Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Shoga ni CEO wa kampuni ya Apple, hakuna teja wa Heroine-Opium anayeruhusiwa hata kufagia ofisi ya Apple.Vatican Papa ameruhusu mashoga kubarikiwa,hata waliobadili jinsia nao wanabarikiwa,kifupi mmeruhusiwa kupelekeana moto,
Hilo unaliongeleaje hapo?