Nianze kwa kusema wazi kuwa maendeleo ya watu huwezi kuyatenganisha na maendeleo ya vitu kwa namna yeyote ile wazungu wanasema (the are interwovened) hivyo maendeleo yaliyofanyika kwa kuzingatia mahitaji ya watu na tumefaidi na tunapaswa kupaza sauti zetu dhidi ya wanaopotosha ni pamoja na:
1. Elimu bure
2. Mikopo ya elimu ya juu
3. Ruzuku ya mbolea na viatilifu
4. Wajasliamali na biashara ndogo ndogo uhuru wa biashara bila ya bughudha ya mgambo
5 Ukarabati wa mashule na ununuzi wa madawati
6. Ujenzi wa vituo vya afya, zahanati hospitali za wilaya na kupandisha hadhi za mikoa kuwa za Rufaa
7. Vifaa vya kisasa na madawa mahospitali yote yakiwemo ya rufaa
8. Kurahisisha usafiri wa majini na angani kwa wananchi kwa Matengenezo ya meli na ununuzi wa ndege
9. Kurahisisha usafiri wa reli kwa wananchi kwa kufufua usafiri huo ulio na gharama nafuu
10. Usafirishaji wa barabara kwa ajili ya mazao na kupunguza msongamano kwa kujenga flyovers kupunguza muda wa barabarani etc ongezeeni.
Sasa nauliza je haya maendeleo hayagusi maendeleo ya watu kwa vile ipo miradi ya maendeleo iliyozalisha ajira na nyingine kuwapatia maji watanzania au umeme hadi vijijini na kuwarahisishia maisha watanzania.
Pamoja na changamoto kadhaa za maendeleo bado tumeona utashi wa kisiasa wa JPM kutuletea maendeleo halisi watanzania.TUWE WAKWELI TUACHE SIASA NA TUPAZE SAUTI ZETU KUTETEA HILI VINGINEVYO WANAOPINGA WANAONA WIVU AU HADAA.TUTAFAKARI SOTE.
1. Elimu bure
2. Mikopo ya elimu ya juu
3. Ruzuku ya mbolea na viatilifu
4. Wajasliamali na biashara ndogo ndogo uhuru wa biashara bila ya bughudha ya mgambo
5 Ukarabati wa mashule na ununuzi wa madawati
6. Ujenzi wa vituo vya afya, zahanati hospitali za wilaya na kupandisha hadhi za mikoa kuwa za Rufaa
7. Vifaa vya kisasa na madawa mahospitali yote yakiwemo ya rufaa
8. Kurahisisha usafiri wa majini na angani kwa wananchi kwa Matengenezo ya meli na ununuzi wa ndege
9. Kurahisisha usafiri wa reli kwa wananchi kwa kufufua usafiri huo ulio na gharama nafuu
10. Usafirishaji wa barabara kwa ajili ya mazao na kupunguza msongamano kwa kujenga flyovers kupunguza muda wa barabarani etc ongezeeni.
Sasa nauliza je haya maendeleo hayagusi maendeleo ya watu kwa vile ipo miradi ya maendeleo iliyozalisha ajira na nyingine kuwapatia maji watanzania au umeme hadi vijijini na kuwarahisishia maisha watanzania.
Pamoja na changamoto kadhaa za maendeleo bado tumeona utashi wa kisiasa wa JPM kutuletea maendeleo halisi watanzania.TUWE WAKWELI TUACHE SIASA NA TUPAZE SAUTI ZETU KUTETEA HILI VINGINEVYO WANAOPINGA WANAONA WIVU AU HADAA.TUTAFAKARI SOTE.