Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Suala la PhD (Doctor of Philosophy) zinazotolewa kama za heshima, sasa si tu linakera, bali sasa linarahisisha na kudharaulisha maana hasa ya elimu.
Kama PhD, a pinnacle of acchieved learning, research na contribution to natural understsnding, linaanza kuwa la kisiasa nchini, basi tumefikia our lowest stage of educational stupidity.
Kwamba hata wale wenye PhD za ukweli, zinazotokana na kuuliza, kujiuliza na kuandika research papers zenye mchango mkubwa kitaifa na kimataifa, halafu ukapata PhD za kina Babu Tale, na huku kina Prof Mkenda wako kimya, basi hata higher learning nchi hii haina maana yoyote.
Dr Babu Tale, Dr Msukuma, na kwa bahati mbaya kabisa wanaingizwa kina wanasiasa mashuhuri , kuwa kitaaluma wako sawa na Dr Ndulu, Dr Ng'wandu na Prof Mawenya, Prof Rweyemamu, Pro Mazengo, basi hatuna haja ya kuwa na vyuo vya elimu ya juu.
Yaani kama Msukuma, ukijulikana tu, basi unapewa PhD ya heshima.
Tukumbuke, mtu mjinga si yule aliyeelimika.
Kama PhD, a pinnacle of acchieved learning, research na contribution to natural understsnding, linaanza kuwa la kisiasa nchini, basi tumefikia our lowest stage of educational stupidity.
Kwamba hata wale wenye PhD za ukweli, zinazotokana na kuuliza, kujiuliza na kuandika research papers zenye mchango mkubwa kitaifa na kimataifa, halafu ukapata PhD za kina Babu Tale, na huku kina Prof Mkenda wako kimya, basi hata higher learning nchi hii haina maana yoyote.
Dr Babu Tale, Dr Msukuma, na kwa bahati mbaya kabisa wanaingizwa kina wanasiasa mashuhuri , kuwa kitaaluma wako sawa na Dr Ndulu, Dr Ng'wandu na Prof Mawenya, Prof Rweyemamu, Pro Mazengo, basi hatuna haja ya kuwa na vyuo vya elimu ya juu.
Yaani kama Msukuma, ukijulikana tu, basi unapewa PhD ya heshima.
Tukumbuke, mtu mjinga si yule aliyeelimika.