Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Qur-an hai edit -wi kama bible. Kwenye Qur-an hakuna agano la kale wala jipya.

NAKUTUMA NENDA KAWAAMBIE VIONGOZI WAKO HII SEHEMU INATAKIWA KU EDITIWA:........................
Kwa kuanzia naomba uniambiwa kwa nn muhamad na allah waliwaruhusu kuoa wake wengi na sio kuolewa na wanaume wengi?. Mwanzoni kulikuwa na sababu kuwa eti wanawake ni wengi kuliko wanaume kitu ambacho kime prove failure coz kwa sasa kwa takwimu za dunia inaonesha wanaume ni wengi kuliko wanawake (Hapa usitake kubishana---Google mwenyewe). Kama kweli hii ilikuwa ndo sababu, hamuoni kuwa it is a high time for you muslims to review and edit your quran? Vinaja wa kisasa wanasemaga ni kama mmeingizwa mjini/chaka
 
wote wanaomdhihaki MUNGU wetu na kumtukana,naapa kwamba by 2016 watakuwa wametoweka,na wale waliomo humu hamtaziona hata ID zao!
 
Hee bhna , siku moja moja sio mbaya kubadilisha mazingira, vp lakini


Poaa kuna inshu moja ya domo nimeipewa na vijana wa zoka nilitaka nije nayo kule kijiweni baadae ngoja tujadili hii kwanza..

Tupo pamoja bina
 


Umeanza na mada zako za kishuzi...

Hoja ni kumkufuru mungu kwahiyo tabia zako za kigangoni usizilete hapa
 
Poaa kuna inshu moja ya domo nimeipewa na vijana wa zoka nilitaka nije nayo kule kijiweni baadae ngoja tujadili hii kwanza..

Tupo pamoja bina

Eeh binamu tuonane kwenye kijiwe chetu kile
 
Umeanza na mada zako za kishuzi...

Hoja ni kumkufuru mungu kwahiyo tabia zako za kigangoni usizilete hapa

Acha kurukaruka nenda kwenye facts............tatizo mnafundishwa kumeza km yalivyo na mwisho mnameza na misumari baadaye mnawalalamikia wengine.
 
Hili somo ni kubwa sana linapita uwezo wako unaotumia sasa.
Kwa mleta mada nadhani you are wrong....Mungu ana upendo kweli hawezi kuwafanya watu wake hivyo......think

Mkuu you are wrong...uasi ukizidi kiasi Mungu anakuadhibu hakuachi hata kidogo...think
 
Acha kurukaruka nenda kwenye facts............tatizo mnafundishwa kumeza km yalivyo na mwisho mnameza na misumari baadaye mnawalalamikia wengine.


Naona kimekuuma...

Acheni kuabudu zile sanamu mnazoziita yesu ni kufuru kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…