King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Saivi Tayari naitwa Babu na nipo na 22yrs
22 mbona bado sura ya kitoto? 22 hata ndevu bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saivi Tayari naitwa Babu na nipo na 22yrs
acha kupiga punyetoNimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.
Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
#BM
Abadili kula atabadilika.Huenda ikawa ni kweli
Ndevu tayari zipo, ila muonekano wangu sidhani kama ni sababu.22 mbona bado sura ya kitoto? 22 hata ndevu bado.
Kula nakula lakini sili sanaAbadili kula atabadilika.
Huenda ikawa kweliUmaskini unazeesha sana, pia stress na kukosa amani vinachosha na kufubasha mwonekano.
Basi una ugonjwa wa unyafuzi...Saivi Tayari naitwa Babu na nipo na 22yrs
Katika tabia ambazo sina ni hiyo, mimi sio mtu wa kukasirika kila maraUache tabia ya makasiriko.
Dhibiti stress.
Ni ugonjwa gani huo MkuuBasi una ugonjwa wa unyafuzi...
Huu uzi bila picha ni batili/ This thread zero picture is invalid
Wa kusinyaa kwa ngozi..😃Ni ugonjwa gani huo Mkuu
Hapana mkuu, ngozi yangu ipo kawaida tu haina tatzo loloteWa kusinyaa kwa ngozi..😃
Katika kitu ambacho siwezi kufanya ni kupoteza akili zangu hata kwa sekunde tu, labda nikiwa nimelala.Acha kunywa shimwaa, pombe gani unakunywa huku umekunja sura?
Na Bado soon utaanza kuitwa Babu
Punguza mawazo, tafuta pesa Kwa njia yoyote ile. fasta tu utaanza kuitwa kijanaKatika kitu ambacho siwezi kufanya ni kupoteza akili zangu hata kwa sekunde tu, labda nikiwa nimelala.
Namaanisha siwezi na sijawahi kunywa pombe aina yoyote.
Mawazo ninayo, lakini ni mawazo Positive. Pesa natafuta ila sio kwa pressure.Punguza mawazo, tafuta pesa Kwa njia yoyote ile. fasta tu utaanza kuitwa kijana
Huna pesa that's why mpk sura Yako mwenyewe unakukataaMawazo ninayo, lakini ni mawazo Positive. Pesa natafuta ila sio kwa pressure.
Sihitaji kuitwa kijana kwasababu najua mimi ni kijana, ila nashangaa kuitwa mzee wakati mimi sio mzee.