Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Mi pia nampenda sana Patoran sauti yake, nyimbo zake full vibe...kama saa hii I'm so excited its already weekendHata hivyo watu wanamapenzi na huyu koffi...lol..sijatoa laki kisa kofi...yaani hata 200k ntatafuta akija Patroranking jamani..awwww...mavibe kama yote!
Usilalamike kijana kwa kukosa,njia mbadala ipo kwenye tv,Dstv wataonyesha live
Jokes aside...koffie anavutia jamani, mwili wake, cheza yake..pata picha akikunyanyua (nilivyo bonge najua hanishindwi), akikutazama loh nafwaaaaWewe miaka hyo ulikua unanyonya alafu unataka kuturusha roho hapa...labda ulipata stry kutoka kwa dingi ako!
🙄🙄🙄🙄🙄
Jokes aside...koffie anavutia jamani, mwili wake, cheza yake..pata picha akikunyanyua (nilivyo bonge najua hanishindwi), akikutazama loh nafwaaaa
Mie sijui nisemeje..nadhan nyimbo zake zote naziimba na kucheza ..dah jamaa yuko poa kinyama..alafu ana vibe fulani za kiume...yaan jamaa mgumu fulan arggggh!Mi pia nampenda sana Patoran sauti yake, nyimbo zake full vibe...kama saa hii I'm so excited its already weekend
Fally ipupa nae yupo vzr. Kucheza mwenzio steps zishagoma nabaki kutikisa kichwaDuh...mm walaa...mie fally ipupa zile ndevu jaman😋😋! Mie nilikua naona kwa mbali tu wala sinaga mzuka naye .thou zamani nilikua die hard fan...uzee ulipoingia ikawa bas ..mie sebene sasa hv siliwez kbs kucheza sijui y!
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Fally ipupa nae yupo vzr. Kucheza mwenzio steps zishagoma nabaki kutikisa kichwa
Duh...mm walaa...mie fally ipupa zile ndevu jaman[emoji39][emoji39]! Mie nilikua naona kwa mbali tu wala sinaga mzuka naye .thou zamani nilikua die hard fan...uzee ulipoingia ikawa bas ..mie sebene sasa hv siliwez kbs kucheza sijui y!
Kaskazini
Mie sijui nisemeje..nadhan nyimbo zake zote naziimba na kucheza ..dah jamaa yuko poa kinyama..alafu ana vibe fulani za kiume...yaan jamaa mgumu fulan arggggh!
Hata Mimi niliijua zile jenereta zitapigwa doro...Kuna magenerator fulani niliyapost juzi juzi ..ile hela waliyotaka nilijua yatakaa mwaka...bas tu kuna mtu akaomba nimpostie atanipa commision..kifupi jana kuna mkaka ana 29yrs katoka dar kafika usk sasa hv ameshayanunua yote 6!...
Mie nimebaki namwangalia najiulizw hivi ni majaribu Mungu anatupa wengine au???...dogo ana kampuni yake...yaani wakati mwingine unastrugle kupata mia mwingine ana milion mia benk!
Mungu katuweza aisee!
🤣🤣🤣...Nazipenda tu bro ...
..jioni ile ile nilipigwa simu..dogo hna hata 30yrs..jana ndo nikampeleka😇😇😇😇Hata Mimi niliijua zile jenereta zitapigwa doro...
sanaaMie sijui nisemeje..nadhan nyimbo zake zote naziimba na kucheza ..dah jamaa yuko poa kinyama..alafu ana vibe fulani za kiume...yaan jamaa mgumu fulan arggggh!