Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Hata sijui narudia hii kwa mara ya ngapi, MUNGU WANGU ANAJITHIBITISHA MWENYEWE sio kazi yangu.

Mungu wako angejithibitisha usingekuwa na maswali unayotaka kumuuliza wewe, wacha longolongo.
 
Tofautisha kum debunk mungu na kutafuta uwepo wa mungu kwa wanadamu.

Kama ningekuwa nataka kumtafuta mungu kwa wanadamu JF is not the place.

Rafiki yangu mmoja anakuwa ordained kuwa a Baptist minister kesho, mwingine ni Buddhist monk, so it's not like natafuta watu wa kunielewesha kuhusu mungu, more like I am.debunking a hoax upheld up in here.

Unaposema "Mungu hayupo kama yupo thibitisha"
Hiyo kauli ni ya kutafuta uwepo ndio maana unasema hayupo

So nilichokisema bado kina apply kwenye madai yako brother
Uko hapa kutafuta kuthibitishiwa kama Mungu yupo ndio maana unasema "kama yupo thibitisha"

Bado sijakosea kabisa!
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.

What about the Bible? Who actually wrote it?

What was the original language of the Bible? (Hebrew? Aramaic? Koine Greek?)
NOTE: - The Bible was never in English during the time of any prophet (not even Muhammad) - because English did not exist until after 1066 AD!

Does the Bible exist in the original form anywhere on earth? (No)

Why does the Catholic Bible has seven (7) more books than the Protestant Bible?

Why do these two Bibles have different versions of the same books?

Why are there so many mistakes and errors are from the very first verse right up to the very last verse?

Why do 'Born Again Christians' teach concepts that are not from the Bible?

There is no word "Trinity" in the Bible in any version of any language

The oldest forms of Christianity do not support the 'born again' beliefs

Jesus of the English Bible complains about the 'crucifixion'
("Eli! Eli! Lama sabachthani? - My God! My God! Why have You forsaken me?") [Mk 15:34]

How can Jesus be the "Only Begotten Son" of John 3:16? When in Psalms 2:7 David is God's "Begotten Son?"

Would a 'Just' God, a 'Fair' God, a 'Loving' God -- punish Jesus for the sins of the people that he called to follow him?

What happens to people who died before Jesus came?

What happens to those who never hear this message?

What about innocent children who die although their parents are not Christian?

Didn't God create Adam from dirt? -- So, why does he need Mary to make Jesus?

And what about God?
How can God create Himself?
How can God be a man?
How can a man be a God?
How can God have a son?
The Bible says "Seth (is) the son of Adam" and that"Adam is the son of God." [Lk 3:36]
Can't God just forgive us and not have to kill Jesus?
And what about Jesus?
Jesus did not even carry the cross -- Simon Cyre'ne, a passerby did! [Mk 15:21]
Jesus of the Bible was NOT on the cross for longer than six (6) hours -- NOT three days -- (from the 3rd to the 9th hour) [Mk 15:25 & 15:33]
Jesus of the Bible did not spend three days and nights in the tomb -- Friday night - until Sunday before dawn -- is not 3 days and nights!
Jesus DID NOT claim to be God - or even equal to God!
 
Unaposema "Mungu hayupo kama yupo thibitisha"
Hiyo kauli ni ya kutafuta uwepo ndio maana unasema hayupo

So nilichokisema bado kina apply kwenye madai yako brother
Uko hapa kutafuta kuthibitishiwa kama Mungu yupo ndio maana unasema "kama yupo thibitisha"

Bado sijakosea kabisa!

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Na Yesu kadanganya watu kwamba atarudi kabla hawajayaonja mauti, miaka takribani elfu mbili iliyopita.

Wameuza mashamba na nyumba zao wakimngojea Yeau arudi wakaona mmoja mmoja wanakufa na Yesu harudi bado.

Leo takriban miaka elfu mbili hajarudi bado.

Wajinga ndio waliwao.
 
Mungu wako angejithibitisha usingekuwa na maswali unayotaka kumuuliza wewe, wacha longolongo.

Najua wewe ni msomi, hilo sina ubishi nalo na una uelewa wa mambo mengi ila hivyo vyote haviusiani na uelwa wa Mungu usiyemwamini. Tatizo sio tu kwamba hauamini kwamba Mungu hayupo, unashindwa kuelewa vitu rahisi kabisa.

Hajajithibitisha kwako, sawa hauamini kwamba yupo. Kajithibitisha kwangu, nimemwamini kwamba yupo. Mimi nnaishi na bado niko duniani, kuamini kwangu kwamba yupo ni jambo moja, naendeleaje baada ya kuamini kwamba yupo ni jambo lingine na hapo ndio kwenye maswali yangu kati ya mimi na yeye. Huelewi nini sasa.

Maisha yangu nifanye longolongo na Kiranga ambaye tunawasiliana nae kwa keyboad tu tena kwenye JF!
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Na Yesu kadanganya watu kwamba atarudi kabla hawajayaonja mauti, miaka takribani elfu mbili iliyopita.

Wameuza mashamba na nyumba zao wakimngojea Yeau arudi wakaona mmoja mmoja wanakufa na Yesu harudi bado.

Leo takriban miaka elfu mbili hajarudi bado.

Wajinga ndio waliwao.
Ukiona jambo limekushinda unahamia kwenye lingine
Mimi na wewe tunajadiliana uhovyo wa watu kutafuta uwepo wa Mungu kwa wanadamu
Hapo umerudia jambo lile lile ambalo ulikuwa unajaribu kulikana hapo nyuma

Hakika hii pist hapa chini inakufaa kabisa

Au bado una debunk?
Mkuu nimekua nikifuatilia majadiliano yako na huyo jamaa na nimejifunza vitu
Nasema vitu kwakuwa sio kimoja ni zaidi ya hapo

Nimejikuta nikitafakari na kujiuliza kuhusu uwezo wa kufikiri wa wanaotafuta uwepo wa Mungu kwa wanadamu

Ni sawa na Kiranga aibe halafu nikamuulize Samaritan sababu ya Kiranga kuiba
Hii itakuwa ni zaidi ya kituko

Kama kuna watu wana haja ya kujua kama yupo haina haja ya kukimbizana na binadamu wanaojua na kuamini uwepo wake bali wakamuulize yeye ndipo atawajibu

Kama wanataka kujua sababu ya Shetani kuumbwa wakamuulize aliemuumba,kumuuliza ambae hata wakati anaumbwa hakuwepo ni sawa na kumuuliza kunguru sababu ya Simba kuwa na miguu minne

Na hili linaonesha tu kuwa shida ya hawa watu sio kujua uwepo wa Mungu bali wanataka watu waache kuamini na kujua kuhusu uwepo wa Mungu

Kwasababu kama mtu anasema hayupo au anajua kabisa Mungu akithibitishwa kwa mahesabu au Logic huyo anakuwa sio Mungu unajihangaisha ili nini wakati unajua kabisa haiwezekani?

Tafakari ya haya mambo ni muhimu sana!
 
Najua wewe ni msomi, hilo sina ubishi nalo na una uelewa wa mambo mengi ila hivyo vyote haviusiani na uelwa wa Mungu usiyemwamini. Tatizo sio tu kwamba hauamini kwamba Mungu hayupo, unashindwa kuelewa vitu rahisi kabisa.

Hajajithibitisha kwako, sawa hauamini kwamba yupo. Kajithibitisha kwangu, nimemwamini kwamba yupo. Mimi nnaishi na bado niko duniani, kuamini kwangu kwamba yupo ni jambo moja, naendeleaje baada ya kuamini kwamba yupo ni jambo lingine na hapo ndio kwenye maswali yangu kati ya mimi na yeye. Huelewi nini sasa.

Maisha yangu nifanye longolongo na Kiranga ambaye tunawasiliana nae kwa keyboad tu tena kwenye JF!

Kuamini unaweza hata kuamini kwamba funza aliyepo mguuni meako ndiye mungu, hilo hslins tatizo.

Tatizo mnapotaka.kuleta imani kama fact, kama ujuzi, kwamba ni.zaidi.ya hadithi za kufikirika.na.kujiridhisha tu.

Imani si deal.

Hata vichaa wana imani.

Swali, unajua kwamba mungu yupo?
 
Ukiona jambo limekushinda unahamia kwenye lingine
Mimi na wewe tunajadiliana uhovyo wa watu kutafuta uwepo wa Mungu kwa wanadamu
Hapo umerudia jambo lile lile ambalo ulikuwa unajaribu kulikana hapo nyuma

Hakika hii pist hapa chini inakufaa kabisa

Au bado una debunk?

Mimi.sikubali kwamba mungu yupo, wewe unakubali, unataka nimbane nani kuthibitisha kwamba mungu yupo? Mungu ambaye simkubali.kwmba yupo? Nitaanzia wapi na.mimi.hata simkubali kwamba yupo?

Ukiona jambo linakushinda unahamia kwenye lingine lipi na bado tunamuongelea.mungu wenu wa maboksi ambaye hata hateteeki?

1.Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

2. Ukithibitisha kwamba "mungu" yupo utakuwa umethibitisha kwamba huyo uliyemthibitisha kwamba yupo si mungu .

3. Hujajibu swali la Yesu kuwatapeli Wayahudi kwamba atarudi kabla baadhi yao hawajafa, mpaka leo miaka takriba elfu mbili hajarudi.
 
Kuamini unaweza hata kuamini kwamba funza aliyepo mguuni meako ndiye mungu, hilo hslins tatizo.

Tatizo mnapotaka.kuleta imani kama fact, kama ujuzi, kwamba ni.zaidi.ya hadithi za kufikirika.na.kujiridhisha tu.

Imani si deal.

Hata vichaa wana imani.

Swali, unajua kwamba mungu yupo?

Kwani hapa tunaongelea imani gani?
 
I just said fvck imani, what do you know?

Unaniuliza "hapa tunaongelea imani gani" ?

Wewe mzima kweli?

mimi mzima, nikisema sio mzima hata wewe utakua sio mzima kama unaweza kujadili jambo na mimi.

Punguza jazba, nimekuuliza hivyo kwa sababu toka mwanzo najua tunaongelea imani ya uwepo wa Mungu kisha ghafla unakuja na imani za funza, sijui vichaa, nani kasema hakuna imani zingine? Na nani anatatizo na mtumwingine kuamini anachokiamini?
 
Mimi.sikubali kwamba mungu yupo, wewe unakubali, unataka nimbane nani kuthibitisha kwamba mungu yupo? Mungu ambaye simkubali.kwmba yupo? Nitaanzia wapi na.mimi.hata simkubali kwamba yupo?
Mimi kukubali kuwa Mungu yupo kuna sababu zilizonifanya nikakubali hayo lakini sababu hizo haziwezi kumfanya kila mtu akakubali kuwa Mungu yupo

Kitu kilekile hakiwezi kueleweka kwa kila mmoja
Kila mtu ana namna yake ya kuelewa

Nimeshakuambia mara nyingi sana kuhusiana na kilichonifanya nikajua kuwa Mungu yupo,hujaelewa na hilo sio kosa
Kosa ni pale unapotaka kile ambacho kimenifanya mimi nikaelewa unataka kikufanye wewe uelewe wakati tayari umeshashindwa kuelewa

Wewe kama unahitaji ujue kuna Mungu kwanza ujue ni Mungu gani unataka umjue
Kama ni Mungu wa kwenye Quran fuata kanuni zake
Kama ni Mungu wa kwenye Biblia fuata kanuni zake
Kama ni wa Kihindu fuata kanuni zake

Mmoja kati ya hao akishajithibitisha ndio umuulize kwanini alimuumba Shetani na ulimwengu ambao mabaya yanawezekana,ukishindwa kumuona sio kuwa hayupo ila inawezena umefanya makosa kwenye kufuata kanuni
Ukiona jambo linakushinda unahamia kwenye lingine lipi na bado tunamuongelea.mungu wenu wa maboksi ambaye hata hateteeki?
Hapa hatuzungumzii kuthibitisha kuwepo kwa Mungu kwani hata thread haiko hivyo
Hilo ndilo ambalo unaliacha

Lazima utaona ni wa mabox kwasababu unamtafuta mahali ambapo hayupo
Namna nzuri ya kumtafuta fuata nilichokuambia hapo juu
1.Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Sio kazi yangu
2. Ukithibitisha kwamba "mungu" yupo utakuwa umethibitisha kwamba huyo uliyemthibitisha kwamba yupo si mungu .
Ungeuona ukweli ulioko kweko kwenye kauli yako hii wala usingepoteza muda kuendelea kujadiliana na jambo la namna hiyo
3. Hujajibu swali la Yesu kuwatapeli Wayahudi kwamba atarudi kabla baadhi yao hawajafa, mpaka leo miaka takriba elfu mbili hajarudi.
Unataka nijibu kwani mimi ni Yesu?

Mambo mengine unakuwa unashangaza sana
Jambo alifanye mwingine halafu unakuja kuniuliza mimi

Ni sawa niende nikamuulize bibi yangu kule kijijini sababu ya wewe kutokujua uwepo wa Mungu
Nitakuwa hamnazo kabisa!
 
I just said fvck imani, what do you know?

Unaniuliza "hapa tunaongelea imani gani" ?

Wewe mzima kweli?

Kama hiyo ndio imani unayoiongelea, acha niendelee na mambo mengine.
 
mimi mzima, nikisema sio mzima hata wewe utakua sio mzima kama unaweza kujadili jambo na mimi.

Punguza jazba, nimekuuliza hivyo kwa sababu toka mwanzo najua tunaongelea imani ya uwepo wa Mungu kisha ghafla unakuja na imani za funza, sijui vichaa, nani kasema hakuna imani zingine? Na nani anatatizo na mtumwingine kuamini anachokiamini?

Hata hiyo imani ya funza inaweza kuwa imani ya kuwepo kwa mungu kwa mtu anayeamini kwamba funza aliyepo mguuni mwake.ndiye mungu aliyeumba vyote na kuamua kutokomea mguuni mwake.

Inaonekana hujaelewa somo.

Unahitaji twisheni.
 
Mimi kukubali kuwa Mungu yupo kuna sababu zilizonifanya nikakubali hayo lakini sababu hizo haziwezi kumfanya kila mtu akakubali kuwa Mungu yupo

Kitu kilekile hakiwezi kueleweka kwa kila mmoja
Kila mtu ana namna yake ya kuelewa

Nimeshakuambia mara nyingi sana kuhusiana na kilichonifanya nikajua kuwa Mungu yupo,hujaelewa na hilo sio kosa
Kosa ni pale unapotaka kile ambacho kimenifanya mimi nikaelewa unataka kikufanye wewe uelewe wakati tayari umeshashindwa kuelewa

Wewe kama unahitaji ujue kuna Mungu kwanza ujue ni Mungu gani unataka umjue
Kama ni Mungu wa kwenye Quran fuata kanuni zake
Kama ni Mungu wa kwenye Biblia fuata kanuni zake
Kama ni wa Kihindu fuata kanuni zake

Mmoja kati ya hao akishajithibitisha ndio umuulize kwanini alimuumba Shetani na ulimwengu ambao mabaya yanawezekana,ukishindwa kumuona sio kuwa hayupo ila inawezena umefanya makosa kwenye kufuata kanuni

Hapa hatuzungumzii kuthibitisha kuwepo kwa Mungu kwani hata thread haiko hivyo
Hilo ndilo ambalo unaliacha

Lazima utaona ni wa mabox kwasababu unamtafuta mahali ambapo hayupo
Namna nzuri ya kumtafuta fuata nilichokuambia hapo juu

Sio kazi yangu

Ungeuona ukweli ulioko kweko kwenye kauli yako hii wala usingepoteza muda kuendelea kujadiliana na jambo la namna hiyo

Unataka nijibu kwani mimi ni Yesu?

Mambo mengine unakuwa unashangaza sana
Jambo alifanye mwingine halafu unakuja kuniuliza mimi

Ni sawa niende nikamuulize bibi yangu kule kijijini sababu ya wewe kutokujua uwepo wa Mungu
Nitakuwa hamnazo kabisa!

Kimsingi unakubali kwamba habari ya kuwepo kwa mungu ni arbitrary, haiwezi kupita through the rigors of verification.

Hata wewe unayekubali uwepo wa mungu huna majibu.
 
Hata hiyo imani ya funza inaweza kuwa imani ya kuwepo kwa mungu kwa mtu anayeamini kwamba funza aliyepo mguuni mwake.ndiye mungu aliyeumba vyote na kuamua kutokomea mguuni mwake.

Inaonekana hujaelewa somo.

Unahitaji twisheni.

Somo gani tena? kama ni kuhusu Mungu usitegemee wewe utaweza kunielewesha nikaelewa, na hilo niliishalitolea maelezo toka mwanzo.
 
Kimsingi unakubali kwamba habari ya kuwepo kwa mungu ni arbitrary, haiwezi kupita through the rigors of verification.

Hata wewe unayekubali uwepo wa mungu huna majibu.

Sina majibu gani?

Hayo majibu unayoyataka nikupe yananihusu?

Maana isije kuwa unataka nikujibu jambo ambalo hata wakati linafanyika sikuwepo!
 
Somo gani tena? kama ni kuhusu Mungu usitegemee wewe utaweza kunielewesha nikaelewa, na hilo niliishalitolea maelezo toka mwanzo.

Ungemalizia tu kuwa na uwezo huo hana

Nisawa na utake gari likuthibitishie kuwa fulani ndie aliyelitengeneza wakati unajua kabisa kuwa gari halina uwezo wa kutambua achilia mbali uwezo wa kukueleza!
 
Sina majibu gani?

Hayo majibu unayoyataka nikupe yananihusu?

Maana isije kuwa unataka nikujibu jambo ambalo hata wakati linafanyika sikuwepo!

Hahaha,

Ushaanza kujitoa kwa kusema hayakuhusu.

Sasa kama hayakuhusu umeingia kwenye thread na kupost kwa minajili gani?
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Isaka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
Jile79
'Kwa hakika tuliwatuma Mitume wetu kwa dalili wazi wazi, na tukateremsha Kitabu pamoja nao na Mizani, ili watu wasimamie uadilifu, na tumeteremsha chuma chenye nguvu nyingi na manufaa kwa watu, na ili Mwenyezi Mungu amjue anaye mnusuru Yeye na Mitume wake kwa ghaibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye Nguvu na Mwenye Kushinda

Na bila shaka tulimtuma Nuhu na Ibrahimu na tukaweka katika dhuriya zao Unabii na Kitabu. Basi wapo miongoni mwao walio ongoka na wengi katika wao ni wapotovu.
Qur'an:57:25-26.

'Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkiristu, lakini alikuwa mwongofu, Muislaam, wala hakuwa katika washirikina ( waabudu masanamu)

'Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walio amini (Waislaam). Na Mwenyezi Mungu (pekee) ndiye Mlinzi wa Waumini.

' Kipo kikundi katka watu wa Kitabu (wakiristu) wanaopenda kukupotezeni; lakini hawawapotezeni ila nafsi zao, na wenyewe hawatambui !
Qur'an:3:67-69
 
Back
Top Bottom