Watu wanaopenda Internet data njooni apa

Watu wanaopenda Internet data njooni apa

Screenshot_20250123-230026_1.jpg

Kwa wale wenzetu wengine wazee wa hosts na servers naimani mnanielewa 😁
 
Ukiacha hihi wanavyoeleza hapa Kwa line maalum

Mi natumia ya kawaida tu ila Ina menu 2

So menu nayotumia Kila kifurushi unapewa double
Mfano , 1000=490mb unapewa mara 2
So itategemea unajiunga kipi

Mi huwa najiunga Cha buku 5 au 3 Kwa wiki
Ni km Kila buku gb 1

Naona ni afadhali

SS ngoja niende hiyo line maalumu nione😃
Nielekeze namna ya kujijnga hiyo buku GB 1.
 
Shida hosts mda wowote zitapotea hivyo huwenda ukajiunga ila ikipotea najua utanilaumu mimi , anyway unatumia cm yenye eSIM?
Sawa
Mi sijui ht esom ndo nn ukute ipo ila sijui
Natumia Infinix bwana cm zetu hizi
 
Airtel *149*91# kuna bundle maalumu zinaitwa SME (Small and Medium-size Enterprises). Unajiandikisha kwa wakala wa Airtel na unapaswa kuwa na TIN number na Bussiness licence. Unakuwa unapata 22GB kwa 20,000/=
Kama unahitaji bundle za Airtel SME. Njoo na namba yako ya simu. Hata kama huna TIN wala leseni. Nitakupatia hiyo menu ya SME then utajiunga mwenyewe kifurushi unachotaka. Hupaswi kutuma pesa ili nikuungie. UNAJINUNULIA BANDO WEWE MWENYEWE.

Huduma hii ni BURE
 

Attachments

  • IMG-20250130-WA0001.jpg
    IMG-20250130-WA0001.jpg
    51.4 KB · Views: 6
Loo voda ,eatel hapana aisee ninazo zote ila zimebaki tu Kwa mtumizi mengine sio internet
Kwenye internet kiukweli halotel ndo inayojitahidi Kwa ss
Karibu Vodacom mzee
 

Attachments

  • Screenshot_20250201_173106_Truecaller.jpg
    Screenshot_20250201_173106_Truecaller.jpg
    69.3 KB · Views: 4
Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
Inategemeana na laini unayotumia pia inategemeana na bando ni la wiki au mwezi.
Kuna options hizo:

Line 1: *148*55#
Line2: *149*61#
Hizo menu zote ni za mtandao wa halotel. Na kila menu bando za internet zina bei zake. UNAJINUNULIA mwenyewe.

Halotel Share Bundle (Zawadi kwa Rafiki)
Mimi huwa nauza hizo bando za halotel mara Moja Moja. Bei hua sio specific kutegemeana na wingi GB unazonunua. Unaponunua nyingi bei hupungua.

Kwa wastan, uwa nauza 1GB kwa 1,500/= (Wiki)
Kwa mwezi 8GB kwa 10,000/=(Siku 30) au 4 GB kwa 5,500/= (Siku 30)

Hizo GB uwa ni Bila Dakika wala SMS

JIUNGE na Airtel SME
Hapa unapata GB15 kwa Sh. 15,000/= (Siku 30)
GB 22 kwa 22,000/= , GB 30 sh. 35,000/= n.k Hizo bando UNAJINUNULIA wewe Mwenyewe kwa kupiga *149*91#. Njoo na namba yako ya Airtel nikuwekee hiyo menu kwenye laini yako BURE. Uendelee kufurahia bando hizo za Airtel SME.
 
Halotel wapo vizuri mno kwenye megabytes na gigabyte sijui lini Voda watajifunza kutoka Kwa wenzao
Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
 
Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
Wahuni tu hao
 
Back
Top Bottom