Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #21
Ha ha haUtaambiwa wivu unakusumbua.
Hili nitaambiwa na wajinga tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haUtaambiwa wivu unakusumbua.
AiseeKwani PhD ya Bashiru zaidi ya kuiba kura na kununua wapinzani brutaly ina faida gani kwa Taifa?
Uprofesa wa Lipumba na Babu Tale si Bora Babu Tale??
Ni kuutusi uwerevu na jamii nzima ya werevuHalafu mjinga anaenda bungeni kutetea ujinga wa PhD heshima na ya kijinga aliyopewa.
Heshimu taaluma za watu kiongozi...PhD ya Mwigulu na ya Msukuma zinatofauti gani? Prof Lipumba na Maji Marefu walipishana nini?
Tatizo lipo kwenu nyinyi madocta kuacha kazi zenu na kukimbilia kwenye siasa unazani kitatokea nn ayo ndo mazara yake......kila mtu anaona ajiite Dr.......Ku-struggle ni jambo moja na ku-acquire academic credentials ni jambo lingine. Tusilazimishe eti kwasababu mtu amefanikiwa kiuchumi au kimaisha basi apewe academic rewards. Huo ni ujinga mwingi
Hizo ni struggle za kimaisha. Kila mtu anaingia kwenye siasa, wasanii, wakulima, wafugaji, waganga wa kienyeji, wachungaji na makahaba. Mbona hawatafuti uchungaji wa mchongo?Tatizo lipo kwenu nyinyi madocta kuacha kazi zenu na kukimbilia kwenye siasa unazani kitatokea nn ayo ndo mazara yake......kila mtu anaona ajiite Dr.......
Mimi kwa mtazamo wangu naona mtu akitaka PhD basi arudi darasani asome aipateSuala la PhD (Doctor of Philosophy) zinazotolewa kama za heshima, sasa si tu linakera, bali sasa linarahisisha na kudharaulisha maana hasa ya elimu.
Kama PhD, a pinnacle of acchieved learning, research na contribution to natural understsnding, linaanza kuwa la kisiasa nchini, basi tumefikia our lowest stage of educational stupidity.
Kwamba hata wale wenye PhD za ukweli, zinazotokana na kuuliza, kujiuliza na kuandika research papers zenye mchango mkubwa kitaifa na kimataifa, halafu ukapata PhD za kina Babu Tale, na huku kina Prof Mkenda wako kimya, basi hata higher learning nchi hii haina maana yoyote.
Dr Babu Tale, Dr Msukuma, na kwa bahati mbaya kabisa wanaingizwa kina wanasiasa mashuhuri , kuwa kitaaluma wako sawa na Dr Ndulu, Dr Ng'wandu na Prof Mawenya, Prof Rweyemamu, Pro Mazengo, basi hatuna haja ya kuwa na vyuo vya elimu ya juu.
Yaani kama Msukuma, ukijulikana tu, basi unapewa PhD ya heshima.
Tukumbuke, mtu mjinga si yule aliyeelimika.
Kwani iyo PhD ndo imemuweka hapo bungeni boss mpaka wapigwe spana kama vyet fake.......acha roho mbayaaaaa BossSerikali ikiamua hata leo hii kwa kuipitia wizara ya elimu hizo digrii zote za mchongo zinarudi kabatini. Na ma PhD holder fake wataikimbia hiyo title wenyewe. Si waziri wa elimu anatengeneza tu kanuni kuwa wale wote wenye PhD wafike TCU na vielelezo vyao na hawaruhusiwi kutumia hiyo title mpaka ithibitishwe na wizara basi.
Lakini kwa jinsi nilimvyosikiliza waziri Mkenda bungeni ni kama vile anakwepa wajibu wake matokeo yake ikabidi madame spika afanye kazi ya waziri wa elimu kwa kuwapiga spana za uso wale wenye PhD fake.
Babu Tale na Mkubwa Fela nani mwenye mchango mkubwa kwenye kuinua wasanii?? Marehemu Ruge na Babu Tale nani mwenye mchango mkubwa kwenye sekta ya muziki hapa nchini?Kwani PhD ya Bashiru zaidi ya kuiba kura na kununua wapinzani brutaly ina faida gani kwa Taifa?
Uprofesa wa Lipumba na Babu Tale si Bora Babu Tale??
TuyajueAcha wivu Mkuu
Babutale kafanya Mambo Makubwa kuzidi prof lipumba
Yataje hayo mambo makubwa aliyofanya. Kingine sasa kama kweli wewe una mchango mkubwa kwa jamii unahitaji PhD ya kupewa ya nini?Acha wivu Mkuu
Babutale kafanya Mambo Makubwa kuzidi prof lipumba
Nasikia hata chuo aliponunua hiyo PhD hakijui jina.. [emoji23]Ni kiwango cha juu cha upumbafu Nyerere alikuwa nazo kama nne hivi lakini hakuwahi kujiita Dokta , kuja viwatu vimenunua hizo pHd feki kwenye vyuo vya mchongo ole wako isimuite dokta kitaumana, hii yote ni sababu ya kudhani kwamba kila kitu ni shortcut, tunatakiwa kujitafakari sana mbona China Malaysia etc hawaendekezi huu upuuzi? eti babu tale naye analazimisha tena bungeni aitwe dokta Stupid kabisa darasa la saba kichwani mweupe kisa ana kiubunge cha mchongo anafokea watu.
Na wewe wakupe cheo cha Brigedia Generali wa heshima.Kwani iyo PhD ndo imemuweka hapo bungeni boss mpaka wapigwe spana kama vyet fake.......acha roho mbayaaaaa Boss
Watanzania ni wavivu sana.Eti bhana, hizi degree zina sura ya kisiasa
Kama mambo yapi?Acha wivu Mkuu
Babutale kafanya Mambo Makubwa kuzidi prof lipumba