Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Wengi uliowataja hapo walikufa kwa sababu tafauti tafauti,tusijaribu kulazimisha kuwa wote walikufa sababu ya kauli zao.Mungu huwa hajaribiwi na hilo halina ubishi
 
Duh mada zengine bwana
Halafu nasikia Mungu wa wagalatia alikuwa mweupe.
 
Mkuu hapo namba 3 hiyo kuungua moto kama moto huo ulichoma hadi vitu basi chanzo kinaweza kujulikana lakini kama haukuunguza chochote ila yy 2 hii ki2 inajulikana kama (s.h.c) spontaneous human combustion isome google mkuu kwa maelezo zaidi
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
allah=Allah

Kweli kabisa maana kati yao kuna mmoja alizaliwa, alikufa na baadaye kufufuka na mwingine hakuzaa, kuzaliwa wala hakufa na ni Mungu wa dunia na vilivyomo hivyo nakubaliana nawewe.
 
allah=Allah

Kweli kabisa maana kati yao kuna mmoja alizaliwa, alikufa na baadaye kufufuka na mwingine hakuzaa, kuzaliwa wala hakufa na ni Mungu wa dunia na vilivyomo hivyo nakubaliana nawewe.
allah
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
stupid.poor.idiot.mende et mungu wa yakobo.isaka.ibrahim mtakuwa na akil lini nyie
 
My dear friend sio vitisho Mungu yupo hai. Anafanya maajabu na miujiza siku zote!!
Amekupa akili hekima na maarifa kuchagua haki ili uishi!!
Ukimpata Bwn Yesu umepata uzima wa milele!!
 
3.Christina hewt (mwandishi) Huyu alikaririwa akisema "
Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto
ambao haijajulikana hadi Leo ume sababishwa na nini.
 
Acha ujinga wewe

Mungu huwa haadhibu MTU

Hivi wajua maana ya kukufuru wewe?

Kukufuru ni pale tu MTU anapotenda maovu, km na wewe ni mtenda maovu tayari unakufuru,
 
Asante mkuu

Karibu kitimoto tuianze pasaka vyema
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
Huo ni ujinga

Hakuna Mungu wa hao uliowataja hapo juu

Mungu ni wawote
 
kwahiyo wasingekufuru inamaana wasingekufa?dah inasikitisha sana labda tu nikwambie kitu,Mungu hayupo kama hivyo unavyofikiri.!
 
Huyu nae bado mzima
 
Tumia akili ya kawaida tu,uwepo wa Mungu is a spiritual thing,huwezi kukutana nao kariakoi kama makalio yako yanavyowaza,we mtume ulikutana nae jamatini?
Jamatini.... Haha utakuwa huko dodoma tu.
 
Mungu ni mmjoja,wote tunamwabudu.huyohuyo,sema tu tumegawanyika kiitikadi,Mungu yupo na uweza wake ni mkuu
Ila Mungu wa kwenye quran kaahidi atawachoma watu kama nyinyi... Alishasema uislamu ndio dini ya haki.... Sasa hapa jifanyeni kuungana lakini Allah anakutambua wewe kama kafir...
 
Kweli Mungu yupo na ni mmoja tu hana mshirika, hivyo ni vema kila mtu akaheshimu imani ya mwenzake. Mwisho Wa siku hatujui nani yupo sahihi muislamu au Christian.
Kumbw hamjui nani yupo sahihi very strange then wote mnadai dini zenu ni za kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…