Watu wabaya ni wengi kuliko watu wema?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
Mnamo 2005 Kevin Berthia alienda kwenye daraja la Golden Gate kukatisha maisha yake.

Aliishia kuzungumzia maisha yake na afisa Kevin Briggs kwa dakika 92 akiwa pembezoni mwa daraja.



Baada ya Miako 10 Berthia na Briggs wanakutana kwenye daraja hilo wakiwa na hali ya tofauti na mara ya kwanza walipokutana kwenye daraja hilo.

 
Kongolee classmate, aliokoa uhai wa Berthia....😊
 
Stress ni zaidi ya sumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…