Watu waliokataa Magufuli asiongezewe Miaka ndio haohao wanashadadia Mbowe aendelee kuongoza. Ndio haohao wanakapinga CCM isiendelee! Unafiki mtupu!

CHADEMA ITAKUFA KIFO KIBAYA SANA KAMA MBOWE ASIPO ONDOLEWA KITINI HARAKA IWEZEKANAVYO .....NIKAMA CCM KAMA SAMIA ASIPO ONDOLEWA BASI NCHI INAKWENDA KUCHAFUKA
 
Magufuli alikuwa Rais wa nchi, Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA.
Nchi ni ya watu wote, wenye vyama na wasio na vyama, wenye dini, wasio na dini wapagani n.k
CHADEMA ni ya wanachadema
Hoja ya hovyo sana. Hata Tanzania ni ya wàtanzania. Sasa CHADEMA ikichukua nchi utasema Hivyo hivyo kwamba CHADEMA ni ya wanachadema.
 
Hoja ya hovyo sana. Hata Tanzania ni ya wàtanzania. Sasa CHADEMA ikichukua nchi utasema Hivyo hivyo kwamba CHADEMA ni ya wanachadema.
Ndiyo, CHADEMA ikichukua nchi itaendelea kubaki ya wanachedema kama ambavyo CCM leo hii ni ya wanaCCM.
 
CHADEMA ITAKUFA KIFO KIBAYA SANA KAMA MBOWE ASIPO ONDOLEWA KITINI HARAKA IWEZEKANAVYO .....NIKAMA CCM KAMA SAMIA ASIPO ONDOLEWA BASI NCHI INAKWENDA KUCHAFUKA
CHADEMA ikifa maisha ya raia yataendelea kama kawaida tu, labda itakuwa hasara kwa wanachadema ila nchi ikichafuka maisha ya raia wote yataathirika vibaya.
 
CHADEMA ikifa maisha ya raia yataendelea kama kawaida tu, labda itakuwa hasara kwa wanachadema ila nchi ikichafuka maisha ya raia wote yataathirika vibaya.
Tatizo lipo hapo hili samia aondoke hili takiwa kuwe na upinzani makini utakao sababisha ccm na serikali yake kumwona samia hatoshi hivyo kumpiga chini uchaguzi ujao na kuteua mtu mwingine....hila kwa sasa samia anayo fursa ya kung'ang'ania uongozi kwa sababu ya upinzani kukosa nguvu hivyo HATARI YA PILI YA TAIFA KUCHAFUKA INATEGEMEANA NA UPINZANI KUWA DHAIFU.
 
Lisu ashinde au asishinde tunazingatia hoja zake.

CHADEMA inahitaji Mwenyekiti mpya
Yes gentleman,
Mwenyekiti mpya wa Chadema atapatikana rasmi kabla ya Pasaka2025, na atatokana na kura za wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema.

Ni kweli,
ni muhimu sana kuzingatia hoja, historia, dhamira na misingi ya kuanzishwa kwa Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo.

Mwenyekiti mpya wa Chadema 2025-2030 atatoka kanda ya Chadema ya kiutawala ya Kaskazini 🐒
 
Kwa nini kama CHADEMA, ACT na vyama vingine vyote vya upinzani ni dhaifu msijichange mkaanzisha chama kingine cha upinzani kitakachokuwa imara kupambana na CCM??
 
Umeambiwa kama chadema ni mali ya wote wewe ccm nenda kachukue fomu ya kugombea nafasi ya uenyekit chadema
Narudia tena chadema ni Mali ya umma ndo maana Ipo chini ya msajili wa vyama vya siasa na inaishi Kwa kodi zetu na sio kikundi Cha kufa na kuzikana kama unaona chadema Ina wamiliki wataje wa miliki wote
 
Eti katiba inaruhusu?! Ndiyo inaruhusu, kwa hiyo tunahoji katiba haiko sawa
 
Magufuli alikuwa Rais wa nchi, Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA.
Nchi ni ya watu wote, wenye vyama na wasio na vyama, wenye dini, wasio na dini wapagani n.k
CHADEMA ni ya wanachadema
ukisikia wehu ndo huu uliouandika hapa
 
Narudia tena chadema ni Mali ya umma ndo maana Ipo chini ya msajili wa vyama vya siasa na inaishi Kwa kodi zetu na sio kikundi Cha kufa na kuzikana kama unaona chadema Ina wamiliki wataje wa miliki wote
NImekuambia wewe mwana ccm nenda kachukue fomu ya kugombea uenyekiti wa chadema si mali ya umma
 
Siasa ni sihasa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…