Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Kama umetumia swala la muonekano wa picha kufikia hio conclusion, basi hauko sahihi.

Ni kweli walikuwa weusi pichani, ila haimaanishi walikuwa hivyo kwenye uhalisia. Studies zinaonesha negatives za miaka hizo, zilikua zimetengenezwa specifically ku process ngozi ya wazungu na sio waafrika.

Ndo maana waafrika, furniture na hata chocolates zilikua na weusi kuliko zilivyokuwa perceived kwenye picha.

Unaweza pitia hiki ki mini Documentary kuhusu hilo, kwenye Vox.

 
Endelea kuomba na kukanyaga mafuta
Niombe kwa nani sasa mkuu??? nichagulie kati ya hako ka yesu kenu kazungu?? au lile jamaa kiongozi la wauza watumwa!.......af ujue nina uchungu nao mie hao!!! heee!!!
 
Niombe kwa nani sasa mkuu??? nichagulie kati ya hako ka yesu kenu kazungu?? au lile jamaa kiongozi la wauza watumwa!.......af ujue nina uchungu nao mie hao!!! heee!!!
Kwa Mungu we kiazi
 
Kwa Mungu we kiazi
tetetetetet!! sasa mie mungu wako namjua Mkuu??? huoni kama hunitendei haki??...ebu nambaie anavyoo fanana! labda ntakuelewa!!

yaani km hivi je ni;
mzungu, mkoloni!
mswahili, Mamakonde mjaluo au mzaramo
muhindi, .. kunhee! kuch! kuch!
muarabu, alwaaaaakbar!
mchina! hi haaa!

Au ana Rangi ZOOOTE! .......si umeumbwa kwa mfano wake ????sasa naomba kukuuliza mungu wa kiazi ndo unamuabaudu mkuu??
 
tetetetetet!! sasa mie mungu wako namjua Mkuu??? huoni kama hunitendei haki??...ebu nambaie anavyoo fanana! labda ntakuelewa!!

yaani km hivi je ni;
mzungu, mkoloni!
mswahili, Mamakonde mjaluo au mzaramo
muhindi, .. kunhee! kuch! kuch!
muarabu, alwaaaaakbar!
mchina! hi haaa!

Au ana Rangi ZOOOTE! .......si umeumbwa kwa mfano wake ????sasa naomba kukuuliza mungu wa kiazi ndo unamuabaudu mkuu??
Viazi pia ni viumbe vyake
 
Sabuni iko mixed na particles za kuscrub mumohumo unategemea nini
Ni kuwaka tu
 
Back
Top Bottom