Usaili wa kuandika katika kada ya afya umefanyika Septemba 3, 2024 nchi nzima ili kuwapta wataalam wa afya watakaojaza nafasi 9, 483 za ajira.
Wakati usaili huu ukiwa unaendelea ilisambaa video mtandaoni ikionesha binti akiwa anasukumwa na Mwanaume akiwa ameshika karatasi kati ya watu wengine walioshika karatasi ndani ya chumba, huku Watu wanaosambaza video hiyo wakidai ni tukio lililotukia kwenye moja ya vituo vya usaili, Tazama( hapa na hapa)
Ukweli ni Upi?
JamiiCheck imefuatilia video hiyo kupitia utafutaji wa kimtandao kwa kutumia Google Reverse Image ili kufahamu uhalisia wa video hiyo inayodaiwa kuwa ni ya tukio lililotokea kwenye moja ya maeneo yaliyofanyika usaili katika kada ya afya nchini.
Tumebaini kuwa video hiyo si ya Tanzania na haihusiani na usaili katika kada ya afya, video hiyo ni ya Congo na iliwekwa mtandaoni tarehe Agosti 26, 2024 (Tazama hapa) na kuendelea kusambaa, (tazamahapa) ikionesha tukio lililotokea Congo DRC.
Ufuatiliaji wa kimtandao unaonesha tukio hili lilimuhusisha binti wa chuo chaISTA Kolwezi lundi (l’Institut Supérieur des Techniques Appliquées (ISTA)) ambaye alishambuliwa na mwalimu akiwa kwenye mtihani Mwalimu anafahamika kwa jina la Tshipamba Kabwe.
Barua ikionesha kusimamishwa kazi kwa mwalimu aliyemshambulia mwanafunzi huyo
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.
Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.
Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.
Kwanini Sauti imetolewa ?
Asilimia kubwa hapa watakuwa upande wa mwanamke...ila angekuwa amefanyiwa hivyo mwanaume kila mtu angeona ni kawaida tu na hata kesi ingemludia kijana wa kiume.
Ukiona mpak mtu mzima kam huyo mbaba kapaniki anampiga mtu ujue kuna kitu hakipo sawa hapo, hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu kila mtu wanamuona kama kijana mwenzake.
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.
Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.
Kwanini Sauti imetolewa ?
Asilimia kubwa hapa watakuwa upande wa mwanamke...ila angekuwa amefanyiwa hivyo mwanaume kila mtu angeona ni kawaida tu na hata kesi ingemludia kijana wa kiume.
Ukiona mpak mtu mzima kam huyo mbaba kapaniki anampiga mtu ujue kuna kitu hakipo sawa hapo, hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu kila mtu wanamuona kama kijana mwenzake.
Hawa wanaojiita wanaharakati wa haki za wanawake wamewajaza viburi mabinti na kuwaaminisha watawatetea kwa kila jambo ndio maana tunafika huku.
Miaka yangu ya primary mpaka olevel nakumbuka binti akishika mimba mshua anamtimua nyumbani na mabinti walijichunga kweli kweli na umalaya holela lakini sasa hivi wanaharakati uchwara wanawatetea kila kitu matokeo yake kuna ongezeko kubwa sana la mabinti kuzalia nyumbani wakiwa hawajaolewa.
Utetezi mkubwa wanaopewa mabinti kutoka kwenye jamii, mamlaka na asasi za kiraia inapelekea mabinti kuwa na uthubutu wa kucheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na watu ambao hawafumbii macho ujinga matokeo yake ndio haya binti anaonekana victim kumbe yeye mwenyewe ndie chanzo.
Utetezi mkubwa wanaopewa mabinti kutoka kwenye jamii, mamlaka na asasi za kiraia inapelekea mabinti kuwa na uthubutu wa kucheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na watu ambao hawafumbii macho ujinga matokeo yake ndio haya binti anaonekana victim kumbe yeye mwenyewe ndie chanzo.
Sekretatieti ya ajira, waliongelea hiyo video, sema wameiondoa kwenye social media zao, mimi pia nipo kinyume na Violence, Lakini kama binadamu kuna wanaoweza himili hali ya kuwa provoked na wengine laah.
Makazini huko watu wanatwangana na maisha yanaendelea.