Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Kweli Mungu yupo na ni mmoja tu hana mshirika, hivyo ni vema kila mtu akaheshimu imani ya mwenzake. Mwisho Wa siku hatujui nani yupo sahihi muislamu au Christian.

Na huu ndio msingi wa thread,kwamba kila mtu awe huru kutoa maoni pasipo kumkosea heshima mwenzake
 
Ni huyu huyu wanadai alipambana na shetani kiumbe wake.. hivi hadi kupambana inamaana alishindwa kufanya projection na kujua kwamba ipo siku huyu kiumbe atanigeuka..je kwanini atupwe kwetu.. narudia tena utunzi wa vitabu hivi si makini

Mkuu achana na utunzi wa vitabu na criticism zisizokua na maana,thread inaelezea ukuu na uwepo wa Mungu,naamini hata wewe katika dini yako unamwamini Mungu,
 
Na huu ndio msingi wa thread,kwamba kila mtu awe huru kutoa maoni pasipo kumkosea heshima mwenzake

Well said dia bahati mbaya wengine hawajui hayo kila mtu anajiona sehemu anayoabudu ni sahihi kuliko mwenzake. Heshima inahitajika katika kila mtu anachokiamini
 
Ni ignorance yako tu ndo inakuambia Bible ni Primitive; lakini mimi nasema Bible is a living book na ndo maana ukiisoma na kufanya application yake leo utaifanya miujiza aliyofanya Eliya, Elisha na Yesu.
Kama unataka kujiunga na waliomkufuru Mungu fanya Publically halafu uandike kwenye diary siku uliyokufuru ili watu warekodi kujua ulikufa siku ngapi baada ya kukufuru. Ila tu elewa tunaye Mungu aliye hai na anakuona ukiandika.

Usisahau kunipa mstari kwenye bible unaosema Dunia ni flat kwa sababu najua haupo

Yes,the holly Bible is the only living book under this world,wakubali wakatae but the truth will forever stand
 
Sijawai kuona kitu cha ajabu kama hiki.. kusema kitu hakipo alafu unaambiwa leta uthibitisho
ukweli ni kwamba wewe mwenye uthibitisho wa uwepo wake utuletee.. kwa mfano nikisema hakuna sayari ya kumi..wewe ukisema ipo unaleta uthibitisho.. sasa kazi kwenu kuleta uthibitisho wa uwepo wake

Labda hukanipata vizuri. Nimesema baada ya wiki uje useme maneno hayohayo, nina uhakika kama yupo atajidhihirisha kwako na utakuja hapa utushuhudie kwamba you were wrong. Ila kama hayupo vilevile utatuambia hapa kuwa si nilisema hakuna kitu! Mbona kimya? Only one week for conformation.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha

wasiwasi wangu wewe utakavyokufa kutokana na kauli zako hatutaweza kujua. ila niko sure kwamba na wewe utaongezeka kwenye hii list
 
Mungu bwana, Anampambanisha Shetani na mwanadamu a.k.a Kiumbe dhaifu ilihali anaujua uwezo wa shetani kiutendaji ni sawa na yeye tu.......

HUKU NA WATU WENYE MIZAA SANA

Rafiki ushawahi jiuliza wewe maisha yako yapo mikoni mwa nani
Mungu anakujua na anakupenda sana
 
wasiwasi wangu wewe utakavyokufa kutokana na kauli zako hatutaweza kujua. ila niko sure kwamba na wewe utaongezeka kwenye hii list

God shall eeveals his greatness towards all,
 
HUKU NA WATU WENYE MIZAA SANA

Rafiki ushawahi jiuliza wewe maisha yako yapo mikoni mwa nani
Mungu anakujua na anakupenda sana

Mkuu,Mungu amsamehe bure maana bila hivyo ghadhabu ya Mungu itakua juu yake na ni kuu mno
 
Hatuzungumzii dini hapa,tunazungumzia ukuu wa mungu kila mtu kwa imani yake pasipo kuitukana imani ya mwenzake,kwa imani yako si unaamini Mungu yupo?

ata mimi sikutaka niongelee dini,ila huyu kasema dini yake mungu wake ni makini sana..kwenye kitabu chake..nimempa mifano kuonesha si kweli anavyo fikiria..
mimi naongelea mungu muumba mbingu na nchi..bila kujali wa dini gani..
 
1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC
2.AZUZA (mwanamuziki brazil)
Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.Christina hewt (mwandishi)
Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini.
4. John Lennon (muimbaji)
Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.

Ni juzi tu niliakuwa naangalia channell moja ya dini, kuna mtu alikuwa anaeleza haya mambo kwamba MUngu hadhiakiwi kila apandacho mtu, atavuna.
 
Kumbe wapo wengi hao akina Mungu?

Hujui mkuu.....Sijui kurani inasemaje lkn Biblia takatifu inasema "mimi ndimi mungu wako, usiabudu miungu wengine"....mfano ili umuone allah inabidi utambue kuwa mmuhamadi ndo mtume wake na yote ayafundishayo ni sawa lakini ili ufike Mbinguni umuone Mungu wa kweli ni lazima ukili na kuamini kuwa Yesu Mungu na Mkombozi wa ulimwengu wote na yeye mwenyewe Yesu anasema "MIMI NDIMI NJIA KWELI NA UZIMA, MTU HAJI KWA BABA BILA KUPITIA KWANGU".................Tubuni na kuamini injili sio hadithi za mtume
 
Ni kweli tu ikiwa wanamkana allah na kumuabudu Mungu wa kweli............mpaka sasa ni wana wapotevu

Na Mungu ni.mmoja,sisi binadamu tumejiwekea itikadi tofauti ila pamoja na itikadi hizo yabidi tuheshimiane na kila mmoja aheshimu imani ya mwingine
 
mungu wa yakobo na isaka is a fool and a murderous crazy pagan god.

Nilijua tu kuwa utakuja na moto wa kifuu.....sasa utauweza moto wa petrol wewe?.....Hapo ulipo umeshavaa mabomu tayari kujilipua
 
Mbona we Mungu wako kahukumiwa na kiumbe chake mbona hatusemi? Tena baada ya hukumu kupita ya kupigiliwa misumari minne msalabani, viumbe wake wengine (seremala) wakamuibia msumari wake mmoja. Badala ya kumpigilia misumari minne wao wakachakachua mmoja na kumpigilia mitatu tu na mwingine wakasepa nao.
Hii mistari ukiiongeza kwenye kurani itawasaidia hata waislamu wenzio, nasikitika kuwa wewe peke yako ndo unajua haya. hebu nenda ka edit kurani basi kwanza
 
Na Mungu ni.mmoja,sisi binadamu tumejiwekea itikadi tofauti ila pamoja na itikadi hizo yabidi tuheshimiane na kila mmoja aheshimu imani ya mwingine

Sio uheshimu hata uchafu................inabidi umfundishe njia ya kweli naye aijue kweli
 
if m not mistaken john lennon alisema yesu akirudi atashangaa mana amekuwa maarufu zaid yake

alisema kama ifuatavyo namnukuu "I'm right and I will be proved right. We're more popular than Jesus now; I don't know which will go first — rock and roll or Christianity. sasa yako wapi??
 
Back
Top Bottom