mkudugwa
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 226
- 221
Yaani kweli haamini matendo yake tu anaonyesha kapanicSanaa kasura kamekomaaa mnoooo alafu njaaa nyingi...haamini kama kazaa na diamond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kweli haamini matendo yake tu anaonyesha kapanicSanaa kasura kamekomaaa mnoooo alafu njaaa nyingi...haamini kama kazaa na diamond
Amezoea noti,hata huyo mtoto wa Tandale KAZAWADIWA "K" tuDaaaaahhhh Mkuuu acha kabisaaaa ,yaaaaan mbwembwe zimezidi aiseeeee hakijiaminiiiii kabisaaaaaa sasa mtizame mwenzake ZALI ,, hana presha ..mtoto katulia
Hahahahhahahah hatare sana mkuuu !!!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Amezoea noti,hata huyo mtoto wa Tandale KAZAWADIWA "K" tu
Nchi ya vwonderHa ha ha, wivu utakuua wewe limbukeni. Akili kama za Mange.
Ban inakujaIla kiukweli kuna mijanaume mingine kama si mishoga basi ina tabia ya kishoga...
Badala upambane na hali ya wanao na mkeo unaenda kushangaa mchepuko wa fuska...
Mamamamamamae sana walahi
Sorry Sky Eclat
Mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] wazee siwanatumia mafao haoSio vijana hadi wazee walikuwepo .
Nenda kapake rangi jengo la ufipa, limechoka ile mbaya.Nchi ya vwonder
Ova
Inalipa sana kuwa na Akili
Vp ushamaliza kusafisha hyooo hapo lumumbaaNenda kapake rangi jengo la ufipa, limechoka ile mbaya.
Duh naona unaanza kupanick sasa.Vp ushamaliza kusafisha hyooo hapo lumumbaa
Ova
Wee acha tu dada mzuri sana yule halafu mdogo mdogo tofauti na INSTA!Yaaani hapa nataka kuattach video niko nae inanigomea ...aaaaaagh!Umeonaa enhee
KUMTIZAMA MUBASHARA NI BEI GANI???Mama watoto wa Mwanamuziki Diamondplutnamz, Zari. Mchana wa Leo alisimamisha shughuli katika maduka yaliyopo Mlimani City Jijini Dar es salaam ,alipokwenda kuzindua Duka jipya la samani, Danube.
Watu walijazana nje ya duka jipya la Danube wakitaka Kumuona Zari Huku wakiimba Wifi..... Wifi........ Wifi
Na baada ya Kutoka hapo waliongozana na Mzazi mwenzie Diamondplutnamz, kuelekea Visiwani Zanzibar kwenye show yake usiku wa Leo.
View attachment 609379
View attachment 609380
View attachment 609381
Mi mwenyewe nimeshangaa....wanaume walikuwa wengi kuliko wanawake[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Sio vijana hadi wazee walikuwepo .
[emoji23][emoji28][emoji23] si ndio maana thithiemu bado inawatala hadi leo, mijitu bado inaakili za kishikiliwa....Ila kiukweli kuna mijanaume mingine kama si mishoga basi ina tabia ya kishoga...
Badala upambane na hali ya wanao na mkeo unaenda kushangaa mchepuko wa fuska...
Mamamamamamae sana walahi
Sorry Sky Eclat