Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Hili somo ni kubwa sana linapita uwezo wako unaotumia sasa.
Kwa mleta mada nadhani you are wrong....Mungu ana upendo kweli hawezi kuwafanya watu wake hivyo......think
Mungu hafurahii kifo chake yeye afaye; mtu akifa anakufa kivyakevyake kwa kujitakia tuuu
 
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha
Tatizo lako hujui kifo ni exponential decay of the form AB[SUP]-X[/SUP] ; Mwanadamu alianza kufa tangu siku aliyokula tunda lililokatazwa kwa maana aliambiwa hakika utakufa. Adam alitakiwa afe siku ileile aliyokula tunda ambapo wewe na mimi na wengine waliotangulia wasingezaliwa kabisa ila kwa neema ya kuruhusiwa slow death over time as a process ndio mana tuko hapa tulipo. Magonjwa, mateso, njaa, mahangaiko yote na kutofaa kote kwa dunia ni process ya kifo chake ambacho kitakoma baada ya siku ya saba ya mapumziko ya mungu itakapoisha ili aanze tena kazi nyingine ya kujua whats next. Miaka elfu sita ya uwepo wa mwanadamu haujatimiza idadi ya siku saba kwa hesabu ya mbinguni sasa huyo anayeshangaa na kuona kama mambo haya yamedumu sana ni kutokana na akili na ufahamu mdogo tu wa mwanadamu; Plani halisi ya mungu kuhusu maisha juu ya hii dunia bado haijafunuliwa na hiyo ndiyo yenye hayo maisha yasiyo na hangaiko wanayoongelea watu kama nyie
 
Hitler naye alisema Ukristu ni dini ya hovyo sana, km wajerumani wangechagua dini km uislam,dini ya watu dhaifu ila imewasaidia ku conquer mataifa na kuwa imara,wangekuwa na heshima na mafanikio zaidi.katafuta urafiki na Shiekh mkuu wa Jerusalem ili wawaangamize wayahudi..haikuchukua Muda Hilter akangushwa na kuifanya ujerumani koloni la US hadi leo.Na bado Ukristu ndio unaelezea mafanikio ya Ujerumani Ulaya kuliko mataifa mengine.
hitler alikua roman catholic mzuri sana na kipindi yuko mdogo alikua anahudumu kanisani,sijui mnawaita altar boy.na kisa cha yeye kuwachukia wayahudi ni shutuma za wayahudi kumuua yesu.hitler alikua karibu sana na vatican kama ulikua huna taarifa.
 
Mkuu nilikuelewe ulichokua umesema lkn Mimi Nilipenda tu kuongezea kitu hapo Hasa ktk point ya Mungu kuweza kuzaa! Na pia ktk hoja yako hii niongezee kitu kingine Ni kwamba Quran pia inamsema Yesu Kua yeye Ni Neno hii Ni sawa na bible inavyomtaja Yesu Kua Ni neno!
Pia neno ala Mungu linaumba......... Ok..Quran haina sana maelezo ya isemayo ndio shida inayowapelekea waislam kuwa na tafsiri nyingi sana,ambzo zinategemea sana watu wenye ushawishi mkubwa wa dini walisema nini ... Qurani pamoja na kupinga Mungu kuwa hadi sasa hajazaa haijasema kuwa hatokaa azae tena..ila waislam kwa haraka wandhani kuwa mungu hawezi zaa..yaani Mungu hana uwezo wa kila kitu...Na vilevile pia hata ktk huo uzao, ni kwamba uislam umejikita ktk Mungu kuzaa kwa ngono..ndio maana wanaona kuwa ni kufuru Mungu kuzaa..hembu karudie kusoma na kusikiliza dhana za wengi..huone wapi wanashindwa pata picture na kuon ani kurufuru hata kutaja Mungu na kuzaa,tena na mwanadamu..utaona ni Ngono...ila hawajiulizi kwanini Mungu alipenda Bikra na hakufanya ngono.Ila pia Tafsri ya asili ya Quran...ni kwamba malaika laimleke maria Mbegu....na as if Mungu kafanya artificial insemination...sijui kwamba alipiga punyeto ili kupata hiyo Mbegu? Kwa Quran kurukia maandiko mengine na kujaribu kuwa perfect na msemaji mkuu wa hayo maandiko kwa usahihi kuliko hayo maandiko kunajenga kurufu zaidi. Ni more Palusible kuwa Mungu alituma neno lake ambalo lilimwingie Maria na kuwa Mimba....kisayansi siku hizi watu wanaweza tumia hata ngozi tuu kuhamisha DNA na kupandikiza mtoto.Bila ngono.Sijui kwanini mungu wa waislam hawezi hadi afanye ngono.?Ngono ambayo waislam wenyewe wanaiona ni kufuru kubwa.Kuna shida hapa....wanyama na viumbe kibao wanazaana bila ngono..ila waislam wanataka Mungu wao azae kwangono tuu..
 
Na inasema hitler kuwaua wayahudi ilikua ni mtego tu ili ionekane wayahudi wanateswa ulaya so wapate sababu ya kurudi palestine.hitler mwenyewe alikua myahudi.
 
Pia neno ala Mungu linaumba......... Ok..Quran haina sana maelezo ya isemayo ndio shida inayowapelekea waislam kuwa na tafsiri nyingi sana,ambzo zinategemea sana watu wenye ushawishi mkubwa wa dini walisema nini ... Qurani pamoja na kupinga Mungu kuwa hadi sasa hajazaa haijasema kuwa hatokaa azae tena..ila waislam kwa haraka wandhani kuwa mungu hawezi zaa..yaani Mungu hana uwezo wa kila kitu...Na vilevile pia hata ktk huo uzao, ni kwamba uislam umejikita ktk Mungu kuzaa kwa ngono..ndio maana wanaona kuwa ni kufuru Mungu kuzaa..hembu karudie kusoma na kusikiliza dhana za wengi..huone wapi wanashindwa pata picture na kuon ani kurufuru hata kutaja Mungu na kuzaa,tena na mwanadamu..utaona ni Ngono...ila hawajiulizi kwanini Mungu alipenda Bikra na hakufanya ngono.Ila pia Tafsri ya asili ya Quran...ni kwamba malaika laimleke maria Mbegu....na as if Mungu kafanya artificial insemination...sijui kwamba alipiga punyeto ili kupata hiyo Mbegu? Kwa Quran kurukia maandiko mengine na kujaribu kuwa perfect na msemaji mkuu wa hayo maandiko kwa usahihi kuliko hayo maandiko kunajenga kurufu zaidi. Ni more Palusible kuwa Mungu alituma neno lake ambalo lilimwingie Maria na kuwa Mimba....kisayansi siku hizi watu wanaweza tumia hata ngozi tuu kuhamisha DNA na kupandikiza mtoto.Bila ngono.Sijui kwanini mungu wa waislam hawezi hadi afanye ngono.?Ngono ambayo waislam wenyewe wanaiona ni kufuru kubwa.Kuna shida hapa....wanyama na viumbe kibao wanazaana bila ngono..ila waislam wanataka Mungu wao azae kwangono tuu..
mbona unatetea sana suala la kuzaa?
 
Nyerere alisema bado ana miaka makumi ma 2 matatu....waingereza ktk utawala wa CCM wakampenda zaidi..
 
Tatizo lako hujui kifo ni exponential decay of the form AB[SUP]-X[/SUP] ; Mwanadamu alianza kufa tangu siku aliyokula tunda lililokatazwa kwa maana aliambiwa hakika utakufa. Adam alitakiwa afe siku ileile aliyokula tunda ambapo wewe na mimi na wengine waliotangulia wasingezaliwa kabisa ila kwa neema ya kuruhusiwa slow death over time as a process ndio mana tuko hapa tulipo. Magonjwa, mateso, njaa, mahangaiko yote na kutofaa kote kwa dunia ni process ya kifo chake ambacho kitakoma baada ya siku ya saba ya mapumziko ya mungu itakapoisha ili aanze tena kazi nyingine ya kujua whats next. Miaka elfu sita ya uwepo wa mwanadamu haujatimiza idadi ya siku saba kwa hesabu ya mbinguni sasa huyo anayeshangaa na kuona kama mambo haya yamedumu sana ni kutokana na akili na ufahamu mdogo tu wa mwanadamu; Plani halisi ya mungu kuhusu maisha juu ya hii dunia bado haijafunuliwa na hiyo ndiyo yenye hayo maisha yasiyo na hangaiko wanayoongelea watu kama nyie
naona post yako umebase kuwa dunia iko kwa miaka 6000 tu,jambo ambalo si kweli.

Ukipiga mahesabu ya umri wa akina adam,metusela,ibrahim,noah na manabii wengi,then uje upige mahesabu ya kipindi cha waflume kina saul,daud,solomon,ahaz,ahazia,rehobam etc,miaka inazidi na kupitiliza hiyo hesabu ya 6000.
 
Na inasema hitler kuwaua wayahudi ilikua ni mtego tu ili ionekane wayahudi wanateswa ulaya so wapate sababu ya kurudi palestine.hitler mwenyewe alikua myahudi.
well, hiyo ni kauli ya waislam na wengine ili wafunguliwe milango ya kuwashambulia tena wayahudi......UN walishaweka sheria.Sasa haya mashaka manyojenga kwa watu mnayo kazi sana kuyapa msingi.
 
well, hiyo ni kauli ya waislam na wengine ili wafunguliwe milango ya kuwashambulia tena wayahudi......UN walishaweka sheria.Sasa haya mashaka manyojenga kwa watu mnayo kazi sana kuyapa msingi.
kauli za waislamu?..
 
Mkuu ata ktk Quran Surat Al Nisa 171 ktk Hiyo aya kuna kipengele kinasema kwa! Ametukuka yeye (yaani Mungu) na Kuwa Na Mwana!

Kwahiyo Quran inasisitiza kukataa utatu Yani Trinity na Huku inasema Kua Mungu ana Mwana! Na hapo hapo tena inasisitiza Mungu Ni mmoja! Sasa hapo mtu unashindwa kuelewa ufate lipi?

SURA 4. SURAT AN-NISAAI AYA 171.
Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi
Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa
Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka
kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu.
Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka
Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika
ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.
 
Pia neno ala Mungu linaumba......... Ok..Quran haina sana maelezo ya isemayo ndio shida inayowapelekea waislam kuwa na tafsiri nyingi sana,ambzo zinategemea sana watu wenye ushawishi mkubwa wa dini walisema nini ... Qurani pamoja na kupinga Mungu kuwa hadi sasa hajazaa haijasema kuwa hatokaa azae tena..ila waislam kwa haraka wandhani kuwa mungu hawezi zaa..yaani Mungu hana uwezo wa kila kitu...Na vilevile pia hata ktk huo uzao, ni kwamba uislam umejikita ktk Mungu kuzaa kwa ngono..ndio maana wanaona kuwa ni kufuru Mungu kuzaa..hembu karudie kusoma na kusikiliza dhana za wengi..huone wapi wanashindwa pata picture na kuon ani kurufuru hata kutaja Mungu na kuzaa,tena na mwanadamu..utaona ni Ngono...ila hawajiulizi kwanini Mungu alipenda Bikra na hakufanya ngono.Ila pia Tafsri ya asili ya Quran...ni kwamba malaika laimleke maria Mbegu....na as if Mungu kafanya artificial insemination...sijui kwamba alipiga punyeto ili kupata hiyo Mbegu? Kwa Quran kurukia maandiko mengine na kujaribu kuwa perfect na msemaji mkuu wa hayo maandiko kwa usahihi kuliko hayo maandiko kunajenga kurufu zaidi. Ni more Palusible kuwa Mungu alituma neno lake ambalo lilimwingie Maria na kuwa Mimba....kisayansi siku hizi watu wanaweza tumia hata ngozi tuu kuhamisha DNA na kupandikiza mtoto.Bila ngono.Sijui kwanini mungu wa waislam hawezi hadi afanye ngono.?Ngono ambayo waislam wenyewe wanaiona ni kufuru kubwa.Kuna shida hapa....wanyama na viumbe kibao wanazaana bila ngono..ila waislam wanataka Mungu wao azae kwangono tuu..



Kinachozaliwa kwa mwili Ni mwili! Na kinacho zaliwa kwa roho Ni roho!

Kwahiyo mazazi ya Mungu yapo kwa roho! Na Si kwa mwili Yani kufanya mapenzi ya kimwili au kuzaliwa kwa damu!

Nakubaliana na Wewe kit hoja zako Mkuu!
 
naona post yako umebase kuwa dunia iko kwa miaka 6000 tu,jambo ambalo si kweli. Ukipiga mahesabu ya umri wa akina adam,metusela,ibrahim,noah na manabii wengi,then uje upige mahesabu ya kipindi cha waflume kina saul,daud,solomon,ahaz,ahazia,rehobam etc,miaka inazidi na kupitiliza hiyo hesabu ya 6000.
Tatzio lenu huwa mnasoma mambo kwa kukaririshwa tuu..hivi ukisoma Biblia ktk uumbani hapo mwanzo dunia ilikuwa nini?Dunia ilikuwepo...na maji yalikuwepo..kilichofanyika ni kuyaweka maji sana ili iwe inakalika.. halafu binadamu akawekwa..sijui hiyo carbon 14 na nyingine wanategemea miamba iwaambiaje?Nadhani hapo ndipo shida yako ipo. Duania ya wanadamu haina umri zaidi ya huo....
 
naona post yako umebase kuwa dunia iko kwa miaka 6000 tu,jambo ambalo si kweli. Ukipiga mahesabu ya umri wa akina adam,metusela,ibrahim,noah na manabii wengi,then uje upige mahesabu ya kipindi cha waflume kina saul,daud,solomon,ahaz,ahazia,rehobam etc,miaka inazidi na kupitiliza hiyo hesabu ya 6000.
hata ukipima rate ya degradation ya human genes...utaona kuwa umri ni huo..genes za binadamu zimeharibika hadi sasa hivi wakizaana watu wa karibu wanazidisha shida.
 
hitler alikua roman catholic mzuri sana na kipindi yuko mdogo alikua anahudumu kanisani,sijui mnawaita altar boy.na kisa cha yeye kuwachukia wayahudi ni shutuma za wayahudi kumuua yesu.hitler alikua karibu sana na vatican kama ulikua huna taarifa.
tehe..teh....una vipimo vyake vy ukatoliki wake kabla,na akiwa kiongozi na baada ya kufa km ulikuwa uleule....? ">>>>>>>>>>>Adolf Hitler[edit] Adolf Hitler (1889 – 1945) was an Austrian-born German politician and the leader of the National Socialist German Workers Party, commonly known as the Nazi Party. You see, it's been our misfortune to have the wrong religion. Why didn't we have the religion of the Japanese, who regard sacrifice for the Fatherland as the highest good? The Mohammedan religion [Islam] too would have been more compatible to us than Christianity. Why did it have to be Christianity with its meekness and flabbiness?[4] I can imagine people being enthusiastic about the paradise of Mohammed, but as for the insipid paradise of the Christians! In your lifetime, you used to hear the music of Richard Wagner. After your death, it will be nothing but hallelujahs, the waving of palms, children of an age for the feeding bottle, and hoary old men. The man of the isles pays homage to the forces of nature. But Christianity is an invention of sick brains: one could imagine nothing more senseless, nor any more indecent way of turning the idea of the Godhead into a mockery. A n***** with his taboos is crushingly superior to the human being who seriously believes in transubstantiation.[5] Had Charles Martel not been victorious at Poitiers -already, you see, the world had already fallen into the hands of the Jews, so gutless a thing Christianity! -then we should in all probability have been converted to Mohammedanism [Islam], that cult which glorifies the heroism and which opens up the seventh Heaven to the bold warrior alone. Then the Germanic races would have conquered the world. Christianity alone prevented them from doing so.[6] The best thing is to let Christianity die a natural death. A slow death has something comforting about it. The dogma of Christianity gets worn away before the advances of science... The instructions of a hygienic nature that most religions gave, contributed to the foundation of organized communities. The precepts ordering people to wash, to avoid certain drinks, to fast at appointed dates, to take exercise, to rise with the sun, to climb to the top of the minaret — all these were obligations invented by intelligent people. The exhortation to fight courageously is also self-explanatory. Observe, by the way, that, as a corollary, the Moslem was promised a paradise peopled with sensual girls, where wine flowed in streams — a real earthly paradise. The Christians, on the other hand, declare themselves satisfied if after their death they are allowed to sing hallelujahs! ...Christianity, of course, has reached the peak of absurdity in this respect. And that's why one day its structure will collapse. Science has already impregnated humanity. Consequently, the more Christianity clings to its dogmas, the quicker it will decline.![7]>>>>>>>>>>>>>>>>"
 
SURA 4. SURAT AN-NISAAI AYA 171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.
Haha..hivi hii mistrai inakushawihsi kweli..?hiyo mbon ani km suggestion ya mtu asiyeelewa tuu. Hivi muhamada anategemea wakristu wamwache Nabii ambeye ni Neno La Mungu wamafuatea ala na muhamad km mtu me wake.Hivi hujasoma mawazi kinzani ya muhamad, watu wasome Injil, Torati na Zaburi halafu waache wanawaofuata mwafuate muahamad?kun ahja gani tena ya kusoma Injili halfu umwache Injil mwenyewe?
 
Kinachozaliwa kwa mwili Ni mwili! Na kinacho zaliwa kwa roho Ni roho! Kwahiyo mazazi ya Mungu yapo kwa roho! Na Si kwa mwili Yani kufanya mapenzi ya kimwili au kuzaliwa kwa damu! Nakubaliana na Wewe kit hoja zako Mkuu!
Ila Yesu kazaliwa kwa Mwili ili awe sehemu ya wenye mwili, na hakuzaliwa kwa mapenzi(Ngono), sijui nini kinachanganya hapa.Hata mwanadamu mwenyewe kazaliwa kwa nyama ila roho yake iliumbwa kipindi tofauti kabisa. Yesu hawezi kuwa na sifa za mwanadamu kwa vile Genes za babake si za Dunia hii, na hakuzaliwa kwa ngono na hivyo hawezi kuwa haramu...
 
kauli za waislamu?..
Nimesema pamoja na wengine (waislam km sehemu ya hilo kundi linalotafuta pwa kuwashambulia wayahudi)..au umesahau Quran inasemaje..siku waislam watawapiga wayahudi hadi wakijificha nyuma ya jiwe jiwe litawaambia waislam kuna myahudi kajificha mkamuue? Unadhani hiyo itafikiwa vipi....bila kujaribu ondoa hii kinga......?Roho ikuongozayo imekushikilia vibaya.Km si kufanya makusudi.
 
Back
Top Bottom