duuu!!!!! basi ni balaaa, mnatisha nyinyi, sasa na sisi tunaolumbana humu mara hakuna mungu si balaaa hi.iif m not mistaken john lennon alisema yesu akirudi atashangaa mana amekuwa maarufu zaid yake
na ukimuamini katika roho na kweli , hata kama upo dini gan, ni lazima utoke , sali , funga na saidia wajane na mayatima , mungu utamuona kwa neema zakeMungu ni wa wote hata wale wa Allah
na ndiyo maana ukiwa una sali sana , hasa kama dini ya kiislam shetani anakuwa mbali na wewe , tofauti na wakristo wao wanahitaji nguvu ya yesu ,ambapo muda mwingi ni kazi na sala za kutwa mara moja au 2 majaribu yanakuwa mengi sana mwisho wake inabidi umtegemee mchungaji tu , wakati waislam ni mara 5 kutwa na usiku kuna tahajjud(sala ya usiku),Mungu bwana, Anampambanisha Shetani na mwanadamu a.k.a Kiumbe dhaifu ilihali anaujua uwezo wa shetani kiutendaji ni sawa na yeye tu.......
na ndiyo maana ukiwa una sali sana , hasa kama dini ya kiislam shetani anakuwa mbali na wewe , tofauti na wakristo wao wanahitaji nguvu ya yesu ,ambapo muda mwingi ni kazi na sala za kutwa mara moja au 2 majaribu yanakuwa mengi sana mwisho wake inabidi umtegemee mchungaji tu , wakati waislam ni mara 5 kutwa na usiku kuna tahajjud(sala ya usiku),
jaribu kuwa na heshima kwa imani za wenzako..mungu wako tukimwita shetani utajisikiaje?Shimo linalotenganisha Ukristo na Uislam ni kubwa mno kwa MTU kujaribu kufananisha uislam kama dini na Ukristo ambao ni imani , ninyi kwenu ni mungu wakati katika ukristo ni Shetani. Kujaribu
Kulinganisha ni sawa na kulinganisha nuru na Giza...
1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya titanic, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu titanic
2.azuza (mwanamuziki brazil)
alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.christina hewt (mwandishi)
huyu alikaririwa akisema " nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi leo umesababishwa na nini.
4. John lennon (muimbaji)
wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.
Kwa upeo wa kupima na kijiko sishangai kwanini dini uliyopo hata hujui kwanini upo huko..ndio maana una sababu za kuungaunga na ulinganifu wa kuwa wapa wengine viwango vidogo ili unachoamini kihalalishwe? Shetani ana akili sana kuliko nyie.....km una dhani wakristu ndio wanafutawa na vishawishi ni wazi unasema kuwa shetani anajua wengine keshashika na kuwanunua..na hakuna anayenunua mali yake. Hakuna proof kuwa ukiswalis ana ndio kuna marrks zaidi, walio vilema na mabubu watapewa points ngapi? Halafu kusema kuwa wanategemea nguvu za Yesu halafu unasema kuwa ianabidi wamtegemee mchungaji..ni very illogical aisee ni fikra ahat mnyama hawezi fikiri hivyo......sasa km wanategemea Nguvu za Yesu...iweje wamtegemee mchungaji?Nguvu za Yesu zitakwenda wapi,au zimeisha Lini..km Jina Lake kila siku linafanya maajabu...na Wakristu wanalijua na wanalitumia kwanini tena watafute nguvu za mchungaji? Kweli mnayo shida..ila hizi habari zza kufikirika zimejaa sana ktk historia ya uislam dhini ya wengine..ktk hadithi pia wayahudi wanasingiziwa kuwatoa kafara watoto.wengine kuwa Wakrsitu wanasema Mungu alilala na maria kumpata Yesu,ndio maana wanapata sana kuelewa au kufikiri kuwa Yesu ni mwana wa Mungu bila kujisikia wamekufuru.....na ndiyo maana ukiwa una sali sana , hasa kama dini ya kiislam shetani anakuwa mbali na wewe , tofauti na wakristo wao wanahitaji nguvu ya yesu ,ambapo muda mwingi ni kazi na sala za kutwa mara moja au 2 majaribu yanakuwa mengi sana mwisho wake inabidi umtegemee mchungaji tu , wakati waislam ni mara 5 kutwa na usiku kuna tahajjud(sala ya usiku),
Haha..nilimsikia...Hizi ndizo Laana za ujamaa..Ujama haukuwa ukipinga chochote zaidi ya Ukristu kwa mgongo wa kupinga ubeberu...Wajamaa km ni uovu waliuwa watu kuliko hata vita za kidini.Kingunge alichoshindwa tambua ni kwamba ujamaa uliingi amakataba na uislam kwa vile wote wana misingi fulani ya kutawala watu kifikra na kimaisha.Nyerere alijitahidi sana kutengeneza version ya ujamaa wa Kiafrica akaishia kufanya kazi ya magaidi duniani..akajikuta akipewa asababua za kijamaa za kupinga waliofanikiwa zikifanana sana na sababu za magaidi kuua watu hovyo duniani, na hofu ya uhuru wa binadamu na uhuru wa habari.Bado kingunge si muda atakufaaa,,,,,,,! Anaona wivu wa sifa za bwana,,,,,anasema hakuna NA hapendi salaam ya bwana yesu asifiwe au tumsifu yesu kristo anasahau kuwa yeye ndiye kamfinyanga yahana sura ya kwanza.....
Haha..nilimsikia...Hizi ndizo Laana za ujamaa..Ujama haukuwa ukipinga chochote zaidi ya Ukristu kwa mgongo wa kupinga ubeberu...Wajamaa km ni uovu waliuwa watu kuliko hata vita za kidini.Kingunge alichoshindwa tambua ni kwamba ujamaa uliingi amakataba na uislam kwa vile wote wana misingi fulani ya kutawala watu kifikra na kimaisha.Nyerere alijitahidi sana kutengeneza version ya ujamaa wa Kiafrica akaishia kufanya kazi ya magaidi duniani..akajikuta akipewa asababua za kijamaa za kupinga waliofanikiwa zikifanana sana na sababu za magaidi kuua watu hovyo duniani, na hofu ya uhuru wa binadamu na uhuru wa habari.
jaribu kuwa na heshima kwa imani za wenzako..mungu wako tukimwita shetani utajisikiaje?
jaribu kuwa na heshima kwa imani za wenzako..mungu wako tukimwita shetani utajisikiaje?
Eiye ni mweupe kichwani hana hoja.. anauliza maswali ya ajabu ajabu.. yasiyokuwa na mantiki..ata akijibiwa atauliza tena swali hilo hilo tena kipuuzi kabisa.. ni wakupuuza
Mwenyewe unajiona umeongea point sana hapo..bila shaka unajiona uko sahihi kabisa...Japo Allah si Mungu wa waarabu wote kama unavyodhani lakini Mungu kwa maana ya Allah ndo huyu huyu aliyeumba dunia..aliyemfanya Mariam kuwa na Mimba pasipo kuingiliwa na mwanaume na kisha kumzaa Issa/Yesu ambaye wewe unamwita Mungu bila shaka.
Haha...umejiumiza bure bila sababu.Huwezi reason Ukristu km hujui IDIOMS zao.....Kukusaidia tuu.....naona uangalie Bunge wanaanza na kanuni kwanza ...ambazo baadae zitaleta sense na kugaidi reasoning ,na muendendo mzima wa Bunge.........pengine utafunguka kidogo.Akili za kiislam na atheist hazitoshi ktk Christian theology..na ndio maana Judeo Christina Will Rule Forever.....hata rules za maths..zimeanzia ktk idioms...ndipo mengine yakaenda.HUjawahi jiuliza mambo mengi..ndio hujui mengi ya kutosha kusaidia hata kujua nini unaongea.It is common sense that most of us humans are rational people who follow logic. Christians like to claim Jesus is God, so let us test this, and let us put ourselves in the time of Jesus as a believing person. We will quote passages from the NT and you decide for yourselves if you would take Jesus as God if you witnessed these events. Let us now take a journey into the NT: John 20: 16-18 [SUP]16 [/SUP]Jesus saith unto her, Mary. She turned herself, and saith unto him, Rabboni; which is to say, Master. [SUP] 17 [/SUP]Jesus saith unto her, Touch me not; for I am not yet ascended to my Father: but go to my brethren, and say unto them, I ascend unto my Father, and your Father; and to my God, and your God. [SUP]18 [/SUP]Mary Magdalene came and told the disciples that she had seen the LORD, and that he had spoken these things unto her. If someone told you they have a God, would you honestly believe that man is God? Think logically, will you take the man as your God, or will you worship his God? Logic tells you that you should be worshiping his God. Mark 24: 32-36: 32 Now learn a parable of the fig tree; When his branch is yet tender, and putteth forth leaves, ye know that summer is nigh: 33 So likewise ye, when ye shall see all these things, know that it is near, even at the doors. 34 Verily I say unto you, This generation shall not pass, till all these things be fulfilled. 35 Heaven and earth shall pass away, but my words shall not pass away. 36 But of that day and hour knoweth no man, no, not the angels of heaven, but my Father only If a man told you he does not know the last hour, would you really believe this man could be God? Think logically. Jhn 7:16 Jesus answered them, and said, My doctrine is not mine, but his that sent me If someone told you the doctrine he teaches you is not his, but belongs to someone else, would you believe this person is God? Think logically. It's like God saying the Bible is not from me, but from someone else. In fact that is what Christians say! Hebrews 5:1-8: 1 For every high priest taken from among men is ordained for men in things pertaining to God, that he may offer both gifts and sacrifices for sins: 2 Who can have compassion on the ignorant, and on them that are out of the way; for that he himself also is compassed with infirmity. 3 And by reason hereof he ought, as for the people, so also for himself, to offer for sins. 4 And no man taketh this honour unto himself, but he that is called of God, as was Aaron. 5 So also Christ glorified not himself to be made an high priest; but he that said unto him, Thou art my Son, to day have I begotten thee. 6 As he saith also in another place, Thou art a priest for ever after the order of Melchisedec. 7 Who in the days of his flesh, when he had offered up prayers and supplications with strong crying and tears unto him that was able to save him from death, and was heard in that he feared; 8 Though he were a Son, yet learned he obedience by the things which he suffered If you saw a man crying and praying non stop in fear, would you really take this man as God? Think logically please. Matthew 6: 5-8: And when thou prayest, thou shalt not be as the hypocrites are: for they love to pray standing in the synagogues and in the corners of the streets, that they may be seen of men. Verily I say unto you, They have their reward. [SUP]6 [/SUP]But thou, when thou prayest, enter into thy closet, and when thou hast shut thy door, pray to thy Father which is in secret; and thy Father which seeth in secret shall reward thee openly. [SUP]7 [/SUP]But when ye pray, use not vain repetitions, as the heathen do: for they think that they shall be heard for their much speaking. [SUP]8 [/SUP]Be not ye therefore like unto them: for your Father knoweth what things ye have need of, before ye ask him. If a man told you to pray to someone else, not himself, would you believe this man is God? Think logically. A man is telling you pray to God, and teaching you how, he is not telling you to pray to him, so would you believe this man is God? Acts 2:22: [SUP]22 [/SUP]Ye men of Israel, hear these words; Jesus of Nazareth, a man approved of God among you by miracles and wonders and signs, which God did by him in the midst of you, as ye yourselves also know: If you heard this statement would you honestly believe Jesus is God? A MAN approved of God, obviously logic tells you this man is not God. It also says that God gave him the miracles and wonders etc. So think logically, would you still take this man as God? If you are illogical you then will. It also doesn't take a brain genius to figure this out. Acts 3:13: [SUP]13 [/SUP]The God of Abraham, and of Isaac, and of Jacob, the God of our fathers, hath glorified his Son Jesus; whom ye delivered up, and denied him in the presence of Pilate, when he was determined to let him go Would you take this man as God? Note how it starts off saying the God of Abraham, and Isaac, and of Jacob, and the God of our fathers, it then says this God has glorified his son who is Jesus. So as we can see, there is a distinction made, and that Jesus cannot possibly be the God of Abraham, Isaac, nor Jacob. Think logically, the text makes it clear that the God of Abraham and of Isaac and of Jacob is NOT Jesus. There is much more that could be shown. However so this is enough, now its up to you to use your brain or not.
Haha...umejiumiza bure bila sababu.Huwezi reason Ukristu km hujui IDIOMS zao.....Kukusaidia tuu.....naona uangalie Bunge wanaanza na kanuni kwanza ...ambazo baadae zitaleta sense na kugaidi reasoning ,na muendendo mzima wa Bunge.........pengine utafunguka kidogo.Akili za kiislam na atheist hazitoshi ktk Christian theology..na ndio maana Judeo Christina Will Rule Forever.....hata rules za maths..zimeanzia ktk idioms...ndipo mengine yakaenda.HUjawahi jiuliza mambo mengi..ndio hujui mengi ya kutosha kusaidia hata kujua nini unaongea.
1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC
2.AZUZA (mwanamuziki brazil)
Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.Christina hewt (mwandishi)
Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini.
4. John Lennon (muimbaji)
Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
Well,kuna nguvu mbili tu duniani zinazofanya kaziKijana naona unajitia wazimu ambao huna...Mungu wa waislam ndo Mungu uyo uyo wa kina Ibrahim na yaakubu...Nafikiri nyinyi mna Mungu Mwengine ambae amekuamrisheni wanaume kwa wanaume Muoane.....
Nilidhani Quran ni maneno ya Allah sasa mbona naona kama Ibrahimu anapiga story na wanae akiwemo na mjukuu wake?Q2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.
Q2:133
Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake
Wewe unaweza kuwa umelewa kashata na kahawaUsiwatie Ibrahim na Vizazi vyake katika ukiristo ambao hauwahusu....Endeleeni kujizonga Pekee yenu
1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC
2.AZUZA (mwanamuziki brazil)
Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.Christina hewt (mwandishi)
Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini.
4. John Lennon (muimbaji)
Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.