Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Hahaha,

Ushaanza kujitoa kwa kusema hayakuhusu.

Sasa kama hayakuhusu umeingia kwenye thread na kupost kwa minajili gani?

Kwanza hujataja hayo majibu uliyodai sina
Pili hujasema kama yananihusu

Apart from that,ninachokifanya hapa nikukufahamisha kuwa unatafuta kinyesi jikoni jambo ambalo ni gumu sana kukipata!
 
Ungemalizia tu kuwa na uwezo huo hana

Nisawa na utake gari likuthibitishie kuwa fulani ndie aliyelitengeneza wakati unajua kabisa kuwa gari halina uwezo wa kutambua achilia mbali uwezo wa kukueleza!

You are putting the cart before the horse.

Habari nzima ya kulinganisha binadamu alivyoumbwa na mungu na gari lilivyoumbwa na binadamu inakuweka katika awkward position ya kuona kwamba kwa kuwa unadai.huyo binadamu aliyetengeneza gari naye kaumbwa na mungu, basi kama binadamu aliyetengeneza gari alovhoumbwa na mungu basi na huyo mungu aliyemuumba binadamu ana muumba wake naye pia, if at all hakuna kilichopo ambacho hakijaumbwa.

Else, the entire question is bizarre and founded on shaky ground.
 
Kwanza hujataja hayo majibu uliyodai sina
Pili hujasema kama yananihusu

Apart from that,ninachokifanya hapa nikukufahamisha kuwa unatafuta kinyesi jikoni jambo ambalo ni gumu sana kukipata!

Nimekupa maswali, majibu hujatoa, unarukaruka tu.

Nyie ndio mnaokula chooni na mimi nikiwaambua hapa chooni pachafu hapafai kula, mnasema katika imani yetu kinyesi ni chakula.
 
Nimekupa maswali, majibu hujatoa, unarukaruka tu.

Nyie ndio mnaokula chooni na mimi nikiwaambua hapa chooni pachafu hapafai kula, mnasema katika imani yetu kinyesi ni chakula.
Maswali gani?

Na yananihusu?
 
JAMANI TAFADHALI MSIFANYE MZAHA. MUNGU HADHIHAKIWI...! NAMWOMBA MUNGU AJIDHIHIRISHE KWA KILA ANAYEMBEZA
Kuna mfalme mmoja wa Babeli (NEBKADREZA) alikuwa anajiona mjanja sana na kumdharau MUNGU WA KWELI. MUNGU alipoamua kumwonyesha uwezo wake alikiri wazi kwamba hakuna mungu anayestahili kuabudiwa isipokuwa ni MUNGU MMOJA TU. (ni baada ya kumgeuza kama mnyama wa porini na kukaa kondeni kwa miaka 7)
Soma habari yake katika kitabu cha Danieli sura ya 4
 

That was not my point
Mimi nimetoa mfano na mimi ndio ungeniuliza nilichomaanisha na sio wewe kusema nilichokuwa namaanisha

Mfano wangu ulikua umejikita kwenye uwezo wa gari kutambua na sio kwenye kuwa na mtengenezaji

Gari limetengenezwa na binadamu lakini je linaweza kumtambua mtengenezaji wake kuwa ni binadamu tu achilia mbali jina lake?

Kama unataka kujua sababu ya gari kuwekewa break utaliuliza gari au mtengenezaji [rejea kuumbwa kwa shetani]
Kama gari haliwezi kumtambua mtengenezaji litawezaje kujua sababu ya kuwekewa break?

Ndio maana Samaritan anakuambia kuwa unashindwa kuelewa vitu vidogo,lakini mimi nasema huenda ukawa huna kabisa uwezo wa kuelewa

Kama unajua kabisa binadamu na kanuni zake hawezi kuthibitisha uwepo wa Mungu kwasababu binadamu mwenyewe na kanuni zake kaumbwa na Mungu,ni kitu gani kinakufanya uendelee kuuliza hapa uthibitisho wa uwepo wa Mungu wakati Mungu mwenyewe ndio mwenye uwezo huo?

Au unadhani Mungu ni mwanachama wa JF na anaweza kusoma madai yako na akakujibu?
 
Last edited by a moderator:

Thibitisha kwamba mungu yupo na ndiye aliyemuumba binadamu.

La, ukishindwa, kubali kwamba hizi ni hadithi tu usizoweza kuthibitidha.
 
Last edited by a moderator:
Thibitisha kwamba mungu yupo na ndiye aliyemuumba binadamu.

La, ukishindwa, kubali kwamba hizi ni hadithi tu usizoweza kuthibitidha.

Kwanini unataka nikuthibitishie?
Kwanini usitafute kuthibitisha wewe mwenyewe?

Au huwezi kufikiri?
 
Kwa wasiokiamini kitabu hicho wasome wapi?
 

Mimi nimekuea nabisha kuwepo kwa mungu tangu 1990.

Na sijajutia hilo mpaka leo, linanipa clarity of mind tu.

Ondoa habari za kutaka kuleta ukondoo kwa hofu.

Mungu kama yupo anipige radi nife ndani ya masaa 24.

Naanza kuhesabu masaa.
 
Mimi.nimrkues nabisha kuwepo kea mungu tangu 1990.

Na sijajutia hilo mpaka leo, linsnipa clarity of mind tu.

Ondoa hsbari za kutaka kuleta ukondoo kwa hofu.

Mungu kama yupo anipige radi nife ndani ys masaa 24.

Naanza kuhesabu masaa.
Nitakaguwa hii id baada masaa 48 kama bado iko active.
 
Kwanini unataka nikuthibitishie?
Kwanini usitafute kuthibitisha wewe mwenyewe?

Au huwezi kufikiri?

Nimetafuta kuthibitisha nimeona mungu wenu anaji contradict.

Sasa mnaosema yupo mna kazi ya kuthibitisha kwamva yupo.
 
Kwa wasiokiamini kitabu hicho wasome wapi?

Kitabu cha mungu kinakwambia mungu ndiye mtoa wa vyote, kwa rehema zake.

Halafu kinakupa habari kwamba kuna mti mmoja haujapata nafasi ya kuzaa. Obviously kwa sababu mungu hajaupa rehema ya kuzaa.

Halafu mungu huyo huyo anaulaani mti huo huo kwa sababu haujazaa matunda.

If this is not blaming the victim, then what is?

Huyu ndiye mungu mwingi wa rehema huyu?

Hiki ndicho kitabu cha mungu hiki?

Huku kwingine Yesu kaahidi watu kwamba atarudi kabla hawajaonja mauti.

Watu wakauza nyumba na mashamba na kutoa hela sadaka, wakisubiri Yesu arudi.

Mpaka leo miaka takriban elfu mbili imepita Yesu hajarudi.

Mungu gani tapeli anawadanganya watu hivi?

Hata huyo Ndam Mutoto ya Ng'ombe ana afadhali maana yeye hajatapelin watu kwamba ni mungu.
 
Nimetafuta kuthibitisha nimeona mungu wenu anaji contradict.

Sasa mnaosema yupo mna kazi ya kuthibitisha kwamva yupo.

Ulitafuta wapi?
Mungu wetu yupi?
Wa wapi?

Kitendo tu cha kutafuta Mungu wa fulani ni kosa utawezaje kuthibitisha wakati unatafuta Mungu wa fulani?

Kila nguvu ina kanuni,Mungu nae ni hivyo pia,ulifuata kanuni gani kumtafuta huyo uliyemtafuta?

By the way,kama ulimtafuta Mungu wa fulani na ukaona kama ulivyoona kwanini unadhani ni tatizo la huyo Mungu na sio lako?

Usipoliona embe lililodondoka mtini hilo ni tatizo la macho yako kutokuona au ni la embe?
Embe linaonekana na wengine wewe unadai halionekani huoni tatizo ni lako?

Huyo Mungu uliyemtafuta na hukumuona huenda ni tatizo lako maana wengine hao "wenye" huyo Mungu wanamuona lakini wewe humuoni inawezekana hujafuata kanuni zitakazokufanya umuone

Lakini pia kama amejicontradict huoni tayari unakubali yupo?
Kisichokuwepo kinawezaje kujicontradict?

Na huyo Mungu uliyemtafuta ulijuaje kuwa unamtafuta Mungu na sio kitu ingine?
 
Nitakaguwa hii id baada masaa 48 kama bado iko active.

Ikiwa active utafanya nini?

By the way si mara ya kwanza kuandika hivyo hapa JF.

Na sipati hata malaria!
 
Nimetafuta kuthibitisha nimeona mungu wenu anaji contradict.

Sasa mnaosema yupo mna kazi ya kuthibitisha kwamva yupo.
ili wewe ikusaidie nini !?

'Na hakika Sisi bila shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao gadhibisha. Na hakika bila shaka itakuwa majuto kwa wanao kataa !
Qur'an: 69:49.
 

Unaanza kea ku assume kwamba mungu yupo.

Unaanza ku assume kwamba embe imeanguka mtini hata kabla hujachunguza kama imenunuliwa gengeni na kuwekwa chini!

Nimemtafuta mungu, pande nne za dunia
Nimestuka marungu, mbuzi mee kwa gunia
Mungu huyu ni mzungu, na mtawa jichumia
Na ni kiweka ukungu, wa nakawa kuumia

Mungu huyu mungu gani asiye kwenye mizani?
Kajifichapo kwa ndani? Yupo bara au pwani?
Vitabu vya ugizani, vitawale ukinzani?
Mungu huyu baalani, siwezi weka manani

Mungu chaka la ujinga, pu.mbavu ndani ya mimba
Hata kama Mmachinga, hilo naliweka dimba
Vipi leo mnaimba, kwamba sungura ni simba?
Mungu huyu tampinga, Pangani na Tandahimba

Mungu haendi somoni, kajificha kama mwali
Ushungi hata pomoni, kama binti wa liwali
Ulevi huu komoni, au viloba vikali?
Mungu huyu mdomoni, si kweli wa ilhali

Mungu huyu ni muumba, au bakaji Maumba?
Anavyoua wachumba, tendawili atufumba?
Na kulaani mgumba, hizo rehema mtumba?
Mungu huyu kajidunga, au teja kamtunga?

Mungu anajihadaa, kwa haiba ushujaa
Huku atupa mabaa, kutujazia majaa
Wamsubiri masaa, arudi bila mawaa
Wajitakia balaa, kushinda kutwa salaa

Mungu chungu nungunungu au punguani pungu?
Mboni kajifunga fungu, lisiloisha ukungu?
Mungu huyu Sungusungu, aso silaha ya rungu?
Mboni ashindwa uzungu, kutuweka kwenye gundu?
 
ili wewe ikusaidie nini !?

'Na hakika Sisi bila shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao gadhibisha. Na hakika bila shaka itakuwa majuto kwa wanao kataa !
Qur'an: 69:49.

Ili isaidie tujue kweli.

Nitakuja hapa baada ya masaa 24 kuonyesha kwamba mungu wenu ni wa maboksi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…