Watu waliobadili jinsia wanaweza kuwa wazazi wa ubatizo katika Kanisa Katoliki, mashahidi katika harusi za kidini na kubatizwa

Mark 2:17
[17]Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi; sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi. Swali kuhusu Kufunga

TAKBIR[emoji110] YESU AKIBAR [emoji109]
 
Juzi nimeandika humu kuwa huyu mzee ni shoga nikalaaniwa kweli, haya sasa kweli mtu na akili zake awabatize mashoga nae hatokuwa shoga kweli.
Hata YESU Alilaumiwa na wa-Sharia!
[emoji116][emoji116]
Matthew 9:11-12
[11]Mafarisayo walipoona, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?

[12]Naye aliposikia, aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.
 
Nipo nimejibanza sehemu nakunywa kahawa nasubiri majibu…
Umenikumbusha zama hizo vikombe vya muuza kahawa anaviliza Kiaina! Kuna mlio wa Aina YAKE akiuza Gongo tupu, Kuna mlio akiuza kahawa tupu, Kuna mlio WA vikombe akiuza mix Gongo na kahawa
 
Kwani kuna shida gani hapo? Kama wezi, wazinzi, wasema uongo na wauaji wanaweza kubatizwa na kuwa Wakatoliki na kusimamia sakramenti mbalimbali, hao wa jinsia moja kwa nini wasibatizwe?
We jamaa hivyo vyote tabia za tamaa za mwanadamu lakini ushoga ni kinyume kabisa na uumbaji ya unamsahisha mungu.
 
We jamaa hivyo vyote tabia za tamaa za mwanadamu lakini ushoga ni kinyume kabisa na uumbaji ya unamsahisha mungu.
Mtu anayeshiriki ushirikina hawezi kubatizwa na kuwa hata kiongozi kanisani?
 
We jamaa hivyo vyote tabia za tamaa za mwanadamu lakini ushoga ni kinyume kabisa na uumbaji ya unamsahisha mungu.
Tuanze kwa amri kumi za Mungu tuone kama tamaa za mwanadamu zinakubalika
 
Tuanze kwa amri kumi za Mungu tuone kama tamaa za mwanadamu zinakubalika
Hazikubaliki ila zinaweza kufanywa Kwa namna flani ziwe sahihi Mfano tamaa za uzinzi unarusiwa kuoa, wizi unaruhusiwa Kuomba ukapewa. Sasa ushoga ni kinyume kabisa
 
In reality hakuna dhehebu lililoanzishwa na Mungu, ila dini ikiwa na maana ya njia ya kumwelekea huyo Mungu,,, haya mengine ni mafundofundo na "mafindofindo" 😂😂😂 ya binadamu kama mimi na wewe...
YESU mwenyewe alikuwa muumini wa Uyahudi, sasa kama sisi ni wa Kristo si ni tuwe Wayahudi sasa eti?? 😂😂😂
 
Tulia usukumiwe HOGO LA KINYEO
 
UZURI wa hizi dini na madhehebu yetu ni kuwa huwezi kosa shimo la kupitia hata ukibanwa na Kontena la futi 80...
 
Yaani et mwanaume aliyebadili jinsi awe msimamizi wa ubatizo? Kwa kiswahili kingine awe baba wa kiroho kwa huyo mtoto anayebatizwa atamuongoza huyo mtoto kuelekea wapi?
Hiyo habari mngeomba mtafsiriwe kwa Kiswahili halafu ndio muanze kutoa maoni, vinginevyo mtaendelea kubeba tafsiri kila mmoja anavyojisikia. Mbona sijaona ukizungumzia suala la kubatizwa wakati habari yenyewe ya kiingereza imelitaja? Ni kama vile umerukia aya uliyoielewa bila kujali kuwa kuna aya nyingine zilitangulia
 
Unajua amri kuu za mungu zipo Kwa ajili ya binadamu Ila unapoamua kuo shoga unakua unaza kujitoha katika Hali ya binadamu.
Nina maana yangu kukuuliza hivyo, kwani naona unakubali kuwabatiza waliokiuka amri kumi za Mungu (kuiba, kuua, kuzini, kusema uongo, kutamani mwanamke asiye mke wako, etc), halafu unashangaa kuwabatiza wanaofanya ushoga!
 
Mathayo 24 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³² Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
³³ nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
 
Napata Ukakasi Tena Zaidi ya Sana Na Hii Dini Tuliyokaririshwa na West. Kubadili Jinsia Ni Kumkufuru Muumba Wako, Kukufuru Kusudio Lako Ulikotoka Hapa Ulipo na Huko Uendako. Sasa huyu mzee namna gani asee
 
Inafikirisha sana mkuu. Ukiunganisha dots na yanayotokea hapo middle east yawezekana ule muda uu karibu kuwadia japo sio Leo kesho wala keshokutwa
 
Ipo siku huyu papa atapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…