Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
More than kipajiHapa Naangalia Videos za Albam zake za Force de Grape, Efrakata, Monde Arabe na Afaire D' Etate ni hatari the Gland Mopao, papa Fololo, acha kabisa jamaa alitisha
usiku huuKwani tukio ni lini mamy?
ati unasema MUNGU katufanyaje?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna magenerator fulani niliyapost juzi juzi ..ile hela waliyotaka nilijua yatakaa mwaka...bas tu kuna mtu akaomba nimpostie atanipa commision..kifupi jana kuna mkaka ana 29yrs katoka dar kafika usk sasa hv ameshayanunua yote 6!...
Mie nimebaki namwangalia najiulizw hivi ni majaribu Mungu anatupa wengine au???...dogo ana kampuni yake...yaani wakati mwingine unastrugle kupata mia mwingine ana milion mia benk!
Mungu katuweza aisee!
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wanadhani mtu toka BUZA anaweza kulipia hii show..... THUBUTUUU
wengi wao wanaenda kuondoa stress,sio kwamba wana pesaUnajua Koffie Olomide anafanya Show leo, Tickets zilikuwa zinauzwa 100K na zimeisha kabla kabisa ya show! Huku tunalalamika ugumu wa maisha! 😀
Hivi wanamudu vipi hawa wenzetu?
Laki 1 unaona ni hela ndogo ?Mimi na wewe tukipata stress unafikiri tuna uwezo wa kulipa laki tena kwa masaa??tuache kujifarijiwengi wao wanaenda kuondoa stress,sio kwamba wana pesa
Kanda Bongoman alipiga Show KILIMANJARO HOTEL kwa 100k, way back 1990s huko! Na ilikuwa hv hv. Tuliingia wachache sana.
Sent using Jamii Forums mobile app