Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
😅😅😅😅Content creater ndio kazi gani?
Ndio nyie mnaanika maisha yenu, kuwapiga watu picha na video bila idhini zao na kutundika mitandaobi?
Hii nzuri ninatumia ukijiunga kifurushi cha LUX unapata unlimited kwa mwezi mzimaTafuta laini maalum ya internent ya halotel
Airtel *149*91# kuna bundle maalumu zinaitwa SME (Small and Medium-size Enterprises). Unajiandikisha kwa wakala wa Airtel na unapaswa kuwa na TIN number na Bussiness licence. Unakuwa unapata 22GB kwa 20,000/=Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
Yani huwezi kunitenganisha na Yas Fiber japo shida huwezi kuhama nayo. Kwa 55000 napata mb hadi 120 kwa sekunde mwezi mzima japo wao wanasema inapaswa nipate 20mbs ila napata speed kubwa.Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
Mimi mbona sina option ya unlimited, au unajiungia wapi?Hii nzuri ninatumia ukijiunga kifurushi cha LUX unapata unlimited kwa mwezi mzima
Kifurushi cha Lux mkuu unakipataje hikoHii nzuri ninatumia ukijiunga kifurushi cha LUX unapata unlimited kwa mwezi mzima
Tin number hata za kazini zinafaaAirtel *149*91# kuna bundle maalumu zinaitwa SME (Small and Medium-size Enterprises). Unajiandikisha kwa wakala wa Airtel na unapaswa kuwa na TIN number na Bussiness licence. Unakuwa unapata 22GB kwa 20,000/=
Alimradi Tin number,Naamini inafaaTin number hata za kazini zinafaa
LUX kipo mtandao ganiHii nzuri ninatumia ukijiunga kifurushi cha LUX unapata unlimited kwa mwezi mzima
Sawa asanteAlimradi Tin number,Naamini inafaa
HalotelLUX kipo mtandao gani
Kumbe Kuna line maalum?Tafuta laini maalum ya internent ya halotel
Unanunua line special kwaajili ya data hiyo haupigi Wala kutumia text. Then unajiunga tu ni 50000 kwa siku 30 unlimited bundleMimi mbona sina option ya unlimited, au unajiungia wapi?
Ndio yenyewe ni dataKumbe Kuna line maalum?