Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

hahaaa hahaa aiseee
 
acha udwanzi "" hao unaowaita kuwa walikufuru na wewe ambaye hujakufuru wote mtakufa .."" sasa faida ya wewe usiyekufuru iko wapi hapo ..ikiwa wote mtaionja adha ya umauti""
acha kutoa mifano ya kifo kama ndio mifano ya adhabu ya waliokuwa wamekufuru ..haileti maana kwa sababu hata kama wasinge kufuru (kama ambavyo wewe unasema )mwisho wa siku lazima wangekufa tu "" maana ndio hatima ya kiumbe hai """
 
Hahahahaha, mm nimeipenda number 2,watu wanabalaaaa sna hapa duniani
 
Wameuliwa na wenye masirahi na vitu walivyo kashifu@wamilik wa makanisa ili ionekane miujiza ya mungu
 
Kwahyo kufa ni adhabu kumbe dah R. I. P mama yangu
 
wasiwasi wangu wewe utakavyokufa kutokana na kauli zako hatutaweza kujua. ila niko sure kwamba na wewe utaongezeka kwenye hii list
Duh ngoja mimi ninyamaze ili niishi milele
 
Wapo watu wanakufuru mpaka leo, wanasema 'Yesu mungu, na mama yake ni mama mungu'
Na wapo wanakula ugali na kutoa michango miingi wajenge mahekalu ya kukita masanamu ya Yesu na ***** mama mungu.
 

Attachments

Achen kutisha waoga

Kwan kuna MTU ataishi milele
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
Acha udini wewe ,mungu wa warabu maana yake nini ? Mungu ni mmoja ni mungu wa wote
 
mkuu naomba uniambia kitabu gani kinasema umbo la dunia ni flat na sura, mstari pia
 
Niliuliza, sijapata jibu mpaka leo.

Kwani wasiomkufuru Mungu hawafi?
 
Mpaka leo unaamini dunia ni litufe ulilofundishwa class!!!??
[emoji16][emoji16][emoji16]Ni Maandiko ya Mungu haya hato dosari moja ya kuona kwa hadubini. The Bible says the Earth is flat and have a firm firmament!!! Yeah it is!!
 
Nilidhani utaenda deep kuhusu Mungu . Mungu hakuumba dhambi dhambi ni uamuzi wako kuwa kinyume na Mungu. Wewe si Robot ndivyo alivyokuumba Mungu ili ikiwezekana Umtukane kama hivi au Umpende
Kwa kuwa nje na Mungu hakuna zuri bin Adamu alipochakua kuachana na Mungu ndipo ubaya (i.e dhambi ) ikatokea.
Hitimisho la Mungu ni kufuta dhambi lkn kama utachagua iwe sehemu ya wewe itafutwa pamoja na wewe huenda ukawa kama mdudu Kupe ambaye anamuuma ng'ombe na bila kujua kuwa alishachinjwa anaendelea kung'ang'ania na ngozi inakauka au kuchomwa akiendelea kushika
Mwisho Mungu hajawahi kulazimisha viumbe vimpende ila Yeye ndiye mwanzo wa uhai hivyo mwisho wa siku uhai wake atwapa wampendao swali ni hili akiuchukua utakuwa na hali ipi? Hapo jijibu wewe
 
Mpaka leo unaamini dunia ni litufe ulilofundishwa class!!!??
[emoji16][emoji16][emoji16]Ni Maandiko ya Mungu haya hato dosari moja ya kuona kwa hadubini. The Bible says the Earth is flat and have a firm firmament!!! Yeah it is!!
Toa nukuu kwa biblia
 
Shida ni mwamba Kiranga yeye bado anaishi.au hua anaandika humu kutokea kuzimu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…