEBULE MFYUUUUU
hahahahah [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hatuwatukani tunawaambia ukweli mpunguze sifa jamani watu wa dar khaah
Mnanikumbusha utotoni tukienda kumtembelea bibi sisi wa Dar ndio tulikuwa ma star, wa mikoa mingine wanasubiri...naona wa mikoani mnaendeleza bifu
 
Back
Top Bottom