Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini

Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa

Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.

Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani

Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa

Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.

Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
 
Teknolojia mzee

FB_IMG_1644117301847.jpg
 
Zamani kulikuwa hakuna camera 360. Siku hizi ukitaka picha halisi ya muhusika ni ile iliyopigwa na watu wengine bila muhisika mwenyewe kujuwa. Siku hizi mpaka watoto wa kiume wanajiedit, kuweka filter za smooth.

Ukijumlisha na mkorogo ndio kabisa hutopata mtu mweusi. Dunia ya leo ukipotezana na mtu miaka 5 tu mkikukatana tena unaweza kumtambua kwa sauti tu, vingine vyote filtered.
 
Ila mpoki mshenzi sana. Wakati ule orijino komedi masanja alikuwa mchungaji mlokole akawaita chemba mpoki, joti, mcregan na vengu kuwapanga atawalipa akiwagusaa tu waanguke wakakubaliana.

Walipotoka nje kwenye kadsmnasi masanja mchungaji masanja akawapanga mstari nakuwauliza matatizo yao kabla ya kuwagusa na kuwadondosha. Ilipifika zamu ya mpoki akaulizwa shida yake akamwambi Masanja alikuwaga mweupe zamani anataka pepo la uweusi liondoke awe mweupe tena.

Nilicheka balaa
 
Wee jamaa ulitutishaga huko kwenu kila mtaa wanazika vifo vya corona.
Kiko wapi sasa?
 
Kwani hujui siku hizi kimsboy kuna mikorogo!!! Mpaka wanaume wana2mia mikorogo, nenda dar na Tanzania kote utakutana na mijanaume inakalkiti nywele na kutumia mikorogo iwe kama waarabu, pamoja na hayo bado hawajafikia hata robo ya waarabu/wazungu. Ni ujinga na ulimbukeni kumkosoa aliyekuumba.
 
Picha za zanani black and white.usitume nauli kwa kuangalia picha uliyotumiwa watsapp utalia
 
aina ya camera nakumbuka tulikuwaga tukipiga picha tunapewa na nega skuizi hamna sasa sijui miaka ya 80 hukoilikuwaje
 
aina ya camera nakumbuka tulikuwaga tukipiga picha tunapewa na nega skuizi hamna sasa sijui miaka ya 80 hukoilikuwaje

Kuna wanaume wanatumia mikorogo pamoja na wake zao,,,ukitaka kujuwa angalia vidole vya mguu, mkono, joints weusi hautoki.
 
Back
Top Bottom