Watu wamekuwa waoga kutumia sukari kwa hofu ya kupata kisukari, lakini ukisoma kuhusu chanzo cha kisukari, sioni popote wanaposema sukari ndio chanzo

Watu wamekuwa waoga kutumia sukari kwa hofu ya kupata kisukari, lakini ukisoma kuhusu chanzo cha kisukari, sioni popote wanaposema sukari ndio chanzo

Kwani soda ina vijiko vingapi vya sukari, na kwanini madokta wakataze kunywa soda.
Hao Madaktari wanao forward messages bila ya wao kuzifanyia kazi.
Madaktari wa siku hizi ni kama manabii na mitume wa zama hizi
 
Soma tu hata hii paragraph moja ikupe mwanga:

Type 1 diabetes occurs when your immune system, the body’s system for fighting infection, attacks and destroys the insulin-producing beta cells of the pancreas. Scientists think type 1 diabetes is caused by genes and environmental factors, such as viruses, that might trigger the disease. Studies such as TrialNet External link are working to pinpoint causes of type 1 diabetes and possible ways to prevent or slow the disease.
Sijasoma mada ila nimelia sana,
Uhusiano wa sukari na kisukari siujui, ila sukari Unauhusiano mkubwa na kansa kwa tafiti za sasa
 
Kwani soda ina vijiko vingapi vya sukari, na kwanini madokta wakataze kunywa soda.
Kama tezi kongosho imeathirika na haizalishi insulin ya kutosha au kongosho inazalisha insulin lakin mwili wako unashindwa kuitumia hiyo insulin kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu, hapo maana yake kiwango cha sukari kwenye damu kitazidi kiwango kinachotakiwa na ugonjwa ndio unaanzia hapa.
 
Hapana Huwezi kupata Kisukari kwa kula Sukari..
we hata Ule Sukari kila siku Debe zima Kwa mwezi mzima Huwezi kupata Kisukari zaidi Utapata magonjwa Mengine tu..
KAma Unene usio na kipimo (Obesity)..
Kwa sababu hatua ya mwisho ya mmeng'enyo wa Sukari (Sucrose) ni Glucose..
NA Hiyo inaenda sawa na Yule anayekula Ugali sana au wali sana..

Kwahyo anayekula Ugali sana na anayekula sukari sana wote wako sawa..

Kisukari ni More Far than Malnutrion Based Disorder
 
Biblia imesema kila kitu kwa kiasi. Tuwe na kiasi kwenye kula. Pia tule kunapotokea ulazima wa kula. Kula mara 3 kwa siku isiwe sheria.
Hata bila Biblia common sense na sayansi vinatosha kukuambia madhara ya kuzidisha chakula chochote.
 
Back
Top Bottom