Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihi ulivyo andika. Ni kweli Mungu hawezi kufanya visasi na binadamu hata siku moja, wala siyo mafundisho ya kikristo na Biblia.Huu wote ni Uongo ambao shetan anausambaza. Mungu wa Kikristo Mungu Jehova ni wa Upendo. Ukiangalia matukio au historia za watu hao ni wachache ambao wamethibitishwa kunena maneno hayo na walikuja kufa wengine mwaka au miezi kadhaa baada ya maneno hayo. Aliyekuwa rais wa brazil alikufa siku 39 baada ya kuteuliwa na tayari alikuwa ni mgonjwa mwenye uvimbe tumboni. Aliyesema meli ya titanic kuwa hata Mungu asingeweza izamisha alikuwa ni mtu baki tu mwajiriwa katika meli ya titanic wala si muundaji wa meli hiyo. Na bado Mungu asingewaua watu wasio na hatia kwa maneno ya mpumbavu mmoja.
Acha kupotosha watu na utubu kwa dhambi hii. Mungu wa kikristo ni Mungu mwingi wa rehema na neema. Aliweza wasamehe watu wengi waliomkosea na kuwaokoa akiwepo saul/paul.
Shetani ni kiumbe dhaifu kupita mwanadamu.Mungu bwana, Anampambanisha Shetani na mwanadamu a.k.a Kiumbe dhaifu ilihali anaujua uwezo wa shetani kiutendaji ni sawa na yeye tu.......
Kumbe unaamini kuwa kuna Mungu.mungu wa yakobo na isaka is a fool and a murderous crazy pagan god.
Umemgeuka mwenzio unamwambia yuko wrongHili somo ni kubwa sana linapita uwezo wako unaotumia sasa.
Kwa mleta mada nadhani you are wrong....Mungu ana upendo kweli hawezi kuwafanya watu wake hivyo......think
Mungu alifanya kisasi na mwanadamuNi sahihi ulivyo andika. Ni kweli Mungu hawezi kufanya visasi na binadamu hata siku moja, wala siyo mafundisho ya kikristo na Biblia.
Hamna kisasi hapo.Mungu alifanya kisasi na mwanadamu
1 aliwaua wana wa israel jangwani
2 alishindwa kumsamehe adamu na mkewe bustanini
3. Alishindwa kuwasamehe watu enzi za nuhu na kuwaangamiza kwa gharika
4. Alishindwa kuwasamehe watu wa sodoma na gomolah na mke wa Ruthu kumgeuza nguzo ya chumvi
Japokuwa anadai yeye ni mwingi wa rehemu anasamehe dhambi zote na kufuru zote za wanadamu
Lakini ni mungu mwenye kisasi asiye na huruma kwa watu wake
Anasema mimi ni mungu mwenye wivu nawapatiliza mbali wana maovu wa. baba zao kizazi cha kwanza cha pili cha tatu na cha nne cha wanichukiao
maana yake baba alifanya dhambi mtoto ataadhibiwa na mjukuu ataadhibiwa na kitukuu kitaadhiwa ni hadi kizazi cha nne je hicho si kisasi?
Umekalili kwelikweliShetani ni kiumbe dhaifu kupita mwanadamu.
Mwanadamu umeumbwa kwa mfano wa Mungu mwenyewe.
Ukapewa utawale vitu vyoote vilivyo angani, ardhini na chini ya ardhi.
Huyo Shetani anakuonea wivu jinsi Mungu alivyokupendelea mamlaka na uwezo.
Ukimkataa Shetani anakukimbia, ukimkaribisha anakuja kukuchanganya akili yako.
Usijidharau ndugu
Wewe ni Bora kuliko Shetani na unalindwa na Malaika kila sekunde
Jitambue ukuu wako.
Kwa comment hii sidhani Kama upo hai, na Kama upo hai I think Uko vibaya Sana kiafyaMmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..
pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha
Sijakariri huu ndio ukweli.Umekalili kwelikweli
Samani Bosi wangu.Mimi nimemkufuru Mungu tangu Jamiiforums inaitwa Jamboforums.
Na sijafa mpaka leo.
Na kama kufa wote tutakufa.
Hakuna Mungu. Hakuna Shetani.
Mungu na Shetani ni wewe mwenyewe.
Mimi nimesomesha daktari Tanzania. Anatibu watu. Nimesaidia kuumba udaktari wa huyu mtu anayetibu watu. Ndio uungu wangu huo.
Ninapofanya mabaya, huo ndio ushetani wangu.
Acheni kutishiana ujinga hapa.
Ukiondoa woga wa kumuogopa Mungu asiyeonekana wala kuthibitika wengi tuliopewa tangu tunazaliwa, ukiangalia mambo kwa kufikiri kwa kina, kutumia mantiki na uchunguzi usioshinikizwa na jamii, bali unaotafuta ukweli, utapata jibu moja.Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..
pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha
ww ni mjinga, bado akili za kupandikizwa zinakupeleka. Hakuna Mungu.Veeeery veeeery interesting.......nimeipenda hii,hakika Mungu yupo!
Peleka ujinga wako huko.1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC
2.AZUZA (mwanamuziki brazil)
Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.Christina hewt (mwandishi)
Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini.
4. John Lennon (muimbaji)
Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.
Acha kuwa na akili fupi!!aiseee inaogofya Mwenyezi Mungu atusamehe na utupe hekima katika maneno na mawazo yetu ,atupe kuchagua yapi ya kunena yapi ya kuwaza.
Wewe amini hakuna Mungu kwa sababu zako binafsi. Pia, waache wanao amini kuna Mungu kwa sababu zao binafsi! Mjinga anasema hakuna Mungu ingawa creation Inaonesha wazi kwamba kuna Muumba aliye sababisha. Pia mjinga anasema kuna Muumba sababu ya uwepo wa ushahidi wakutosha. Kwahiyo, wewe ni mjinga pasipo amini uwepo wa Mungu na wengine wajinga kwa kuamini uwepo wa Mungu. Wacha Mungu ataamue siku ikifika, labda by then utakuwa umeshaoza kubakia mifupa kaburi.ww ni mjinga, bado akili za kupandikizwa zinakupeleka. Hakuna Mungu.
Mungu ni Uongo takatifu uliotengenezwa na wahuni wa kale