mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Upo sahihi mkuu.ni kama gari za ccm za chama zote ni B
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuu.ni kama gari za ccm za chama zote ni B
Sawa mwaka 2003 ilikuwa harrier Toledo gani kama unajua? Na hilo toleo la kwenye Uzi ni mwaka gani na namba A iliishia mwaka gani?Harrier imetoka 2003. Huo mwaka kulikuwa ni namba gani zinasajiliwa?
Hii nchi tuzuie magari chakavu sasa. Gari ya 2003 mtu anashangaa ikiwa namba A.
Pointless.Halafu Mgeni Mjini humo weye!!... shaabash!! ...kuna watu mjini hawajulikani wewe!! .. weye fanya yako uone Moto!...ndo utajua kuwa hujui!....tena sometimes, wanaendesha style ya
Hiace mbovu, Beatles la zamani/jipya kaa nayo mbali hayo! ukijipendekeza Dakika sifuri tu kibao kinakugeukia! Ukiingia kwenye kumi na nane zao! wanakuingiza mule, una kalizwa kwenye vibench! vya Mantilie humo humo ndani! ndo utachoka!!.....
Halafu Mamtu Yenyewe,hayanaga haraka yale! Mibaunsa ime vaa- vika wash!! na Mikofia ya Rastfari, Mara Miwani myeusi tii!! na Miradio call....yaani utachoka! kosa la kawaida utazunguka nao weeee!! ......Mpaka uyambe kifukuto!...lkn kosa kubwa unaenda fichwa!
Ndo utajua wasio julikana ni nani.....!! Maborn town wanayajuaga kwa, mfano unaweza kumuona Dereva wako wa daladala/Tax Ghafla anakuwa km ana mapepe hivi!! haendi mbele kwa speed, au
anaondoa gari ghafla, wkt macho yako kwenye site Morror nakuangalia!! angalia km mwizi hivi hapo jua amekutana na hawa.....wanajuana sana .... kwa....
1.P/Number!
2.Mwendo!
3.Uchakavu!
4.Upya wake na number haviendani!
5.Waliomo! ni majitu! au yako hapo mbele yanachukuliwa soon! ukisogea zaidi pembeni sambamba nao, utaona kakimurimuri kekunduu au kijaniii kanawaka na kuzima usawa wa domo! utasikia yakiongea maneno km ''chui mwitu, mara kobe, nyau, nyoka nk!
6.kaa!! kaa! yao ilivo mle ndani na nje!! ni km wamemuinamia dereva ivi..sasa km wakitoka, ile toka yao sasa Mweee!
7.Tyre za Gari yao husika utazijiua kwa kuwaachia nafasi waende mbele kidogo, utazimulika km ni usiku...... na style ya tembea yao barabarani!
8.Hawanaga haraka!! na wkt mwingine wana haraka mnoo!
9. Magumashi!! magumashi!! wanaweza kuanzisha mbio ghafla! ukashangaa!
10.Usiku sasa heee!! Wana guji-tochi Maalumu haguonekanagi gukikumulika hugo tokea kwa nyuma lazima mbele huoni! sasa kuna mawili wana haraka zao wanataka kukupita au wana mashaka na wewe!.....hasa km unakimbia sana usiku Mnene!
ukiona ivo cha kufanya punguza mwendo, km ukizidisha wanajua aaahaa!! ndo wale wale!! wanaotujua! ..... unalo! mpaka uvunguni!...cha msingi wewe hapo, ni makosa sana kulisogelea hilo gari km ivo ulivo hapo nyuma yake!!
au labda wewe na dereva wako ni wa kuja! hajui maisha ya barabarani town! ndo maana unashangaa ivo!....wakuja kila kitu ni kushangaa tutuuuuuuu! wkt sie tumeyazoea hayooo!
2003 ndipo harrier second generation zilianza kuingia sokoni.Sawa mwaka 2003 ilikuwa harrier Toledo gani kama unajua? Na hilo toleo la kwenye Uzi ni mwaka gani na namba A iliishia mwaka gani?
Light response!Pointless.
Kwenye magari mkuu mi sio mgeni, muonekano wa gari iliyofungiwa ndani miaka 15 haiwezi kuwa na iliyo kuwa imported recently maana mazingira ya bongo yanajulikana. Kuhusu namba C kuwa imenyooka kuliko namba D hiyo kawaida sana kila siku tunaziona road. Kuna utunzaji mzuri pia,ila kuna ulaghai mzuri pia kama kwa hiyo gariUsikariri maisha kijana.
Kuna watu wana gari 4 ndani na bado wanaendeshwa na gari za ofisi.
Kuna gari kwa mwaka mzima haitembei hata km 5000. Na inaweza toka nje ya geti hata mara 10 hazifiki.
Nina gari namba C, imesimama kuliko hata namba D zilizotoka mwaka huu. Na hata km 90,000 hainafikisha. Kwa mwezi inaweza ikatoka mara 1 au 2 tu.
Gari ikitunzwa inatunzika vizuri tu.
Hata uitunze vipi haiwezi kuwa kama recently imported vehicle..mazingira ya bongo tu yanatosha kuchakaza gari. Anaebisha aende hata showroom akaone gari zilizokaa mda mrefu2003 ndipo harrier second generation zilianza kuingia sokoni.
Kuna Kipindi nafanya taasisi fulani ya fedha ya serikali ambapo aliyekuwa boss wangu sasa hivi ana harrier second generation namba A ila imechoka kidogo.
Mtu yoyote aliyeweza kununua hiyo gari ilipotoka kuanzia 2003 angekuwa na hiyo namba A.
Hakuna anaeshangaa kuwa ni namba A,tunachoshangaa ni condition ya gari. Hata utunze vp haiwezi kuwa kama kitu iliyokuwa imported recentlyHarrier imetoka 2003. Huo mwaka kulikuwa ni namba gani zinasajiliwa?
Hii nchi tuzuie magari chakavu sasa. Gari ya 2003 mtu anashangaa ikiwa namba A.
Okey mkuu.Hakuna anaeshangaa kuwa ni namba A,tunachoshangaa ni condition ya gari. Hata utunze vp haiwezi kuwa kama kitu iliyokuwa imported recently
Mkuu hii tiss ya sasa ni ovyo na wanaweza kufanya upuuzi huu,nimeshuhudia magari yao wakitumia number plates za SA hasa za GP!,na uozo zaidi wanaziweka hizi juu ya number plate nyingine (wanaficha Ile ya ndani)Kwamba TISS inanunua na kutumia magari kama hayo? Hivi nyie watu huwa mnawaza nini? Mnaamini kuwa hawa watu ni so reckless kutumia vitu ambavyo ni suspicious hata kwa mtu wa kawaida tu? Yaani watake kuficha identities zao lakini wanazificha kwa kutumia uficho ambao ni so obvious and suspicious?
Nishayaona hayo magariMkuu hii tiss ya sasa ni ovyo na wanaweza kufanya upuuzi huu,nimeshuhudia magari yao wakitumia number plates za SA hasa za GP!,na uozo zaidi wanaziweka hizi juu ya number plate nyingine (wanaficha Ile ya ndani)
Condition ya gari utaijuaje kwenye picha?Hakuna anaebisha kuwa namba A zipo,ila condition ya gari namba A hata itunzwe vipi haiwezi kuwa kama imetoka Japan. Zipo nyingi namba A model hiyo ila sio mpya hivi
Nasubiri jibu.Condition ya gari utaijuaje kwenye picha?
Ni ya juzi hapa kwako mkuu zilikuwepo.kitambo lakini zilikuwa za kutafuta kwa tochiHakuna Harrier tako la nyani namba A ingekuwa old model sawa hii tako la nyani ni ya juzi tu hapa
.Ni ya juzi hapa kwako mkuu zilikuwepo.kitambo lakini zilikuwa za kutafuta kwa tochi
KwaniKuiyona scania namba d sio tatizo huwenda ndio limenunuliwa muda huu ,changamoto ni hiyo gari hapo juu kwa maaana wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi , namm nilishakutana nalo hilo gari sinzaa jamaa akaniambia umeona hiyo hapo kuna namna