Watu wameendekeza tamaa kwa kisingizio cha usasa

Asili yako inakusaidia nini mzee?? Wamasai wanafaidika nini na umasai wao??
Faida ya kulinda huo utamaduni wako ni ipi??
 
Asili yako inakusaidia nini mzee?? Wamasai wanafaidika nini na umasai wao??
Faida ya kulinda huo utamaduni wako ni ipi??
Kwani maendeleo maana ake ni nini mkuu?

Ukijua maana ya maendeleo hiyo ndio faida yenyewe
 
Jibu swali, nani kwakwambia uwe mzungu na hiyo ngozi yako nyeusi
Kwanini asa na ngozi yangu nyeusi nione maendeleo ni kuiga mila na tamaduni za kizungu

Mila na tamaduni zangu ndio maendeleo yangu
 
Sawa mkuu kaa na mila zako.
Mnaoiga mnatuharibia kizazi chetu tunawaasa mbadilike tufuate mila na tamaduni zetu sote kwa pamoja ili kukijenga kizazi chema chenye maendeleo ya kitamaduni na kimaadili
 
Historia chungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…