Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

KAMA ULITUMIA MIKOROGO KWA MUDA MREFU MARA NYINGI NDIYO INASABABISHA NGOZI YAKO KUZEEKA HARAKA!!!

JITAHIDI KUKA MLO KAMILI NA PIA TUMIA MAFUTA YA NAZI TUU KUPAKA KWENYE MWILI WAKO UTAANZA KUBADILIKA KIDOGO KIDOGO THEN UTARUDIA KATIKA HALI YAKO YA KAWAIDA.

POLE SANA KWA CHANGAMOTO ZA KIDUNIA.

MUOMBE BABA MUNGU AKUFANYIE UUMBAJI UPYA!!!
AMINA NA AMINA πŸ™Œ
 
We cha mtoto.
Mimi wanafikiri nina 45
 
Hii inatokea kama unamawazo tofaut na Jamie au ni mwana Mapinduz ambapo ili kuwa ni ngumu kwa mtu mwingine kufanya ivo Jamii haiamin katik umri mdogo kwamba anaweza kutoa mawazo ya kitu kilicho fanyika ata Kayla hajazaliwa
 
Napiga hizo mpaka meno yametoboka,sikatai kwamba ni sumu ila nikikwambia nina 35 tutabishana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…