Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,149
- 2,232
if m not mistaken john lennon alisema yesu akirudi atashangaa mana amekuwa maarufu zaid yake
Sio wasanii wa kundi la Beetles ndo walisema kundi Lao ni Maarufu kuliko Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
if m not mistaken john lennon alisema yesu akirudi atashangaa mana amekuwa maarufu zaid yake
Mkuu Eiyer ..Umenijibu Mungu ni Mmoja..
1.Mungu Yesu..
2.Mungu Baba
3.Mungu Roho mtakatifu
Hawa si Watatu??
Mungu Yesu alibatizwa..Nini maana ya ubatizo?
Mungu Yesu Alikuwa akimuomba nani kifo kimuepuke?
nachoamini mi ni freestyle,i think outside the box sometimes.hebu jiulize,kama hizo tuhuma ni uongo,kwanini wayahudi mpaka leo hawamtambui yesu?.wewe na dini yako mnadai vipi kwa theory na vipi kwa vitendo..nyie ndezi huwa mna mistari miwili miwili..inawatosha kuwa na sura mbilimbili..maneno mengine na matendo mengine..mnasemaje eti kila copy ya mstari ina mahali pake.
Na ndiyo huyo aliyepigwa na kuwambwa msalabani na viumbe wake? Na ndiye huyo aliyemjaza mimba yule mama na kisha akazaliwa na huyo mama tena?
ndicho kitabu ambacho israel wanatumia na kina hadhi kuliko hata agano la kale.kitabu cha talmud ni cha kishetani.si maneno ya mungu
Yesu kutokutambuliwa na Wayahudi inajulikana hata wakati wa Yesu mwenyewenachoamini mi ni freestyle,i think outside the box sometimes.hebu jiulize,kama hizo tuhuma ni uongo,kwanini wayahudi mpaka leo hawamtambui yesu?.
Leta ushahidi wa hili!Kwanini ukiristo ni marufuku kuhubiriwa israel na wakikumata ipo adhabu ya jela?
wapi nimesema wamegundua hayo unayosema na si yale uliyoyaacha?nilikuvutia pumzi ili nihakikishe km umbea ni masiha yako ukina ukimya tuu unajua upo sahihi..wewe si unasema wabrazil wamegundua basi. Ok soma link hiyo.
Kufuru ni sehemu ya maisha yako mwehu wewe usiye na hakika na hata jinsia yako.Unachiandika nania hajui kuwa ni hasira na kukata tamaa .huna cha maana ktk huu mjadala..jiue km misukule na makafara mengine ya allah na majinn....juzi tuu tumempiga maombi mwenze ,makitu yale yalimpanda ...akanza chukua kisu kutafuta damu,huku meno yamemtoka km vampire...tukamshinda leo kamrudia Yesu..mwingine sheikh akamletea damu yang`ombe.Hizo ndizo siri zenu n amaisha yenu. Labda tuu nikuuambie kitu kasome vyema ..scandle la Aisha ktk Hadith..aisha aliliwa kabila,jizee kwa wivu linaua soo na kushusha ayati..ila ilikue scandle kubwa ktk jamii...wayahudi wana kashifa,eti huyo askari wa kirumi aliitwa julius tibelius panthera. Joseph alikua kasafiri ile anarudi akamkuta mchumba wake mary ako mjamzito,pakatokea ugomvi joseph akimtuhumu kuwa amekua unfaithfull. Sasa sijui nani anasema kweli hapa,agano la jipya ama kitabu cha talmud.
sasa kwanini hawafi kama wanamkashifu yesu mnaedai ni mungu?.Yesu kutokutambuliwa na Wayahudi inajulikana hata wakati wa Yesu mwenyewe
Na alisema hilo mara nyingi
Leta ushahidi wa hili!
sasa kwanini hawafi kama wanamkashifu yesu mnaedai ni mungu?.
Ushahidi coming soon
nimekwepa tu kusema,wayahudi wanadai yesu yuko motoni mwili wake umechanganywa kwenye**(haitamkiki)Unajua maana ya kukashifu?
Feesttyle ndio nini?hata mbwa hawana free style..hata samaki na hata ndege wanaotoka australia na kwenda zaa south africa hanaa style isiyo na kesho wala jana,wala life isiyo na destine..hat wale nyumbu wa serengeti wana patterns zianzojulikana na kufanyiwa utafiti kwa uzao wao kwa karne nyingi sana. usiatuambie hata hapa huji unataka achieve nini?..what a shame..unapotezea watu muda hapa..kumbe ni hopeless.....nachoamini mi ni freestyle,i think outside the box sometimes.hebu jiulize,kama hizo tuhuma ni uongo,kwanini wayahudi mpaka leo hawamtambui yesu?. Kwanini ukiristo ni marufuku kuhubiriwa israel na wakikumata ipo adhabu ya jela?
haha..chako kimekataaa...?
Kwani Yesu alilaani mafundisho na mapokeo ya wazazi wao kutok akitabu gani?ndicho kitabu ambacho israel wanatumia na kina hadhi kuliko hata agano la kale.
kama ushahidi hautoshi sema,kuna source kama elfu moja juu ya suala hiri.ni marufuku kuhubiri injili nchini israel.Yesu kutokutambuliwa na Wayahudi inajulikana hata wakati wa Yesu mwenyewe
Na alisema hilo mara nyingi
Leta ushahidi wa hili!
lakini si mnasema waisrael wamebarikiwa na yesu?Kwani Yesu alilaani mafundisho na mapokeo ya wazazi wao kutok akitabu gani?