Watu waanza kurudi kwenye majumba yao Gaza ya kaskazini huku majeshi ya Israel yakiondoka kwa kasi.

Watu waanza kurudi kwenye majumba yao Gaza ya kaskazini huku majeshi ya Israel yakiondoka kwa kasi.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Huku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?

Netanyahu condemns ICJ genocide case; Gazans return to wasteland in north

 
Huku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?
mmeachiwa mnaanza kelele na muda si mrefu mtachokoza tena itafika dunia itawatema tu , na wayaud watawanyona makalio
 
Huku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?
Kwani wale raia wa Israel waliouliwa October 7 walihusikaje kwenye mgogoro walirusha gurunet kwa hamas?
 
mmeachiwa mnaanza kelele na muda si mrefu mtachokoza tena itafika dunia itawatema tu , na wayaud watawanyona makalio
Kwa kushindwa kwao kuokoa hata teka moja na kuwaacha Hamas warudi kwenye majengo yao na baada ya ukali wa vita hivi hakuna siku watarudi tena kuwabughudhi Hamas
 
Kuna cha maana ameandika hapo zaidi ya uharo na ushuzi uliotokana na uvutaji wa sigara bwege
Acha kuchanganyikiwa .Huo ndio ukweli wa mwisho wa vita vya Gaza na tuliwaambia mapema Hamas ndio watakaoibuka kidedea.
 
Kwani wale raia wa Israel waliouliwa October 7 walihusikaje kwenye mgogoro walirusha gurunet kwa hamas?
Hamas wanasema waliua askari kwenye makambi.
Kwenye ukumbi wa muziki Israel iliua raia wake kwa mshtuko wakidhani ndio wanawawinda Hamas.
 
Hamas wanasema waliua askari kwenye makambi.
Kwenye ukumbi wa muziki Israel iliua raia wake kwa mshtuko wakidhani ndio wanawawinda Hamas.
Na wale raia 200 waliotekwa nao walitekwa na jeshi la Israel?
 
Hamas wanasema waliua askari kwenye makambi.
Kwenye ukumbi wa muziki Israel iliua raia wake kwa mshtuko wakidhani ndio wanawawinda Hamas.
Hamas wakiuawa raia wa Israel October 7 tumeona video usilete utetezi wa kinafiki na uwongo hivi kwenye hii dini yenu mnafundishwa uwongo na unafiki
 
Na wale raia 200 waliotekwa nao walitekwa na jeshi la Israel?
Waliotekwa wote wameachiwa wamebaki askari wa IDF tu ambao Hamas wameamua wafe pamoja nao au Israel iondoke kwanza ndio iwarudishe.
Israel imeelewa somo la Hamas na ndio wanaondoka sasa ili warudishiwe watu wao
 
Hamas wakiuawa raia wa Israel October 7 tumeona video usilete utetezi wa kinafiki na uwongo hivi kwenye hii dini yenu mnafundishwa uwongo na unafiki
Hujaona video ya maelfu ya watoto na raia wa Palestina wanaokufa .
Afrika kusini inasema hata kama kweli kuna watu walikufa Israel lakini haihalalishi mauwaji ya makusudi na uharibifu mkubwa uliofanywa Gaza.
Video uliyoiona wewe nadhani ni ile ya Hollywood ambayo hata waziri mkuu wa Spain aliipuuza.
 
Acha kuchanganyikiwa .Huo ndio ukweli wa mwisho wa vita vya Gaza na tuliwaambia mapema Hamas ndio watakaoibuka kidedea.
Kwaio Hamas kashinda vita hii akili za ovyo kabisa,mtu yupo chumbani kwako anakunyoa afu unadai umeshinda
 
Huku kesi dhidi ya Israel iliyofunguliwa ICJ na Afrika kusini ikinguruma kule Gaza ya kaskazini wananchi wameanza kurudi majumbani mwao kutoka kila upande walikokimbilia
Hayo yanatokea wakati hakuna hata lengo moja la vita lililowekwa na Israel ambalo limetimizwa.
Zaidi ya hayo kuna hali inayoitia kizunguzungu Israel kwani hali zilizobadilika baada ya miezi mitatu katika vita imelazimisha jeshi la IDF kurudisha askari nyumbani.
Kwenye mahakama ya kimataifa juu ya jinai za kivita Afrika kusini imeendelea kuichachafya Israel na kuiacha bila majibu.
Katika baadhi ya paragrafu za jalada la kesi zinaihoji Israel kwa kutaja baadhi ya majina ya watoto waliouliwa katika vita hivyo ikiuliza .Hawa walikuwa kwenye hema wakipigwa na baridi na katikati ya wazazi wao jee walihusikaje na vita mpaka wakauliwa.Jee walirusha kombora dhidi ya IDF ?

Netanyahu condemns ICJ genocide case; Gazans return to wasteland in north

Sababu ya hao IDF ku withdraw ni ukata.
Fedha za kuendesha vita zilishaanza kuhadimika .
Ngoja tuone yajayo.
 
Sababu ya hao IDF ku withdraw ni ukata.
Fedha za kuendesha vita zilishaanza kuhadimika .
Ngoja tuone yajayo.
Ndio kushindwa kwenyewe huko.
Houth wamechangia sana kuiminya Israel.
Waisrael hawawezi kurudi mashambani kwao na wamechoka kukaa kwenye mahoteli kwa gharama za serikali.
Netanyahu alidhani ni kazi ndogo tu,
 
Back
Top Bottom