Watu wanaenda Kanisani wamevaa vitu vya ajabu unategemea nini?

Watu wanaenda Kanisani wamevaa vitu vya ajabu unategemea nini?

Mimi kuna demu mmoja kitambo nimeruka naye sana kibachela, yani namjuwa nje ndani alivyo na pepo la ngono, ila siku za karibuni post zake Facebook ni mtu wa church sana makanisa yetu haya haya kama ya kina Masanja.

Sasa kilichonishangaza na yeye Sasa hivi ni mchungaji na Leo alikuwa live kabisa kwenye moja ya redio station zetu hizi.

Sasa ndio nimepata akili ni kwa nini makanisa ulaya hayana watu yamebaki tupu, mzungu hayupo tayari kushiriki kwenye udanganyifu huku akijuwa wazi ukweli ni upi.

Hapa sina maana ya ukristo siyo dini sawa lakini ukweli ndani yake kuna mazonge mengi sana.
Umebaki kushangaa tu.
 
Wanawake hawana dini , full stop , hayo mengine ni mbwembwe ,mwanamke kuliwa ni kawaida tuu hata kama anashinda kanisan , ni mwanaume mwehu tuu anayeweza chukulia serious dini ya mwanamke , kama Adam alikuwa naye na anampa kila kitu lakini akarubuniwa na Shetani sembuse hawa


😂😂😂
Daah! Wee jamaa umenichekeshà sana
 
Mimi kuna demu mmoja kitambo nimeruka naye sana kibachela, yani namjuwa nje ndani alivyo na pepo la ngono, ila siku za karibuni post zake Facebook ni mtu wa church sana makanisa yetu haya haya kama ya kina Masanja.

Sasa kilichonishangaza na yeye Sasa hivi ni mchungaji na Leo alikuwa live kabisa kwenye moja ya redio station zetu hizi.

Sasa ndio nimepata akili ni kwa nini makanisa ulaya hayana watu yamebaki tupu, mzungu hayupo tayari kushiriki kwenye udanganyifu huku akijuwa wazi ukweli ni upi.

Hapa sina maana ya ukristo siyo dini sawa lakini ukweli ndani yake kuna mazonge mengi sana.

😀😀
Tuachie mama mtumishi wetu.
 
Taikon unakwenda sasa kutembea barabarani na bakora mkononi kama mzee kifimbo cheza wa Sank maana hasira zimekuzidi

Hutaki kupitwa na kitu sasa soon utakuwa kama mpwayungu village

Matukio yanayotokea yanarahisisha kufundisha Kwa mifano halisi.
Ukitoa mifano ya watu wasiofahamika watu hawataelewa na wataona ni chai
 
Umebaki kushangaa tu.
Nashindwa kushangaa kabisa, well tuseme amempokea Yesu na kubadilisha maisha sina shida na hilo, lakini kuwa Pastor?

Na bado zile posters zake kwenye page yake akirusha bado jeans za kubana mwili kama kawaida, na ana tako la kiwango kabisa, in short ni mzuri kwa viwango vyangu, lakini kuwa Pastor? Hapo Mimi hiyo treni nishusheni tu.
 
Kuna kosa moja kubwa tunalofanya wanaume ni kutokuwa na msimamo katika mapenzi kuwadekeza sana wapenzi wetu mwisho wa siku wanatupanda vichwani mm nimeshamwambia kabisa mchumba wangu nikikufumania either kwa kuona au kwa kuwa na ushahidi umechapuka jua kabisa nimekuacha hilo hata ashuke mungu mbinguni aseme nikusamehe sina msalimia mtume hapo sitasikia la mtu nakuacha hivyo anajua kabisa siku akichapuka tumeachana kwa maana hawa wanawake katika dunia hii hawajui wanataka nini ukimpa hela atakusumbua katika mapenzi ukikosa hela atakusumbua katika mapenzi ukimpenda sana atakuringia mpk utakoma kiufupi huna uwezo wa kumridhisha mtu anaeitwa mwanamke hivyo kanuni nzuri ni kuishi nae atakavyokuja kwa maana wanawake wote hawajui duniani wanataka nini

Ndio maana unaambiwa usiwaaminusiwaamini
 
Naona siku hizi unatembea kama upepo unavyovuma. Ule ubunifu wako na maarifa vimeanza kukutoka. Sasa rangi yako halisi inaanza kuonekana.....kumbe na wewe uko kwenye lile kundi letu pendwa LA "vijana wa hovyo". Sitaki uipoteze brand yako mkuu. I do read your articles na najifunza mengi. Achana na udaku.
Ulichokiandika kinaashiria habari zinazotrend sasa.

Habari hizi ni muhimu kwa sababu ni mifano inayoweza kueleweka Kwa urahisi Kwa watu.
Hivyo ni muhimu kuitumia katika mafundisho.
Ukitoa mafunzo yasiyo na Stori Kama hizi watu huona hazipo Relevant na Maisha ya sasa
 
Kwa uvaaji kama huu wacha wapigwe
FB_IMG_16598063940665136.jpg
 
Mkuu ongezea nyama
Kazia kidogo

Ova
Kichaka Cha
Wachwawi
Wazinzi
Walevi
Waenda kwa waganga..
Ila ukweli tu tunasali kinafiki Sana hadi Mungu anatushangaa.

Mie naona huko sehemu za kuabudia tuite tu sehemu za kukusanyikia na kujumuika basi suala la kuabudu Ni wachache sana..
 
vaeni kama waislamu mnapokuwa nyumba za ibada mbona bikra maria anavaa hejabu na nguo ndefu wakristo mnafeli wapi ?
 
Wanaume madikteta ndoa zao zimenyooka na zimetulia.
 
Back
Top Bottom