PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Mmekaririshwa na wauza huduma za afya.mkuu endelea kunywa soda
Watu tunakunywa soda tangu utotoni mpaka huku uzeeni na hakuna hizo mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmekaririshwa na wauza huduma za afya.mkuu endelea kunywa soda
Hao Madaktari wanao forward messages bila ya wao kuzifanyia kazi.Kwani soda ina vijiko vingapi vya sukari, na kwanini madokta wakataze kunywa soda.
Sijasoma mada ila nimelia sana,Soma tu hata hii paragraph moja ikupe mwanga:
Type 1 diabetes occurs when your immune system, the body’s system for fighting infection, attacks and destroys the insulin-producing beta cells of the pancreas. Scientists think type 1 diabetes is caused by genes and environmental factors, such as viruses, that might trigger the disease. Studies such as TrialNet External link are working to pinpoint causes of type 1 diabetes and possible ways to prevent or slow the disease.
Kama tezi kongosho imeathirika na haizalishi insulin ya kutosha au kongosho inazalisha insulin lakin mwili wako unashindwa kuitumia hiyo insulin kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu, hapo maana yake kiwango cha sukari kwenye damu kitazidi kiwango kinachotakiwa na ugonjwa ndio unaanzia hapa.Kwani soda ina vijiko vingapi vya sukari, na kwanini madokta wakataze kunywa soda.
Duh..Hao Madaktari wanao forward messages bila ya wao kuzifanyia kazi.
Madaktari wa siku hizi ni kama manabii na mitume wa zama hizi
Kama yHao Madaktari wanao forward messages bila ya wao kuzifanyia kazi.
Madaktari wa siku hizi ni kama manabii na mitume wa zama hizi
Kama yule dokta maarufu wa mtandaoni.Hao Madaktari wanao forward messages bila ya wao kuzifanyia kazi.
Madaktari wa siku hizi ni kama manabii na mitume wa zama hizi
Hapana Huwezi kupata Kisukari kwa kula Sukari..
Big up!!Type 2 diabetes inasababishwa zaidi na life style ikiwemo ulaji wa sukari/wanga uliopitiliza.
Hata bila Biblia common sense na sayansi vinatosha kukuambia madhara ya kuzidisha chakula chochote.Biblia imesema kila kitu kwa kiasi. Tuwe na kiasi kwenye kula. Pia tule kunapotokea ulazima wa kula. Kula mara 3 kwa siku isiwe sheria.
Ugonjwa ubadilishwe jina kwa kweli, wengi wanahofia sukari halafu wanaenda kula wali