Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
skuizi vinatakata sema weupe wao ukizidi unakuwa km nguruwe iliyochemkaKuna wanaume wanatumia mikorogo pamoja na wake zao,,,ukitaka kujuwa angalia vidole vya mguu, mkono, joints weusi hautoki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
skuizi vinatakata sema weupe wao ukizidi unakuwa km nguruwe iliyochemkaKuna wanaume wanatumia mikorogo pamoja na wake zao,,,ukitaka kujuwa angalia vidole vya mguu, mkono, joints weusi hautoki.
skuizi vinatakata sema weupe wao ukizidi unakuwa km nguruwe iliyochemka
Mabadiliko ya tabia nchi...View attachment 2121005View attachment 2121006
Mkuu mada inahusu weusi bikra siku nyengine..😂Zamani binti wa miaka 30 ana bikra ila sahivi miaka 10 kashatolewa bikra
Intermarriage na dekio mzeeWatu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini
Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa
Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.
Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani
Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa
Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.
Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Inahusiana bn, hio si ni moja ya tofauti ya muda ule na Sasa.Kwahiyo inahusiana vipi na mada?
Unawaza nyuchi tu muda wote.
Nadhani chakula pia kinachangiaWatu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini
Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa
Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.
Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani
Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa
Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.
Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Kwa sababu tamuKwahiyo inahusiana vipi na mada?
Unawaza nyuchi tu muda wote.
Tukiacha maisha mazuri,mikorogo kuna historia pia,kumbuka miaka hyo wakoloni walikuwa hawajatutawala bado hvyo tulikuwa na rangi zetu za asili,ukiangalia uchagani rangi nyeupe imeletwa na wazungu waliopenda kuishi kule sababu ya hali ya hewa,hvyohvyo na kwa wairaq kutokea waarab au angalia watu wa Tanga na rangi za kiarabu yote ni mazao ya ukoloni.Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini
Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa
Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.
Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani
Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa
Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.
Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Mkuu mada inahusu weusi bikra siku nyengine..[emoji23]
kama vile knuckles na viwiko visivyotakata halkadhalika na pale kwenye mtaro huwa hapakubali mkorogo asilan nasikia.Mabadiliko ya tabia nchi...View attachment 2121005View attachment 2121006
Kwahiyo inahusiana vipi na mada?
Unawaza nyuchi tu muda wote.