Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SipoHuyo demu nahisi ni Unique Flower au cocastic
Daah! Hii kali hahahaa 🤣🤣🤣Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika, mwandishi yuko sahihi kabisa.
Ndugu GENTAMYCINE, mpwayungu village, na Unique Flower, Ni wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.
Ambapo siku ya 31/12/2022 walifanikiwa kutoroka hospital na kuiba simu za ofisi 3, kisha wanaanza kuropoka hovyo.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo wavumilieniii
Wewe huna anaekuchukiza, Mtaje tuu si dhambi! Sema hata King Kong III au Bujibuji Simba Nyamaume hamna shida lkn binafsi sina chuki na nyinyi nawakubali sana🤣🤣🤣
Weeeeeh.... Utapata dhambi dada....anyway....ni nani huyo tumchape?Kuna mmoja hapo ikitokea raia wakawa wanampopoa na mawe mimi binafsi nitajitolea kuleta tipa ya mawe kabisa wasipate tabu. Ili wambonde vizuri apunguze kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣 Hatari sana..... Huyo sijamsoma sana.......Chiz werevu😂
Sina specific ID ila sipendezwi na watu wanaovamia wengine kwa matusi na wapo wengi sana humu.Wewe huna anaekuchukiza, Mtaje tuu si dhambi! Sema hata King Kong III au Bujibuji Simba Nyamaume hamna shida lkn binafsi sina chuki na nyinyi nawakubali sana🤣🤣🤣
Chizi Maarifa na trudie mtoto wenu anaendeleaje hahaa! Hawa jamaa huwa wanafurahisha sana🤣🤣🤣Weeeeeh.... Utapata dhambi dada....anyway....ni nani huyo tumchape?
Litaje tu ili lijijue....Kuna limoja hilo humu ... anyway ngoja nichill
Kabisa ndugu yanguSina specific ID ila sipendezwi na watu wanaovamia wengine kwa matusi na wapo wengi sana humu.
Dah! Kweli huwa si vyema kabisa yani...Sina specific ID ila sipendezwi na watu wanaovamia wengine kwa matusi na wapo wengi sana humu.
Ndugu yangu.... Tuliyamaliza... Unadhani nlitoroka naye basi? Ni vile tu wanawake wanapenda huruma. Sema baadaye alielewa alikosea wapi akajishusha ...nlimwambia hajapewa mimba JF so why iwe matangazo?Chizi Maarifa na trudie mtoto wenu anaendeleaje hahaa! Hawa jamaa huwa wanafurahisha sana🤣🤣🤣
😂😂😂😂we bro wewe! Kwani uliwafanya nn🤣🤣🤣 Hatari sana..... Huyo sijamsoma sana.......
Hata najua basi? Wananichukia tu sababu naendesha gari kali, natoa pesa kwa mademu hata wa kwao na nina maisha mazuri. So siwashangai kabisa hawa jamaa.....NI WIVU TU .😂😂😂😂we bro wewe! Kwani uliwafanya nn