thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 264
Una fikra fupi kama vipimo vya Chupi.
zako je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una fikra fupi kama vipimo vya Chupi.
then kama huyo mungu wa waisraeli alikuwa ni mungu wa wanadamu wote,kwanini asiwaonyeshe njia hao wamisri nao waache kuabudu masanamu?.huoni kuwa huyo mungu wao yaani Yhweh alikua ni kuajiri yao waisrael,wewe mnyantuzu unaingiaje hapo kama hata wamisri jirani kabsa hawakuhusika na huyo mungu?.
Rejea kitabu cha waflume wa kwanza na wapili visome vyote anzia mwanzo hadi mwisho utaelewa nina maana gani.
Kuna wakati mfalme wa babel aliteka yuda,akawapeleka wote utumwani babel na hapo yuda akaleta watu kukaa,lakini ili wakae salama ilibidi waende na masharti ya MUNGU WA HIYO NCHI.
Ikabidi mpaka waende babel kumleta myahudi mmoja aje awe kuhani wao. Ndo kusema huyo mungu wa yakobo alikua kwa ajili ya hiyo nchi.
Pia huyo jehova alikua anapingana na baal ambae alikua ni mungu wa milima,wakati huyo wa waisrael alikua mungu wa tambalare.
Isome vizuri wafalme utaona kipindi hicho ilikua maarufu kujenga maeneo ya juu,ama nyumba iliyoinuka sana.ukifanya hivo ilionekana kama unamuabudu Baal na jehova alichofanya ni kukuua.
Mkuu sorry kwa kutokuendelea na mjadala wetu kwa Muda!
Unajua baada ya dhambi kuingia Dunia watu waliamua kujifanyia ibada zao na Kua na miungu Yao na Kuacha Imani au ibada ya Mungu Wa kweli!
Na pia Mungu aliweka maagano na Ibrahimu na uzao wake likiwemo na Lengo la kujidhirisha kwa Mungu ktk ulimwengu kupitia maagano ya Ibrahimu na uzao wake!
Na ndio Maana tunao baada ya hayo maagano na Ibrahimu Mungu hakuwaacha na alipenda wamtumikie na kumwabudu na akawa anajidhihifisha kupitia kwao! Kwahiyo ata Wa Wamisri sio Km wametengwa ktk huu ukombozi! Hapana!
Na pia kuhusu ukuhani! Mungu aliteua familia maalum kwa ajili ya kuhudumu ktk hema! Kwahiyo Kwahiyo kwa mtu tu kuhudumu ktk Hiyo hema ilikua Haiwezekani!
Sijakufahamu uzuri maelezo yako.
Mungu alotoa maagano ndo Mungu Yesu ama huyi tena ni mwangine...?!!
kwenye titanic hapo kidogo nahisi naweza kuchangia
titanic ndo ilikuwa meli kubwa ya kifahari ambayo haijawahi kutengenezwa duniani na ikmbukwe iliwekewa measures zote za kuifanya ielewe kwa muda mrefu hata kwa siku 3 incase imetokea imegongana na kitu kingine lakini kitu cha msingi tujiulize huyo nahodha laiechaguliwa kuiendesha hiyo meli alikuwa ni mzoefu sana wa kupita bahari hiyo (zaidi ya mara 500) amazing meli ikikuwa inatembea kwa speed ya 22knots(0.0113177778 kilometers / second) amazing kwa speed ndogo kiasi hicho meli ilienda kugonga mwamba ambao dereva alikuwa anaujua fika uko wapi?(something was not normal kwa nahodha wa meli) kwa akili zangu nilihisi kwaba mtu akikabidhiwa kitu kipya anakuwa ancho makini sana na kukijali unfortunately ilikuwa ndivyo sivyo kwa dereva so kwangu mimii nahodha wa meli ameplay part kubwa sana zaidi ya asilimia 90 kwa kuzama kwa meli na wala sio kutokana na jinsi(muundo na vifaa) vilivyotumika katika utengenezaji wa meli
Logic yako ipo flawed hapa: Mungu hakuzaliwa (ingawa nayo ni controversial: hakuna maandiko yanayoandika kabla ya Mungu na kuimba dunia kwa mapana).Kuzaa ni maamuzi na mipango yake ambayo hatuwezi mpangia.....hapa ndipo unayo shida kubwa sana kifikra....na kuzaa inategemea ni zaa ipi..hii ya kibinadamu..hata roho zetu zinavaa tuu mwili ,hazizaliwi na mwili....mimi nachokataa ni kuwa hakuna miungu wengine kuna mungu mmoja tu ambae hakuzaa wala hakuzaliwa. Mungu wa isaka ndo ile miungu ya kipagani ambayo haipaswi kuitwa mungu.
Sijakufahamu uzuri maelezo yako.
Mungu alotoa maagano ndo Mungu Yesu ama huyi tena ni mwangine...?!!
Logic yako ipo flawed hapa: Mungu hakuzaliwa (ingawa nayo ni controversial: hakuna maandiko yanayoandika kabla ya Mungu na kuimba dunia kwa mapana).Kuzaa ni maamuzi na mipango yake ambayo hatuwezi mpangia.....hapa ndipo unayo shida kubwa sana kifikra....na kuzaa inategemea ni zaa ipi..hii ya kibinadamu..hata roho zetu zinavaa tuu mwili ,hazizaliwi na mwili....
Mkuu meli hiyo haikuzama kwa sababu za kiasili kama watu wanavyodhani
Ilizamishwa
Nitaleta uzi hapa unaoweka wazi hayo na watu watachangia soon!!!!!!!!
Mkuu meli hiyo haikuzama kwa sababu za kiasili kama watu wanavyodhani
Ilizamishwa
Nitaleta uzi hapa unaoweka wazi hayo na watu watachangia soon!!!!!!!!
Mkuu ata ktk Quran Surat Al Nisa 171 ktk Hiyo aya kuna kipengele kinasema kwa! Ametukuka yeye (yaani Mungu) na Kuwa Na Mwana!
Kwahiyo Quran inasisitiza kukataa utatu Yani Trinity na Huku inasema Kua Mungu ana Mwana! Na hapo hapo tena inasisitiza Mungu Ni mmoja! Sasa hapo mtu unashindwa kuelewa ufate lipi?
Mkuu ukileta huo Uzi nijulishe kwa PM tafadhali!
kama umenisoama vizuri maelezo yangu hapo juu utaelewa kabisa kwamba hiyo meli ilizamishwa makusudi na nahoodaha husika wa meli haiwezekan mwamba ambao dereva anaujua ulivyo na ulipo kabpita zaidi ya mara miatano siku ya ufunguzi wa meli ya kisasa duniani aende kuugonga it doesnt make sense,instead alitakiwa awe makini sana na hicho chombo kipya
back to the topic ni kwamba naamini uwepo wa mungu na yeyote anaejaribu kujifanya yuko juu ya mungu au mungu hana uwezo juu yake basi akiamua within a second linaweza kumtokea la kumtokea
Usijali mkuu
Tuombe tu MODS waukubalie maana hapa huwezi kuweka tu uzi kama majukwaa mengine,wanakagua kwanza na wakiona umefit kwenye viwango vyao basi wanauruhusu
Let's pray for the best!
Wasichokijua hawa watu ni kuwa Quran ni copy kutoka kwenye Biblia
Lakini kibaya ni kuwa wakati wana copy walikuwa wanasahau baadhi ya mambo
Baada ya kuja kugundua kuwa wamesahau na wao wamejiita kuwa ni mitume wakaona kukiri kukosea ni kujishushia hadhi na ingekuwa ni kama kumfanya mungu wao kuwa alikosea kuwapa aya hivyo njia rahisi ni kutengeneza aya za kuyakana yale waliyoyasahau!
uankosea kitu hapa hembu rudia nilichoandika..Quran haina habari ya Kabla ya Mungu,na existence yake..sasa kusema hakuzaliwa au alizaliwa ni aburdity...km huji alianza vipi? Baada ya Mungu kuwepo..then kuzaa au kutozaa ni suala lake Binafsi, na pengine kwa kujua tuu na si kumpangia..hata aina ya uzazi tuufikirio si lazima uwe hivyo..ndio maana nimekuambia hata Roho zetu hazizaliwi na mwili,huwa zinauvaa mwili...na kuuacha tunapokufa.Sasa hii mistari yako na kukimbilia kupinga utatu..si jambo sahihi kwa hoja yangu.Utatu hata wakristu wenyewe wapo wanaotofautiana...Ila hata hiyo Quran yenyewee inathibitisha kuwa Yesu ni mwana wa Mungu ..ndio maana haina baba yake ila ina maelezo jinsi alivyopatikana...Quran ina michanganyiko kibao ila mbaya zaidi ni huu w akufananisha Adam na Yesu ktk kuzaliwa wakati ..Adamu hakuzaliwa ..aliumbwa.na kupuliziwa pumzi ya Mungu.Yesu alizaliwa kwa Mimba kutungwa kwa "Neno la Mungu"..huwa nashindwa elewa kwanini waislam huwa hawashtuki sana KUSIKIA kuwa Yesu ni Neno la Mungu,na Hilo neno ndilo Mungu hutumia kuumba.Na Yesu ktk Quran Kaumba Ndege. Pamoja na quran kuchanganya sana,ila sijui kwanini waislam wanashindwa sana kukatiza ktk mistari na kupata snapshots.Sasa utatu unamnyima vipi Mungu uhuru wa kuzaa akipenda..na hakuna maamdniko yanayoweza mnyima Mungu kuzaa ktk historia yake..hata kesho anaweza zaa kwa jinsi apendavyo..ktk njia nyingi sana alizojalia viumbe wake..km bacteria,km migomba, km binadamu ,kwa uwezo wa roho mtakatifu na njia nyingine..Mkuu ata ktk Quran Surat Al Nisa 171 ktk Hiyo aya kuna kipengele kinasema kwa! Ametukuka yeye (yaani Mungu) na Kuwa Na Mwana! Kwahiyo Quran inasisitiza kukataa utatu Yani Trinity na Huku inasema Kua Mungu ana Mwana! Na hapo hapo tena inasisitiza Mungu Ni mmoja! Sasa hapo mtu unashindwa kuelewa ufate lipi?
uankosea kitu hapa hembu rudia nilichoandika..Quran haina habari ya Kabla ya Mungu,na existence yake..sasa kusema hakuzaliwa au alizaliwa ni aburdity...km huji alianza vipi? Baada ya Mungu kuwepo..then kuzaa au kutozaa ni suala lake Binafsi, na pengine kwa kujua tuu na si kumpangia..hata aina ya uzazi tuufikirio si lazima uwe hivyo..ndio maana nimekuambia hata Roho zetu hazizaliwi na mwili,huwa zinauvaa mwili...na kuuacha tunapokufa.Sasa hii mistari yako na kukimbilia kupinga utatu..si jambo sahihi kwa hoja yangu.Utatu hata wakristu wenyewe wapo wanaotofautiana...Ila hata hiyo Quran yenyewee inathibitisha kuwa Yesu ni mwana wa Mungu ..ndio maana haina baba yake ila ina maelezo jinsi alivyopatikana...Quran ina michanganyiko kibao ila mbaya zaidi ni huu w akufananisha Adam na Yesu ktk kuzaliwa wakati ..Adamu hakuzaliwa ..aliumbwa.na kupuliziwa pumzi ya Mungu.Yesu alizaliwa kwa Mimba kutungwa kwa "Neno la Mungu"..huwa nashindwa elewa kwanini waislam huwa hawashtuki sana KUSIKIA kuwa Yesu ni Neno la Mungu,na Hilo neno ndilo Mungu hutumia kuumba.Na Yesu ktk Quran Kaumba Ndege. Pamoja na quran kuchanganya sana,ila sijui kwanini waislam wanashindwa sana kukatiza ktk mistari na kupata snapshots.Sasa utatu unamnyima vipi Mungu uhuru wa kuzaa akipenda..na hakuna maamdniko yanayoweza mnyima Mungu kuzaa ktk historia yake..hata kesho anaweza zaa kwa jinsi apendavyo..ktk njia nyingi sana alizojalia viumbe wake..km bacteria,km migomba, km binadamu ,kwa uwezo wa roho mtakatifu na njia nyingine..