MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Halafu TAKUKURU ( PCCB ) mbona mnakuwa Wapole hivi wakati kuna Klabu Moja tokea Juzi hadi Leo inahangaika kutaka Kuwahonga Wachezaji na Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji FC ili Jumapili waifunge na Wautulize Moto ambao Umeshawaka Klabuni Kwao.
Kudadadeki zenu si mnajifanya mna Kikosi imara na Kututangazia kuwa nyie tayari ni Mabingwa? Sasa mnachokihangaikia ni nini na hizo Pesa zenu za Dhuluma na Utapeli wa Bidhaa zenu?
Na hapo bado mtauana tu mwaka huu.
Kudadadeki zenu si mnajifanya mna Kikosi imara na Kututangazia kuwa nyie tayari ni Mabingwa? Sasa mnachokihangaikia ni nini na hizo Pesa zenu za Dhuluma na Utapeli wa Bidhaa zenu?
Na hapo bado mtauana tu mwaka huu.