Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
ni kuwa hitlar na musolini wao ndo walikua pamoja na japan dhidi ya dunia nzima kwenye vita vya pili vya dunia,meaning walikuwa washirika.then hapa kuna mkataba kati ya hitler na papa pius wa ushirikiano.Sasa umeanza uongo kw amaslahi ya dini..mkataba wa Roma ukamhusu Hitler...?Mbona hujajibu Sheikh mkuu wa ala Aqsa wa Jerusalem naye alikuwa ktk mkataba wa kuipa uhuru Vatican?Unakwepa nini sasa. Ni km leo Pengo alivyo concerned na usalama wa minority Zenj km zenj itajitenga, km hapa Tuu wakristu si salama.Halafu akijaribu watorosha wakristu watakoanza geuzwa kuwa Chambo km Syria ktk vita za waislam..nae aamabiwe anamsaidia mbabe wa Zenj.Km Leo Catholic waambiwe wanamsaidia Assad wakati magaidi wa Kiislama ktk nchi ya KIIslam bil aibu wanateka Masista wa Kikristu na kuwafanya chambo ktk ugonvi wa kiislam...Kweli Ukristu ni Ukombozi.....Ukristu ni sarafu..
Then kuna mkataba kati ya musolini na vatican kuipa madaraka kamili ya kinchi vatican.see?.
Then hitler hapo anapigana na waingereza,marekan,russia ambao hawakua roman catholic,unadhani kanisa hapa lingeegamia wapi kama si kwa italy na germany?.
Then siku za karibuni ndo ikawa wazi kuwa vatican na Nazi walikua in a relationship.
Kuhusu huyo muft wa jerusalem nimesema ntarisech