Watu wanaosali muda huo kisha baada ya hapo anafanya ufusika hiyo ni sahihi?

Watu wanaosali muda huo kisha baada ya hapo anafanya ufusika hiyo ni sahihi?

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Jamaa mmoja bwana ana swali karibia kila siku, ifikapo mchana na hata jioni uwa namuona anaswali katika msikiti mmoja,

Huyu jamaa ana familia na watoto ila anachonishangaza ni, anatongoza mabinti wadogo wazuri bila kujali wameolewa au raha. Alafu mchana na jioni anaenda kuswali msikitini.

Katika uislamu, je jambo hili ni sawa. Kutongoza tongoza wanawake wakati kila siku wewe ni mtu wa ibada. Au ni bora uwe ukafanya tu ujulikane?
 
Jamaa mmoja bwana ana swali karibia kila siku, ifikapo mchana na hata jioni uwa namuona anaswali katika msikiti mmoja,

Huyu jamaa ana familia na watoto ila anachonishangaza ni kitombi, anatongoza mabinti wadogo wazuri bila kujali wameolewa au raha. Alafu mchana na jioni anaenda kuswali msikitini.

Katika uislamu, je jambo hili ni sawa. Kutongoza tongoza wanawake wakati kila siku wewe ni mtu wa ibada. Au ni bora uwe kitombi tu ujulikane?
Kwanza jifunze kuandika, "wameolewa au raha" ni"wameolewa au laa"
Pili huyo jamaa anachokifanya sio sahihi na inaonekana sala zake zina tatizo maana lengo la swala ni kumuepusha mja na maovu pamoja na machafu
 
We bado hujatembea nenda Tanga huko kutwa wanashinda msikitini na wana masingda makubwaa kwenye makomwe ila madrug dealer hatari sana
Vipi kuhusu Makafiri wenzako? Wote ni wasafi?

Mtu anayesali ila bado anafanya maasi,huyo mtu hana imani na dini,huwezi kusali kisha ukatenda dhambi halafu ukaenda kusali tena,

Lengo la ibada ni kukuweka kwenye imani na kua na hofu na Mungu na kuacha maasi.
 
We bado hujatembea nenda Tanga huko kutwa wanashinda msikitini na wana masingda makubwaa kwenye makomwe ila madrug dealer hatari sana
Afghanistan ni wazalishaji wakubwa namba moja duniani wa opium inayotoa Heroine.
 
Afghanistan ni wazalishaji wakubwa namba moja duniani wa opium inayotoa Heroine.
Vatican Papa ameruhusu mashoga kubarikiwa,hata waliobadili jinsia nao wanabarikiwa,kifupi mmeruhusiwa kupelekeana moto,

Hilo unaliongeleaje hapo?
 
Kuna mstari mwembamba Sana unaotenganisha Mtu na Dini,....huo mstari n udhaifu wake....
Mtakie heri maana Kila MTU anajambo linalomsumbua
 
Back
Top Bottom