Watu wanaongelea kataa ndoa ila hawaongelei kuepuka kuzaa na wanawake mataahira.

Watu wanaongelea kataa ndoa ila hawaongelei kuepuka kuzaa na wanawake mataahira.

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Aisee mara utasikia kosea nini sijui ila usikosee kuoa.

Wakuu, mimi nasema kosea yote lakini usikosee ukazaa na mwanamke kichaa au wa uswahilini.

Kuna rafiki yangu ana kila kitu ila alifanya kosa na kuzaa na nusu chizi, nusu taahira. Kila akinisimulia anayopitia namuonea sana huruma, hana amani kabisa.

Mwanamke alozaa nae hatulii, na kila siku anamuomba hela ya matumizi ya mtoto, akichelewesha kidogo tu anapelekwa kwenye vyombo vya sheria.

Huyo mwanamke hataki baba mtu amuone mtoto, yaani kuna muda anaomba nauli amlete mtoto kwa baba ake lakini nauli inaliwa. Kuna muda baba mtu mwenyewe anaenda kumuona akifika mlango umefungwa na simu haipokelewi. Jana kakomaa kwenda kumuona kwa kushtukiza akakuta mwanamke kahama nyumba aliokua amepanga.

Wanaume tuwe makini sana, wanawake wa siku hizi ni nusu vichaa, nusu mataahira
 
Ana uhakika mtoto ni wake?
Nilishamuuliza hili swali mara 100, kila mara anajibu mtoto ni wake na amefanana sana na wa kwao.

Ila hako kadem kamemzidi ujanja sababu hata akifungua kesi DNA test za tanzania huwa inasoma ni wako tu hata kama sio. Alikosea kuhudumia mwanzoni na kpnd cha mimba
 
Thanks God am free from huu ushenzi.

Nyege za siku moja zinaweza kukufunga kwenye Child support hadi ukome kuzaliwa
Hili ni janga kubwa sana, we acha tu.

Huyu jamaa leo kasababisha loss ya m kadhaa hapo ofisini sabb ni mwasibu, kumuuliza ndipo ikabidi anipe mkasa mzima. Ni ana stress hadi unamfeel
 
Sio wanawake mataahira tu bali epuka kuzaa kabisa!

Duniani sio sehemu salama ya kumleta mpendwa wako
Hii quotes nimeona kwenye video moja YouTube ya wale Childfree by choice...Hawataki kuzaa kabisa .

Watu wanadai ulimwengu unazidi kuwa hovyo so kumleta mtoto ni hatari zaidi ,hata huku ulaya ishu ya ajira imekuwa tatizo kutokana na robot ila baadaye kuna uwezo mkubwa watu wengi wakawa maskini hasa wasiokuwa na vipaji maalumu.
 
Aisee mara utasikia kosea nini sijui ila usikosee kuoa.

Wakuu, mimi nasema kosea yote lakini usikosee ukazaa na mwanamke taahira.

Kuna rafiki yangu ana kila kitu ila alifanya kosa na kuzaa na nusu chizi, nusu taahira. Kila akinisimulia anayopitia namuonea sana huruma, hana amani kabisa.

Mwanamke alozaa nae hatulii, na kila siku anamuomba hela ya matumizi ya mtoto, akichelewesha kidogo tu anapelekwa kwenye vyombo vya sheria.

Huyo mwanamke hataki baba mtu amuone mtoto, yaani kuna muda anaomba nauli amlete mtoto kwa baba ake lakini nauli inaliwa. Kuna muda baba mtu mwenyewe anaenda kumuona akifika mlango umefungwa na simu haipokelewi. Jana kakomaa kwenda kumuona kwa kushtukiza akakuta mwanamke kahama nyumba aliokua amepanga.

Wanaume tuwe makini sana, wanawake wa siku hizi ni nusu vichaa, nusu mataahira
Yaani nakupa asante zote nilizokusanya tangu asubuhi. Hli ni muhimu sana sana. Angalia sana mwanamke wa kuzaa naye. Ukishazaa na mwanamke basi umeunganisha bondi ambayo hutaweza kuikata kirahisi unavyodhani. Kama ni hawa ''vishikwambi'' wa mtaani, basi jitayarishe kuumia sana sana hasa kama wewe mwanaume ni mstaarabu. Nichogundua ni kwamba wanawake wa uswazi wanatakiwa kuzaa au kuolewa na wanawaume wa uswazi. Wanawezana. Lakini wewe njemba mwenye ''utu'' na haiba yako ukikosea na kuzaa nao utakiona kilichomnyoa kanga manyoa. Nilikutana na kisa cha jamaa aliyezaa na hii type ya wanawake akasema alikaribia kufa kwa mawazo. Mtoto alikuwa anachukuliwa anapekwa hospitalini (haumwi) anawekwa kwenye mashine ya kupumulia, na na drip fake, moja ya damu nyingine dawa, inapigwa picha, akitumiwa jamaa anaambiwa ''hata kama huna namna kopa haraka sana hali yake mbaya''. Mpaka aje agundue huu ujanja alikuwa amechoka...
 
Aisee mara utasikia kosea nini sijui ila usikosee kuoa.

Wakuu, mimi nasema kosea yote lakini usikosee ukazaa na mwanamke kichaa au wa uswahilini.

Kuna rafiki yangu ana kila kitu ila alifanya kosa na kuzaa na nusu chizi, nusu taahira. Kila akinisimulia anayopitia namuonea sana huruma, hana amani kabisa.

Mwanamke alozaa nae hatulii, na kila siku anamuomba hela ya matumizi ya mtoto, akichelewesha kidogo tu anapelekwa kwenye vyombo vya sheria.

Huyo mwanamke hataki baba mtu amuone mtoto, yaani kuna muda anaomba nauli amlete mtoto kwa baba ake lakini nauli inaliwa. Kuna muda baba mtu mwenyewe anaenda kumuona akifika mlango umefungwa na simu haipokelewi. Jana kakomaa kwenda kumuona kwa kushtukiza akakuta mwanamke kahama nyumba aliokua amepanga.

Wanaume tuwe makini sana, wanawake wa siku hizi ni nusu vichaa, nusu mataahira
Kabisa
 
Kila anayejua mapenzi ni Malaya, na wapo Malaya wanaoweza kutulia.
Unaweza kuowa asiye malaya na bado mkaachana kwa sababu za kijinga
Malaya hawezi kutulia, hata kama una familia kubwa huwezi kununua daladala na kulifanya gari la familia.
 
Back
Top Bottom