Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Mabadiliko ya tabia nchi...
clip_image001RRAY.jpg
images.jpg
 
Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini

Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa

Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.

Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani

Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa

Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.

Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Intermarriage na dekio mzee
 
Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini

Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa

Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.

Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani

Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa

Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.

Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Nadhani chakula pia kinachangia
 
Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini

Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa

Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.

Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani

Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa

Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.

Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Tukiacha maisha mazuri,mikorogo kuna historia pia,kumbuka miaka hyo wakoloni walikuwa hawajatutawala bado hvyo tulikuwa na rangi zetu za asili,ukiangalia uchagani rangi nyeupe imeletwa na wazungu waliopenda kuishi kule sababu ya hali ya hewa,hvyohvyo na kwa wairaq kutokea waarab au angalia watu wa Tanga na rangi za kiarabu yote ni mazao ya ukoloni.
 
Picha inatoka black&white, sasa ulitaka watu watokee wekundu mkuu?
 
Back
Top Bottom