Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #301
Nadhani yaweza kuwa sababu pia, wengi wanadhani mwili wangu una tatzo lakn sio kweli. Maoni mazuri haya nashukuru kaka 🙏Hii inatokea kama unamawazo tofaut na Jamie au ni mwana Mapinduz ambapo ili kuwa ni ngumu kwa mtu mwingine kufanya ivo Jamii haiamin katik umri mdogo kwamba anaweza kutoa mawazo ya kitu kilicho fanyika ata Kayla hajazaliwa
Mkuu mimi na karibia 40 lakini naitwa dogo yani ata bint wa miaka 16 ana nipendaIyo hali ndo Niko nayo roughly watu wanadhini Nina 45+ kumbe 33 kazi ngumu zinakomaza sana
Mkuu siku za Jmosi na Jpili jaribu kuvaa pens na t-shirtMavazi yangu ya kawaida ila sivai kibishoo, navaa official muda mwingi. Huenda yaweza kuwa sababu pia.
Pens labda nikiwa hom tu, nje swez vaaMkuu siku za Jmosi na Jpili jaribu kuvaa pens na t-shirt
Wewe lazima ni Muha maana mbishi sana. Huenda na hii ukabisha.Pens labda nikiwa hom tu, nje swez vaa
Mimi sio Muha 😂Wewe lazima ni Muha maana mbishi sana. Huenda na hii ukabisha.
Mkuu heri yako wewe, sema itakuwa labda ww ni mshua sana ndymaanaMkuu mimi na karibia 40 lakini naitwa dogo yani ata bint wa miaka 16 ana nipenda
Kabisa bila picha hapa ni uongo
Mkuu utakuwa una mwili mkubwa halfu mnene, Watanzania hawaja Zoe miili mikubwaSijasema nimepigiwa na maisha, ila ningependa kufahamu sababu ni ipi kuonekana mkubwa. Kama una sababu unaifahamu unaweza kueleza hapa.
Mkuu utakuwa una mwili mkubwa halfu mnene, Watanzania hawaja Zoe miili mikubwa
😂😂😂 Ni sahihi
Punguza punyero uso upate NuruNimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.
Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Una hali ngumu ya maisha. Ni hayo tuNimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.
Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Em pandisha juu, mbona km una kitu special, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuu, kweli ni hilo tu au kuna lingine?Una hali ngumu ya maisha. Ni hayo tu
Hapo tu panatosha sisterEm pandisha juu, mbona km una kitu special, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee nae kwa kunata!! KhaaaahHapo tu panatosha sister
Nuru niliyo nayo inanitosha, pia huo mchezo sifanyi.Punguza punyero uso upate Nuru
😁😁 Siwezi kujianika humu sisterWee nae kwa kunata!! Khaaaah
Ndo maana wanakuita jizee, mxxxxiiiiiieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijakuambia had usoni, ishia shingoni.[emoji16][emoji16] Siwezi kujianika humu sister