Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Hili somo ni kubwa sana linapita uwezo wako unaotumia sasa.
Kwa mleta mada nadhani you are wrong....Mungu ana upendo kweli hawezi kuwafanya watu wake hivyo......think

Somo kubwa la kufikirika..hamna logic..evidence.. mbwembwe nyingi..kama ni somo kubwa la namna hii basi ukubwa wake unatia shaka
 
Mungu yupo na ni mkuu mno,nimekua mfatiliaji mzuri sana wa historia ya wana wa israel katka biblia,na hiyo ilinifanya nizidi kuamini uweza na uwepo wa Mungu katika maisha ya mwanadamu,farao alipigwa mapigo.makuu na mwisho akaamini kuwa Mungu wa israel ndie Mungu,

Umekutana nae Kariakoo?
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
Mbona we Mungu wako kahukumiwa na kiumbe chake mbona hatusemi? Tena baada ya hukumu kupita ya kupigiliwa misumari minne msalabani, viumbe wake wengine (seremala) wakamuibia msumari wake mmoja. Badala ya kumpigilia misumari minne wao wakachakachua mmoja na kumpigilia mitatu tu na mwingine wakasepa nao.
 
Mungu bwana, Anampambanisha Shetani na mwanadamu a.k.a Kiumbe dhaifu ilihali anaujua uwezo wa shetani kiutendaji ni sawa na yeye tu.......

Ni huyu huyu wanadai alipambana na shetani kiumbe wake.. hivi hadi kupambana inamaana alishindwa kufanya projection na kujua kwamba ipo siku huyu kiumbe atanigeuka..je kwanini atupwe kwetu.. narudia tena utunzi wa vitabu hivi si makini
 
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha

Ni ignorance yako tu ndo inakuambia Bible ni Primitive; lakini mimi nasema Bible is a living book na ndo maana ukiisoma na kufanya application yake leo utaifanya miujiza aliyofanya Eliya, Elisha na Yesu.
Kama unataka kujiunga na waliomkufuru Mungu fanya Publically halafu uandike kwenye diary siku uliyokufuru ili watu warekodi kujua ulikufa siku ngapi baada ya kukufuru. Ila tu elewa tunaye Mungu aliye hai na anakuona ukiandika.

Usisahau kunipa mstari kwenye bible unaosema Dunia ni flat kwa sababu najua haupo
 
Mungu yupo hakika.

Watu wa aina hii walikuepo zamani sana tena zamani kweli
1394186716231.jpg quran imesema haya tangu karne ya tano
 
Mbona we Mungu wako kahukumiwa na kiumbe chake mbona hatusemi? Tena baada ya hukumu kupita ya kupigiliwa misumari minne msalabani, viumbe wake wengine (seremala) wakamuibia msumari wake mmoja. Badala ya kumpigilia misumari minne wao wakachakachua mmoja na kumpigilia mitatu tu na mwingine wakasepa nao.

Nyie nyote wasanii..naomba mjikite kwenye sayansi..wacha mambo ya ajabuajabu..mtauwana bure..kumbe ni mambo yakufikirika..
 
Umekutana nae Kariakoo?

Tumia akili ya kawaida tu,uwepo wa Mungu is a spiritual thing,huwezi kukutana nao kariakoi kama makalio yako yanavyowaza,we mtume ulikutana nae jamatini?
 
Mungu yupo jamani na kiukweli,ushawahi jiuliza mbona hatukumbuki tulifikaje duniani na mbona hatujui tulivyokua tumboni tuliishije? Mungu yupo katika imani.

Asante kwa kunisaidia kutoa ufafanuzi mzuri
 
Nyie nyote wasanii..naomba mjikite kwenye sayansi..wacha mambo ya ajabuajabu..mtauwana bure..kumbe ni mambo yakufikirika..

Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake kulingana na imani yake,na wewe imani yako ipo kwenye sayansi hauzuiliwi ila tu usiwatukane watu wengine,tumia lugha nzuri
 
Ni ignorance yako tu ndo inakuambia Bible ni Primitive; lakini mimi nasema Bible is a living book na ndo maana ukiisoma na kufanya application yake leo utaifanya miujiza aliyofanya Eliya, Elisha na Yesu.
Kama unataka kujiunga na waliomkufuru Mungu fanya Publically halafu uandike kwenye diary siku uliyokufuru ili watu warekodi kujua ulikufa siku ngapi baada ya kukufuru. Ila tu elewa tunaye Mungu aliye hai na anakuona ukiandika.

Usisahau kunipa mstari kwenye bible unaosema Dunia ni flat kwa sababu najua haupo

Maneno yako ni kama "miujiza" "maajabu"
hayo maneno yote umepata kwenye vitabu vyenu vitakatifu.. hivi unajua waandishi wenu wa mateso ya yesu wanajichanganya.. hawajui hata yesu alivaa vazi la langi gani.. na mateso hawajui mateso yalianza saa ngapi.. hii hekima ya mungu muweza iko wapi hapa?
 
Somo kubwa la kufikirika..hamna logic..evidence.. mbwembwe nyingi..kama ni somo kubwa la namna hii basi ukubwa wake unatia shaka

Jina kako na lugha yako ni vitu viwili ambavyo haviendani,tumia lugha nzuri,toa maoni pasipo kuwatukana watu
 
Mungu ni mmjoja,wote tunamwabudu.huyohuyo,sema tu tumegawanyika kiitikadi,Mungu yupo na uweza wake ni mkuu

Kweli Mungu yupo na ni mmoja tu hana mshirika, hivyo ni vema kila mtu akaheshimu imani ya mwenzake. Mwisho Wa siku hatujui nani yupo sahihi muislamu au Christian.
 
Maneno yako ni kama "miujiza" "maajabu"
hayo maneno yote umepata kwenye vitabu vyenu vitakatifu.. hivi unajua waandishi wenu wa mateso ya yesu wanajichanganya.. hawajui hata yesu alivaa vazi la langi gani.. na mateso hawajui mateso yalianza saa ngapi.. hii hekima ya mungu muweza iko wapi hapa?

Hatuzungumzii dini hapa,tunazungumzia ukuu wa mungu kila mtu kwa imani yake pasipo kuitukana imani ya mwenzake,kwa imani yako si unaamini Mungu yupo?
 
Back
Top Bottom