Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Kwani huyo mzee kwenye profile yako ndo wewe?

Umejiunga lini jf?
hatakama ni mwanaume sidhani kama nahusika kwa lolote hapo. Ni maamuzi yake kuweka picha anayotaka.
Kuhusu kujiunga JF, nipo tangu 2021
 
hatakama ni mwanaume sidhani kama nahusika kwa lolote hapo. Ni maamuzi yake kuweka picha anayotaka.
Kuhusu kujiunga JF, nipo tangu 2021
Unahusika kwa kumpa jinsia isiyo yake. Ningekuwa mimi tungeshikana mashati hapahapa
 
Unahusika kwa kumpa jinsia isiyo yake. Ningekuwa mimi tungeshikana mashati hapahapa
Sikujua na bado sina uhakika na hilo, labda mwenyewe athibitishe kwamba nimekosea kutambua jinsia yake.
 
Sasa hapo unanishauri nifanye nini, niende uturuki au nianze kufanya scrub 😅😂😂
Kubaliana na hali yako maana kuzeeka hakukimbiwi hata ufanye nn
Kula vizuri
Tunza mwili
Fanya mazoezi
Epuka kuingiza mwilin sumu nying
 
Kubaliana na hali yako maana kuzeeka hakukimbiwi hata ufanye nn
Kula vizuri
Tunza mwili
Fanya mazoezi
Epuka kuingiza mwilin sumu nying
Sawa kaka, mambo ya msingi hayo na nitakabiliana nayo vyema
 
Back
Top Bottom