EMANUEL JOHN JOHN
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 502
- 461
Umebaki kushangaa tu.Mimi kuna demu mmoja kitambo nimeruka naye sana kibachela, yani namjuwa nje ndani alivyo na pepo la ngono, ila siku za karibuni post zake Facebook ni mtu wa church sana makanisa yetu haya haya kama ya kina Masanja.
Sasa kilichonishangaza na yeye Sasa hivi ni mchungaji na Leo alikuwa live kabisa kwenye moja ya redio station zetu hizi.
Sasa ndio nimepata akili ni kwa nini makanisa ulaya hayana watu yamebaki tupu, mzungu hayupo tayari kushiriki kwenye udanganyifu huku akijuwa wazi ukweli ni upi.
Hapa sina maana ya ukristo siyo dini sawa lakini ukweli ndani yake kuna mazonge mengi sana.
Wanawake hawana dini , full stop , hayo mengine ni mbwembwe ,mwanamke kuliwa ni kawaida tuu hata kama anashinda kanisan , ni mwanaume mwehu tuu anayeweza chukulia serious dini ya mwanamke , kama Adam alikuwa naye na anampa kila kitu lakini akarubuniwa na Shetani sembuse hawa
Mimi kuna demu mmoja kitambo nimeruka naye sana kibachela, yani namjuwa nje ndani alivyo na pepo la ngono, ila siku za karibuni post zake Facebook ni mtu wa church sana makanisa yetu haya haya kama ya kina Masanja.
Sasa kilichonishangaza na yeye Sasa hivi ni mchungaji na Leo alikuwa live kabisa kwenye moja ya redio station zetu hizi.
Sasa ndio nimepata akili ni kwa nini makanisa ulaya hayana watu yamebaki tupu, mzungu hayupo tayari kushiriki kwenye udanganyifu huku akijuwa wazi ukweli ni upi.
Hapa sina maana ya ukristo siyo dini sawa lakini ukweli ndani yake kuna mazonge mengi sana.
Taikon unakwenda sasa kutembea barabarani na bakora mkononi kama mzee kifimbo cheza wa Sank maana hasira zimekuzidi
Hutaki kupitwa na kitu sasa soon utakuwa kama mpwayungu village
Nashindwa kushangaa kabisa, well tuseme amempokea Yesu na kubadilisha maisha sina shida na hilo, lakini kuwa Pastor?Umebaki kushangaa tu.
Kuna kosa moja kubwa tunalofanya wanaume ni kutokuwa na msimamo katika mapenzi kuwadekeza sana wapenzi wetu mwisho wa siku wanatupanda vichwani mm nimeshamwambia kabisa mchumba wangu nikikufumania either kwa kuona au kwa kuwa na ushahidi umechapuka jua kabisa nimekuacha hilo hata ashuke mungu mbinguni aseme nikusamehe sina msalimia mtume hapo sitasikia la mtu nakuacha hivyo anajua kabisa siku akichapuka tumeachana kwa maana hawa wanawake katika dunia hii hawajui wanataka nini ukimpa hela atakusumbua katika mapenzi ukikosa hela atakusumbua katika mapenzi ukimpenda sana atakuringia mpk utakoma kiufupi huna uwezo wa kumridhisha mtu anaeitwa mwanamke hivyo kanuni nzuri ni kuishi nae atakavyokuja kwa maana wanawake wote hawajui duniani wanataka nini
Naona siku hizi unatembea kama upepo unavyovuma. Ule ubunifu wako na maarifa vimeanza kukutoka. Sasa rangi yako halisi inaanza kuonekana.....kumbe na wewe uko kwenye lile kundi letu pendwa LA "vijana wa hovyo". Sitaki uipoteze brand yako mkuu. I do read your articles na najifunza mengi. Achana na udaku.
Ulichokiandika kinaashiria habari zinazotrend sasa.
Kwa uvaaji kama huu wacha wapigwe
View attachment 2375194
DuhFeel free church maana yake uko free kuchakata yeyote hapo church.
Kichaka ChaMkuu ongezea nyama
Kazia kidogo
Ova
Feel free church maana yake uko free kuchakata yeyote hapo church.
Mke wa masanja huyuKwa uvaaji kama huu wacha wapigwe
View attachment 2375194