Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Na kuna mwingine anaitwa messenger of Allah ambaye aliongoza uporaji na mauwaji na kuoa vibinti under age hapo huwezi kupewa majibu na both side za wafia dini.
Huyo ndo naona hata kum discuss pointless, hata hajajaribu kujionesha kwamba ana consistency uone pa kumkamatia wapi.
In fact ana contradictions nyingi na kubwa kiasi kwamba mpaka kitabu chake mwenyewe kinakuambia ukikuta contradiction jinsi ya kuitatua ni vipi.
Kitabu cha mungu chenyewe kinakubali kuwa na contradictions.
Mungu gani huyo kama si wa maboksi.
Si bora mtu aseme tu Hail His Imperial Majesty Selassie I and him kingly character which stepped on the bomb and the bomb couldn't explode, tuiweke katika mythology ya Waafrika kama muujiza wa Selassie. Tujue mtu anayesema hivi kaamua kumchomekea mu Ethiopia tuliyemjua na kumuona amepigana dhidi ya ubeberu wa Mussolini kutetea historia na utamaduni wa muafrika
Angalau uongo wake utakuwa na justification ya ku neutralize white supremacy.
Leo waaafrika kibao wanamuangalia Muarabu na Myahudi.