Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

kwanza ukisoma vyema Quran Surah..Im`ran unaweza cheka sana....kwani yule malaika akasemwa kumpulizia malaika ile Mbegu ya Mungu..kufuru inazidi zaidi ukifikiria kwa makini..hiyo mbegu Mungu aliitoaeje.....utadhani malaika laikuwa kaipandisha mbegu kwa kijiti..sijui huyo malaika alipulizia vipi bila,kumchungulia achilia mbali kumnyonya Maria, asiye mke wake..tena kwa mwanaMke anayekwenda mzaa Nabii aliyekingiwa dhambi km Yesu....Masih. Huwa nikisoma Quran nacheka sana..huwa naona km wasomi wa kiislam hawajui tofauti wala sifa ya kufuru nini?naona kuna kufuru nyingi sana hawazioni,ila visivyo kufuru..ila misingi yao ya kufikiri ndio wapo tayari kuua....
 
ngoja nikurudie kuhusu huyo shehe wa jerusalem.

Amin husein kama sijakosea,kumbe mtu mwenyewe alichagulia na british colonial goverment.awe muft wa jerusalem.kumbuka kipindi hicho nchi za masharikh ya kati including jerusalem zilikua under british colonial rule na huyo mufti aliwekwa hapo na waingereza.check.
Pia hapa hata kama alipata kutana na hitler,lazma ujue kuwa waingereza walikua ni wakoloni hapa enemy of your enemy is your friend ina apply.hakuna la ajabu hapa,kama hitler alionekana angeweza kuwapiga waingereza unadhani kina amin wasingefurahi?.
Kipindi hicho waingereza walikua wamekula mkataba na wayahudi ili warudi palestine na walikua wanazidi kuchukua maeneo,automaticaly mtu kama amini atajaribu kutafuta msaada popote.at least amin alikua mteule wa wakoloni.
Ni sawa na hapa,mteule wa bakwata aliepigiwa debe na dola useme eti anawakilisha waislamu wote duniani.
Lakini vatican hadi imekiri kuwa kuna mambo yalifanyika hayakutakiwa yawe.
Pia mkuu shurti ujue hitler hana tofauti na bush,reagan,kagame,mseven,netanyau,obama,putin etc wote hawa ni watu ambao wana damu za watu mikononi mwao.
 
we are one,haina maana physicaly .
.

It means,WAMOJA.
 
we are one,haina maana physicaly .
.

It means,WAMOJA.

Kwahiyo huwezi kuwatenga au vp? Ni kitu kimoja!

Vp na Wewe maoni yako ktk hii sentesi?

"Exalted is he above having a son"
 
Ndo huyo huyo!!!!

Swali lingine?

Na ndiyo huyo aliyepigwa na kuwambwa msalabani na viumbe wake? Na ndiye huyo aliyemjaza mimba yule mama na kisha akazaliwa na huyo mama tena?
 
Kwahiyo huwezi kuwatenga au vp? Ni kitu kimoja!

Vp na Wewe maoni yako ktk hii sentesi?

"Exalted is he above having a son"
we are one as in united not physically.

God is above having a son as in a really sense of having his own son.
 
Nenda huko...mhuni wewe wewe..ulikuwa hujui..sasa ndio umepitia vihabari ya kuunga hata hujaelewa unawahi andika uongo hapa.Hembu kasome vyema ukishaelewa ndio uje hapa.Otherwise unachafua thread.Vitu unajifunzia hapa ktk ubishi bado unataka kuwa sahihi...uasahihi wako utaanzaia wapi..kabla ya thread,wakati thread inaendelea au thread ikiisha..? Acheni uhuni km hujui hujui tuu..jifunze kwanza..ndio uanze bishana na watu..sas aunaandika vitu nusunusu,vyenye makosa..halfu bado hutaki achie thread iendelee
 
Kama ndivyo ulivyoelewa ndio hivyo pole. Hebu rudia tena: "Ametukuka kuwa na mwana" Naona kiswahili kinakupiga chenga, Nicholas mtafsirie mwenzio huo mstari unamaanisha nini.
haha..km tafsiri ya kiswahili haikupi maana..hembu chukua ya kiingereza aliyokupa...nadhani itasaidia kuendelea.Km zote zinakupa shida ndipo umbane.Ila y akiingereza mimi naona ndio inawakilisha mawazo yake zaidi.
 
Last edited by a moderator:
haha..km tafsiri ya kiswahili haikupi maana..hembu chukua ya kiingereza aliyokupa...nadhani itasaidia kuendelea.Km zote zinakupa shida ndipo umbane.Ila y akiingereza mimi naona ndio inawakilisha mawazo yake zaidi.



Mkuu mi niliona hatuelewani nikampa lugha zote mbili kutafuta Maana!

Km atakua bado analeta Maana zake ntamwandikia na kisukuma tuone atasemaje!
 
Na ndiyo huyo aliyepigwa na kuwambwa msalabani na viumbe wake? Na ndiye huyo aliyemjaza mimba yule mama na kisha akazaliwa na huyo mama tena?
Acheni kujifanya hamna uelewa nyie watoto..km Neno la Mungu linaweza kwenda kuumba bila kurudi kcuhukua maelezo tena kwa Mungu..hujajielewa ni mangapi Mungu anaweza fanya sehemu mbalimbali kwa mara moja. Infact kuna Concept nyingi sana , wanatumia wataalamu mbalimbali wa kimangaribi,ktk kutengeneza vitu vingi sana.Hii haiwezi kuwa visualize kwa fikra za kiislam.Ndio maana hapa unaleta fikra za "mtoto kwenda kuua ancestors wake" ktk theories za travelling through time. Pengine ungeweza soma zaidi kuhusu "INSTANCE" ndio ungeona kwanini Ulimwengu wa Kikristu na kiyahudi unagundua sana vitu...sababu kuna vitu vingi sana huwapa maswali ktk Biblia na mwisho kuishia ktk ugunduzi...i
 

I doubt you yourself understand what you just posted.
 
sasa bora ungeleweka unachobisha ni nini?.

Unakubali kuwa kipindi hicho hakukua na nchi huru ya kiarabu?na kwamba zote zilikua under british colonial rule?.
Unakubali kuwa muft wa jerusalem akichaguliwa na wakoloni,ambapo baadae alitoroka na kuanza kuorganise strugle for independence?
Unabisha kwamba vatican kama kanisa lilikua nyuma ya hitler.?
Unataka niandike fullscape nzima ya habari kama kwamba kuna mtu ananilipa,kama huelewi ingia mwenyewe mtandaoni si kila kitu nikufanyie mimi.
Kwani wewe mufti wa jerusalem umemfahamia wapi kama si hapahapa online?au huko sundayschool huwa wanawafundisha?
 
ingekua ugunduzi unachochewa na ukristo brazil,haiti,mexco zingekua mbali sana kwani karibu 90 ni waroman catholic.
 
Utajitapatapa sana huna kitu unajua...kwani hujui thread inasemaje?hujui unabishanishania nini....uandike full scape ipi sasa wakati una cut na kupaste...tangu mwanzo umekiri ni kilaza sasa unasumbua nini watu...Catholics wangekuwa upande wa Hiter wakati na wao waliuwawa watawa wao ktk nchi km Poland, Romania,bulagaria, German yenyewe,chekoslavania ,France, Italy etc..? utaunga unga sana kujifanya mjuaji wakati hapa ndipo unasoma mambo.....kilaza wewe. Kwa taarifayako hata waingereza hawkutaka hata wayahudia warudi kwao,walikuwa akiwazamisha ktk manowari,kuzua mipaka na kuwapiga risasi,ila waliwa outsmart....Hilter alikuwa na project maalumu kusoma mafanikio ya waislam ktk vita pamoja na kwamba aliamini waarabu walikuwa na IQ ndogo na inferior kwa Germans....na alichoandika hapo dhidi ya Ukristu ni wazi kuwa hakuwa tena Mkristu. Hii ni kawaida yenu waislama kukana haki mwisho kila kiovu kinacholink dini yenu..hivi hadi leo umewahi kubali hadharani kuwa Osama alikuwa muislam safi na ana ushawishi na watu wanaomuunga mkono sana ktk uislam ..tena karibu wote.ila hadharani wote mnajidai kuwa sijui ni pandikizi la wamarekani,sijui kapindisha uislam ,sijui uislam si hivyo etc,, Utakufa kwa upuuzi wewe...nania hafahamu uongo mtakatifu kwa waialama umewfanya wawe wanafiki wakuu....nani ahajui kuwa muislam haruhusiwi mkana mwenzie ktk ushahidi na kafiri...
 
Kuna Picture pia Pope yupo msikitini...kuna picture pia JK yupo kanisani..kuna pictre Pope yupo na mwinyi kipindi makanisa na shule zinachomwa moto..Nini kikemkushinda tambua.. Hitler alianza badilika taratibu baada ya kuingia....Pia km kiongozi wa nchi ana nafasi ya kuingia ktk Kanisa, na ugeni wowote kukutana naye....
 
ingekua ugunduzi unachochewa na ukristo brazil,haiti,mexco zingekua mbali sana kwani karibu 90 ni waroman catholic.
Brazil unadhani ipo padogo...haha..Brazil ipo ktk brac..ipo ktk level ya china,India etc..Ni zaidi ya UK..ukiingia Rio lazima uone CHRIST THE REDEEMER.....hizo nchi nyingine zilirudishwa nyuma si na Ukristu ila na Ujamaa na ukomunist..ndio uliowaponza. Brazil ina ndio inaweletea marcopolo, brazil wanauza mashine bora kabisa za mashambani..pump, trackor, mgari ya kutumia pombe, brazil wamejaza kuku wa kisasa ktk supermrket kubwa duniani..kwa rahisi kabisa hadi nchi km south africa zinalia, brazil wana makampuni ya mafuta ambayo hata hapa kwetu ndio yalishikilia vitalu vingi kabisa vilivyogundua mafuta na gesi, brazil, wana utalii wa upasuaji wa urembo (kurekebsiha sura,) na upasuaji mzuri kuliko india na bei zao rahisi zaidi, brazil wanatengeneza ndege na helcopter, brazil wanafanya biashara za mitandao kwa kiasi kikubwa sana, na brazil wanatengeneza softwate nyingi sana za fani maalumu kuliko unavyoweza ota.....nchi za maerika kusini zilizama ktk ujamaa ,na kuingia ktk udictator ukapelekea watuw ao kuishi maisha mabaya na yenye uhalifu... Brazil wanajenga viwanja kwa naterial na technologia zao wenyewe...
 

Unataka uthibitisho UPI zaidi ya ule wa baba yako kumwagia mikoji mama yako ukazaliwa wewe? Maneno yote hayo yako kwenye vitabu vitakatifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…